Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe


Nilichokiona kwa Mwamposa watu wengi wapo na misongo ya mawazo tu, madeni, na wale ambao Koo zao zina mambo ya kishirikina.
Wengine matatizo ya kisaikolojia tu yanawasumbua.
Yupo very technical kwenye sadaka
 
Polee sana..😁
 
Vipini vya matako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna muingiliano UPI kati ya kuombewa na kuangukaa, yani ukiombewa lazima uende chini ???,
 
Ha haaaaaa WeWe Ni mapepe kwani?mbona Mimi siwezi hata kupiga hizo kelele?wananiombea Hadi wanasanda sidondokiii
 
Ha haaaaa umenichekesha
 
Ha haaaaa uminikumbusha vibao vya kustukiza vya kisogoni E.A.G.T city center kwa pastor Katunzi....vinavurugaaa ila sikudondoka
 
Ha haaaaaa WeWe Ni mapepe kwani?mbona Mimi siwezi hata kupiga hizo kelele?wananiombea Hadi wanasanda sidondokiii
Dada Joannah...nilfuata mkumbo tuuu..maaana wote wanadondoka nikajua nifashion..

Nikafuata mkumbo
 

Nilichokiona kwa Mwamposa watu wengi wapo na misongo ya mawazo tu, madeni, na wale ambao Koo zao zina mambo ya kishirikina.
Wengine matatizo ya kisaikolojia tu yanawasumbua.
Kwa hiyo hayo hayatakiwi kuombewa, au??? Hivi unajua chanzo hasa cha hayo matatizo???
 
[emoji23][emoji23] hatari hii, ndio maana hata kwenda church naona tabu tu.
Umepata kisababu leo, wakati church hujaenda muda tu. Ule moto wa kiama naona umepata mafuta ya kuuchochea.
 
Hujui mambo mengi sana. Watu wanasali eti wewe unafesibuka, jamani. Isijekuwa kweli kalikuwa kapepo ka kiburi kanakutesa.
 
Ungeuliza wenyewe maana ya kuanguka nini; labda ndio utaratibu wakati wa kuombewa. Sasa wewe uliamua kutoka na tafsiri yako. "Don't apply saliva as your writing tool while the pen is there there!"
 
Ungeuliza, jamani. They who ask, remain fool for five minutes; they who don't ask, remain fool forever. ~ Chinese Proverb
 
Nduguzo walikuwa ni sehemu ya waigizaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…