Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

Na yule.paster anaembeba mwanaume mtu mzima na kumtupia kwenye viti...kweli hii style ya maombi ndo Yesu aliombea Watu hivyo...

Au kila nabiii anapata ufunuo wake.mwenyewe...?
Unajua kuwatafakarisha watu mafunuo inahitaji uwe na mbinu tofauti, watu wanatofautiana, hivyo staili nazo ziwe na ladha tofauti. Jambo la msingi wewe angalia tu ukweli wa neno.
 
Hili limenikumbusha miaka kadhaa iliyopita niliudhuria maombi katika kanisa moja liko boko maarufu kwa mzee*** basi bwana ilikua zamu yangu kuombewa nikawekwa mtu kati maombi yakaanza baada ya mda nikawa nimewekewa mikono sehemu mbalimbali ya mwili wangu,kutokana na kuomba kwao kwa kutumia nguvu wakawa wanasababisha maumivi mwilini mwangu especially mikono waliyokua wananivuta na kuniminya kwa nguvu,sasa nilishindwa kuvumilia nikawa nawatoa waniache wenyewe ndowanasema pepo linawajibu nikawa nawaambia mnaniumiza hawaniskii wanasema pepo linawajibu aisee nilipata tabu ambayo siwezi isahau mpaka nilipopata akili ya kwamba nitulie wajue pepo limeondoka nilikua na maumivu mwili mzima yaliyosababisha niumwe wiki nzima nyumbani ukijumlisha na yale mafuta tuliyokua tunapakwa machoni yanawasha kama pilipili...dah


Kingsmann
Duh! Pole sana. Ila umejifunza mini hapo?
 
Huko kwa mwamposa wenyewe wagonjwa waangalia nyuma kuna nani ndo wanajiangusha.Kama weight ya mgonjwa kubwa kuliko mdakaji ndo anajifanya anapepesuka kuelekea baunsa alipo.
 
Makanisa yakiroho yanashangaza Sana..Sana.sana
Nilijua ungesema kwamba matatizo ya kiroho ndiyo kedekede. Watu wanateseka, wewe acha tu. Isingekuwa hawa wapadirishaji na mashehe dunia ingekuwa hapakaliki na tungekuwa tunakutana na mashetani laivu hivi.
 
Huko kwa mwamposa wenyewe wagonjwa waangalia nyuma kuna nani ndo wanajiangusha.Kama weight ya mgonjwa kubwa kuliko mdakaji ndo anajifanya anapepesuka kuelekea baunsa alipo.
Haha. Hata hujawahi kufika huko, unatunga uongo.
 
Nilijua ungesema kwamba matatizo ya kiroho ndiyo kedekede. Watu wanateseka, wewe acha tu. Isingekuwa hawa wapadirishaji na mashehe dunia ingekuwa hapakaliki na tungekuwa tunakutana na mashetani laivu hivi.
Kweli...isingekuwa matatizo ya Dunia..Wati wasingejazana kwa manabii kutafuta suluhu

Mungu asitupe.mitihani kama ya wale waliopita kabla yetu..
 
Nishawai kwenda kanisani tukapangwa foleni ya kupakwa mafuta[emoji3][emoji3][emoji3]...ikawa mchungAji anakupaka mafuta kuchwani alafu akaongea maneno yake...Mimi nikawanashangaa Watu wanaanguka TU...mmoja baada ya mwingine.

Kuna Watu nyuma yetu na wamama wamebeba khanga...

Kila mtu akawa anaanguka ..ilivyofika zamu Yangu nami nikaapiga kelele...alafu nikaajiangusha chini[emoji3][emoji3][emoji3]....

Wengine wanajinyonganyonga Kama nyoka nguo zinawavuka wamama wanakuja kuwafunika...

Kwakweli Sijawai kujua Sababu ya Watu kuanguka...Mimi nilifuata mkumbo.
Kwanini ujiangushe, nyie ndo mnawasaidia kuwapa umaarufu manabii hao feki
 
Kweli...isingekuwa matatizo ya Dunia..Wati wasingejazana kwa manabii kutafuta suluhu

Mungu asitupe.mitihani kama ya wale waliopita kabla yetu..
Maisha mwanadamu kayatatanisha mwenyewe; kila mtu anakula chakula alichoagiza mwenyewe, na wala hakuna kumsingizia Muumbaji. Ndiyo maana kasema usikose kumpatia sala hapo pepo unaiona.
 
Mwaka 2011 nilimtembelea ndugu yangu maeneo ya Block T, Mbeya.

Yeye na familia yake wanasali AGAPE, ni walokole kweli kweli na mkuu wa kaya ni mzee wa kanisa.

Viongozi wengi wakubwa AGAPE hupenda kutembelea kaya ile kwa maombi, mafundisho, maongezi na chakula.

Hadi Mr. Fenandez na mkewe, Annie nao huwatembelea kila wafikapo Mbeya.

Wakati nimefika nilikuta wiki ya maombi ya kazi, na msaidizi wa Askofu Fenandez alikuwa Mbeya akiongoza maombi hayo ya wiki.

Kulikuwa kile kinaitwa kufunguliwa, ambao hawajampokea Bwana walimpokea, wengi makumi kwa makumi, isipokuwa mimi. Jambo lile halikuwafurahisha wenyeji wangu, walitaka niokoke pia.

Maombi yakawa maombi, kila siku usiku wanatembelea kaya ile na kufanya maombi, kama kawaida waombewaji hudondoka.

Wao wakifanya maombi, mimi huwa chumbani nikiperuzi FB na Twitter. Ndugu walinishawishi sana, nikaona acha nifanye watakayo kwakuwa nipo kwao, nikiondoka kurudi home, naendelea na kanisa langu.

Kabla ya maombi, ilianza Sala ya toba, nikifuatisha maneno ya yule msaidizi ya Fenandez. Baada ya hapo alinishika kichwani kuniombea. Kwa kweli sikusikia nguvu yoyote ya ajabu, ulikuwa mkono tu, jambo lililofanya niendelee kusimama wima tena mwenye utulivu huku nimefumba macho.

Nahisi alipoona sitetereki, nikaona anaanza kunifinya maeneo ya misuli ya macho, yakaanza maumivu ya kichwa, nikavumilia... Alipoona nimetulia, akaweka mkono wa pili na kuzidi kuomba huku akiniminya zaidi, maumivu yalizidi, nikapata akili kuwa anataka nidondoke, basi taratiiiiiiibu nikaanza kushuka chini.

Bro alipoona nanyong'onyea, akaja nyuma yangu na kunidaka, kisha nikalazwa chini na kila mtu akaanza kukemea pepo chafu la kiburi litoke ndani yangu.

Baada ya kuamka, mchungaji akasema pepo aliyekuwa ndani yangu hakuwa wa kawaida, kama angekuwa mchungaji dhaifu, asingetoka hakika.

Nilicheka kimoyomoyo, siku ikaisha
Mimi ningemwambia taratibu unaniumiza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nishawai kwenda kanisani tukapangwa foleni ya kupakwa mafuta[emoji3][emoji3][emoji3]...ikawa mchungAji anakupaka mafuta kuchwani alafu akaongea maneno yake...Mimi nikawanashangaa Watu wanaanguka TU...mmoja baada ya mwingine.

Kuna Watu nyuma yetu na wamama wamebeba khanga...

Kila mtu akawa anaanguka ..ilivyofika zamu Yangu nami nikaapiga kelele...alafu nikaajiangusha chini[emoji3][emoji3][emoji3]....

Wengine wanajinyonganyonga Kama nyoka nguo zinawavuka wamama wanakuja kuwafunika...

Kwakweli Sijawai kujua Sababu ya Watu kuanguka...Mimi nilifuata mkumbo.
[emoji1787][emoji16][emoji16]
 
Wewe jiulize tu maswali rahisi tu kwanini hakuna siti namba 13 kwenye Ndege
Sababu watu wanaamini number 13 ni unlucky hivyo ili kutofukuza wateja baadhi ya company wanaiondoa kwa makusudi ya kibiashara ili wasikoje wateja.

Pia sio ndege zote hazina seat number 13.

Wewe ulipanda ndege gani ambayo haina seat number 13?
Labda ulipanda ndege za watu 12.
Wewe jiuliza tu unaambiwa mtu kafa hivi nini kinaondoka mwilini maana kila kitu ukikagua vipo mwilini lakini hapumui
Ni kwasababu ubongo umeacha kufanya kazi.
Pia viungo vya mwili vinaweza kuacha kufanya kazi bila ya kuonesha tatizo lolote la kuonekana na viungo vya fahamu vya binadamu wa kawaida.
ndio maana kuna vifaa maalum vya kupima sababu za viungo vya mwili kuacha kufanya kazi.

Viungo na kila kitu kwenye mwili wa binadamu vinategemeana na kimoja kikiathirika lazima mwili uache kufanya kazi ipasavyo au uache kufanya kazi kabisa.

Ila ubongo ndio unanafasi kubwa na kucontrol kila kitu na kukufanya wewe ujihisi hai kwa conscious kuwa active.

Kwani mtu aliye kwenye coma kitu gani kimeondoka mwilini na mbona bado hajafa?

Pia inategemea huyo mtu amekufa kutokana na nini.

Huyo mtu amekufa kutokana na nini?
Jiulize vijiswali vyepesi tu inakuaje Mtu anatoa kafara familia yake kisha anakuwa Tajiri
Unaweza ukaorodhesha watu waliotoa kafara familia zao na kuwa matajiri?
Hivi nini kinamkuta mtu tunayeambiwa anayo Mapepo unakuta Mtu anapiga kelele anapiga ukuta vichwa,
Hiyo ni disorder na sio mapepo.
Ni multiple personality disorder.

Mtu anakuwa na multiple personality zilizozalishwa na ubongo kutokana na sababu mbalimbali maybe stress au msongo wa mawazo au kuonewa alipokuwa mdogo au kushuhudia mambo mabaya maishani mwake.
Hiyo personality inazalishwa ili kudefend hiyo original personality ambayo ni mtu mwenyewe.

Na unaweza kutibiwa hospital.

Wewe unadhani kinamkuta nini mtu unayeambiwa ana mapepo?
anazama kwenye maji masaa mpaka mawili akiwa Hana mtungi wa gesi
Hiyo ni impossible na haitokaa iwezekane mtu akae bila ya oxygen kwa masaa mawili tena kwenye maji lazima afe tu.
Sababu mwili wa binadamu hauko designed kusurvive kwenye maji.
Hizo zitabaki kuwa story za vijiweni tu.

Wewe unaweza ukathibitisha hilo kwa facts?

pamoja na yote akiombewa na Sheikh au Mchungaji anapona na anaendelea na Shughuli zake
Hiyo haina tofauti na placebo.
Jiulize nini dhumuni la wewe kuwepo duniani
Jiulize kwanini sayari nyingine hazina maisha bali dunia tu?

Sababu hazisupport uwepo wa viumbe hai.

Sisi kuwepo duniani ni kama coincidence sababu hakuna anayejua chanzo cha dunia wala universe zaidi ya theory na scientist bado wanaendelea kutafuta chanzo.

Na kuna theory za kwenye vitabu vya dini ambavyo vimeandikwa na watu wa kale theory ambazo hazibadiliki wala hazimake sense ni full of contradictions.

Vitabu vya dini ni kama science ya miaka mingi iliyopita.

Wewe unajua dhumuni la kuwepo duniani?
Natakua kujua kwanini haujiulizi Dunia imetengenezwa na nani na ni Fundi wa aina gani
Mimi nakujibu ni "coincidence"
At least big bang theory inajaribu kumake sense.

Wewe unajua nani ametengeneza dunia?
Jichunguze mwenyewe kisha jiulize tu kwanini Daktari wa Macho kwanini hawezi kutibu moyo
Sababu hajasomea kutibu moyo.
Huwezi ukatibu ugonjwa ambao huujui ulivyo kiundani wala sababu zake na ndio maana daktari wa macho hawezi kutibu moyo.
Ila ataweza kutibu moyo kama akisomea kutibu moyo.

Udaktari ni kada yenye vitengo mbalimbali.
Na unasomea vitengo kadhaa na sio vyote.
Sio vyote sababu hata uchukue uhai wako wote hutoweza kumaliza kusomea hayo magonjwa yote.

Unajua duniani kuna magonjwa mangapi?
jiulize ni nani anaweza kutibu magonjwa yote
Hakuna
Umewahi kufikiri kwanini Madaktari nguli lakini bado wanakwenda Ibadan
Kwani kuwa daktari kunakuzuia vipo kutokwenda ibadani?

Hao madaktari nguli kabla ya kuwa madaktari nguli walikuwa na lifestyle gani?
Leo fikiria kwa upana zaidi Hivi walioandika vitabu vitKatifu walikuwa na upeo gani wa kufikiri?.
Kwani aliyesema kuna gravity ambayo huioni alikuwa na upeo gani wa kufikiri?
Aliyetengeneza artificial light alikuwa na upeo gani wa kufikiri?
Walioandika science walikuwa na upeo gani wa kufikiri?
Waliotengeneza smartphone ambayo unatumia walikuwa na upeo gani wa kufikiri?
Waliofanya uweze kuandika jamiiforums na watu mbalimbali waweze kuona in real time ulichoandika japo tupo mbalimbali walikuwa na uwezo gani wa kufikiri?

Hayo yote yaliyofanyika yalianza taratibu na kuzidi kukua kila siku.
Mfano ni science ambayo hajaandika mtu mmoja bali watu mbalimbali walikuja na mawazo yao ndani ya muda tofauti ndipo ukapata kitu kimoja ambacho ni science.
Na haijaandikwa kwa mkupuo.

Sasa vitabu vya dini havijaandikwa kwa mkupuo bali watu mbalimbali kuja na mawazo yao tofauti ndani ya muda tofauti na kupata vitabu kadhaa vya dini.
Sasa dini ni kama science ya kale.

Ukilinganisha science na dini basi watu waliondika science wana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko walioandika vitabu vya dini.
Umewahi kuona watu wanapasua Nazi njia panda? Au kuchinja Mbuzi njia panda,
Hiyo sababu wameanishwa hivyo na sababu ya imani zao.
Na ujinga ndani yake.

Umejiuliza Kwanini wafanye hivyo?
 
Umenikumbusha mchizi wangu mmoja aliwahi nambia alienda kuombewa wote wana dondoka yeye kakaza tu. yule bwana anamsukuma kwa nguvu yeye kakausha tu

alipozidi sukumwa akaona yaishe tu akaanguka na yeye.

wanamaombi watakuja na ufafanuzi.
Daah 😆😆😆..atari sanaaa
 
Upo ima
Mwaka 2011 nilimtembelea ndugu yangu maeneo ya Block T, Mbeya.

Yeye na familia yake wanasali AGAPE, ni walokole kweli kweli na mkuu wa kaya ni mzee wa kanisa.

Viongozi wengi wakubwa AGAPE hupenda kutembelea kaya ile kwa maombi, mafundisho, maongezi na chakula.

Hadi Mr. Fenandez na mkewe, Annie nao huwatembelea kila wafikapo Mbeya.

Wakati nimefika nilikuta wiki ya maombi ya kazi, na msaidizi wa Askofu Fenandez alikuwa Mbeya akiongoza maombi hayo ya wiki.

Kulikuwa kile kinaitwa kufunguliwa, ambao hawajampokea Bwana walimpokea, wengi makumi kwa makumi, isipokuwa mimi. Jambo lile halikuwafurahisha wenyeji wangu, walitaka niokoke pia.

Maombi yakawa maombi, kila siku usiku wanatembelea kaya ile na kufanya maombi, kama kawaida waombewaji hudondoka.

Wao wakifanya maombi, mimi huwa chumbani nikiperuzi FB na Twitter. Ndugu walinishawishi sana, nikaona acha nifanye watakayo kwakuwa nipo kwao, nikiondoka kurudi home, naendelea na kanisa langu.

Kabla ya maombi, ilianza Sala ya toba, nikifuatisha maneno ya yule msaidizi ya Fenandez. Baada ya hapo alinishika kichwani kuniombea. Kwa kweli sikusikia nguvu yoyote ya ajabu, ulikuwa mkono tu, jambo lililofanya niendelee kusimama wima tena mwenye utulivu huku nimefumba macho.

Nahisi alipoona sitetereki, nikaona anaanza kunifinya maeneo ya misuli ya macho, yakaanza maumivu ya kichwa, nikavumilia... Alipoona nimetulia, akaweka mkono wa pili na kuzidi kuomba huku akiniminya zaidi, maumivu yalizidi, nikapata akili kuwa anataka nidondoke, basi taratiiiiiiibu nikaanza kushuka chini.

Bro alipoona nanyong'onyea, akaja nyuma yangu na kunidaka, kisha nikalazwa chini na kila mtu akaanza kukemea pepo chafu la kiburi litoke ndani yangu.

Baada ya kuamka, mchungaji akasema pepo aliyekuwa ndani yangu hakuwa wa kawaida, kama angekuwa mchungaji dhaifu, asingetoka hakika.

Nilicheka kimoyomoyo, siku ikaisha
Upo na nguvu ya mukoko Tonombe si buree
 
Upo ima
Mwaka 2011 nilimtembelea ndugu yangu maeneo ya Block T, Mbeya.

Yeye na familia yake wanasali AGAPE, ni walokole kweli kweli na mkuu wa kaya ni mzee wa kanisa.

Viongozi wengi wakubwa AGAPE hupenda kutembelea kaya ile kwa maombi, mafundisho, maongezi na chakula.

Hadi Mr. Fenandez na mkewe, Annie nao huwatembelea kila wafikapo Mbeya.

Wakati nimefika nilikuta wiki ya maombi ya kazi, na msaidizi wa Askofu Fenandez alikuwa Mbeya akiongoza maombi hayo ya wiki.

Kulikuwa kile kinaitwa kufunguliwa, ambao hawajampokea Bwana walimpokea, wengi makumi kwa makumi, isipokuwa mimi. Jambo lile halikuwafurahisha wenyeji wangu, walitaka niokoke pia.

Maombi yakawa maombi, kila siku usiku wanatembelea kaya ile na kufanya maombi, kama kawaida waombewaji hudondoka.

Wao wakifanya maombi, mimi huwa chumbani nikiperuzi FB na Twitter. Ndugu walinishawishi sana, nikaona acha nifanye watakayo kwakuwa nipo kwao, nikiondoka kurudi home, naendelea na kanisa langu.

Kabla ya maombi, ilianza Sala ya toba, nikifuatisha maneno ya yule msaidizi ya Fenandez. Baada ya hapo alinishika kichwani kuniombea. Kwa kweli sikusikia nguvu yoyote ya ajabu, ulikuwa mkono tu, jambo lililofanya niendelee kusimama wima tena mwenye utulivu huku nimefumba macho.

Nahisi alipoona sitetereki, nikaona anaanza kunifinya maeneo ya misuli ya macho, yakaanza maumivu ya kichwa, nikavumilia... Alipoona nimetulia, akaweka mkono wa pili na kuzidi kuomba huku akiniminya zaidi, maumivu yalizidi, nikapata akili kuwa anataka nidondoke, basi taratiiiiiiibu nikaanza kushuka chini.

Bro alipoona nanyong'onyea, akaja nyuma yangu na kunidaka, kisha nikalazwa chini na kila mtu akaanza kukemea pepo chafu la kiburi litoke ndani yangu.

Baada ya kuamka, mchungaji akasema pepo aliyekuwa ndani yangu hakuwa wa kawaida, kama angekuwa mchungaji dhaifu, asingetoka hakika.

Nilicheka kimoyomoyo, siku ikaisha
Upo na nguvu ya mukoko Tonombe si buree
 
Back
Top Bottom