Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

hahahahaaha hizi comment zitaniua ...
 
Usiumize kichwa. Hizo zote ni vurugu zinazosababishwa na fumbo la uhai na kifo. Yaani tumetoka wapi na tukifa inakuwaje?
Chamsingi wewe piga maisha. Kula bata. Kwasababu mpaka sasa Hakuna majibu ya Hilo fumbo. Kila mmoja anakuja na mbwe mbwe zake.πŸ˜„πŸ˜„
 
Kwenye maombi pale hamna tofauti na walevi wanaolewa kumaliza matatizo yaliyokichwani pombe ikiisha msoto uko palepale.
Mtu ameshindwa kurejesha Mkopo anaenda kwenye maombi unategemeea benki imsamehe kivipi sasa?​

Awaja sema usamehewe mkopo,ila unafanyiwa maimbi ili upate baraka za lizki uweze kulipa mkopo,Mimi ni muumini wa Arise and Shine,kwanza mafundisho ni mazuri,ukienda uende na imani sio kwenda kumchunguza mtu,hata huko mnako abudu kama auna imani ni sawa na bure.

Na mara nyingi nyuzi za namna hii mtoa post anatoa kishabiki sana pasipo jua kipi ana kisemea.

Dunia kubwa hii yaki kukuta ndo unajua ujui.

Asanteni.
 
Pale PICOLO HOTEL hadi camera man walianguka sema wanabadilishana tu na wanarecord kwa kutumia smartphone maana kanisa bado changa.
Halafu mchungaji anakomalia hii mbona hamrecord njooni mpige picha nyie vipi.​
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› Aise duuu eti hii mbona hamrecord njooni mpige picha nyie vipi.
 
Aah nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu ulimwengu hatujauumba sisi tumezaliwa tumeukuta. Kama unatambua uwepo wa uchawi naamini utaamini kuna Mungu. Wewe jiulize tu maswali rahisi tu kwanini hakuna siti namba 13 kwenye Ndege, Wewe jiuliza tu unaambiwa mtu kafa hivi nini kinaondoka mwilini maana kila kitu ukikagua vipo mwilini lakini hapumui. Jiulize vijiswali vyepesi tu inakuaje Mtu anatoa kafara familia yake kisha anakuwa Tajiri,Hivi nini kinamkuta mtu tunayeambiwa anayo Mapepo unakuta Mtu anapiga kelele anapiga ukuta vichwa, anazama kwenye maji masaa mpaka mawili akiwa Hana mtungi wa gesi pamoja na yote akiombewa na Sheikh au Mchungaji anapona na anaendelea na Shughuli zake, Jiulize nini dhumuni la wewe kuwepo duniani, Natakua kujua kwanini haujiulizi Dunia imetengenezwa na nani na ni Fundi wa aina gani.Jichunguze mwenyewe kisha jiulize tu kwanini Daktari wa Macho kwanini hawezi kutibu moyo halafu jiulize ni nani anaweza kutibu vyote. Umewahi kufikiri kwanini Madaktari nguli lakini bado wanakwenda Ibadan. Umewahi kuona watu wanapasua Nazi njia panda? Au kuchinja Mbuzi njia panda, Leo fikiria kwa upana zaidi Hivi walioandika vitabu vitKatifu walikuwa na upeo gani wa kufikiri?. Jiulize vijiswali vidogo hivyo kisha njoo utujibu..
 
Kuna jamaa yangu alinibembeleza Sana niende kanisani kwao kwenye maombi nikaenda, muda wa maombi watu wanaangukia tu asee nikashangaa...mchungaji akanifata na kuanza kuniombea lakini sikuanguka...ghafla nikapigwa kibao kwenye kisogo nikayumba nikafumbua macho na kugeuka nakutanisha macho na mchungaji, nilichukia Sana nikaondoka...tangu siku hiyo siwezi na sijawaji Tena kwenye makanisa ya aina hiyo.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wachungaji hao waxenge sana, wanachapa hadi vibao!
 
Yulia uombewe
 
Huu ndio upuuzi wa dini,wanafikiri wataweza kutatua changamoto za dunia kwa maombi,
Ajira,maendeleo ya sayansi na tekinolojia,kilimo,viwanda,Elimu,IT,innovation ,hivi vitu haviji kwa kukesha kanisani,
Kama maombi tu ndio yanakuza nchi,onesheni wachina wamesali wapi wakaunda kampuni giant Kama Huawei,tekinolojia ya 5G,6G,miradi yote mikubwa ya flyovers Afrika inajengwa na mchina,wahandisi wa kwetu wamelala,
Mwsfrika,hana ajira,chakula,maradhi yanamsumbua,anaenda kuombewa kanisani.
 
Hii sidhani kivile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…