Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

nyingi ni drama
 
dadek
 
ww ni chenga aise
 
...wachungaji na hao manabii wapo kimasrahi na ni waongo sana....wengne vitombi hatar yaani anakula kondoo bila huruma tena anachagua zile kondoo mbichimbichi zenye Imani kali....
 
Binadamu chochote mfundishe yeye ataovarate. Dini mtu anafundishwa ka masihara vile. Subiri matokeo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaaa wallahi nimecheka kwa nguvu aise kuwa na wazazi macomedian raha sana
Kwahiyo huyu ndio role model wako sio?
 
Kwahiyo huyu ndio role model wako sio?
Daah kwa kweli hapo namuunga tu mkono baba jamani! Wachungaji wenyewe wa siku hizi ndiyo design ya kina Mwamposa na Gwajima!

Wewe na Heaven Sent nendeni mkatuwakilishe tu mama! Ninyi ndiyo mtakuwa mnakuja kutuambia nyumbani mliyohubiriwa huko!
 
Tulikuwa tunamuombea Dada anajini mahaba. Mwombezi anayependa mambo ya kuanguka alipoona Dada hafurukuti nikamuona kambinya tumbo na kumfinya mfinyo Mkali Dada akapiga kelele Kali kisha akatulia mwombezi akasema jini limemtoka.

Nilimfuta pale pale kushiriki naye katika huduma za kuwahudumia watoto wa Mungu. Sipendagi ujinga movie yote niliiona
 
Utafiti wa kiroho haugawanwi kama vile tafiti zetu zingine hizi za kwenye makaratasi. Katika hili, wewe uko sahihi, ila mimi niko sahihi zaidi. Nina ushahidi ambao siwezi kuuthibitisha kwa mtu mwingine yeyote yule kwa sababu mwenye jukumu hilo ni Mungu. Binadamu utapewa ufunuo wa kiroho tu, halafu mwenye kuuthibitisha ufunuo huo huo kwa mtu mwingine anabaki kuwa ni Mungu peke yake, si binadamu. Mshirikishe Mungu katikia hili halafu uone atakuambia nini
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hukujibu swali, umelikwepa wewe jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…