Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

Nimesoma comments za juu zote kumbe makanisani kuna vioja vikubwa sana
Ndio maana kuna rafiki zangu wakiristo ukiwambia waende kanisani wanakataa sijui kiliwakuta nini kutoka kwa wachungaji
Eti wanakataa. Sasa nao wameangushwa?
 
Bora yetu sisi Waislamu huwa tukishuka chini labda ni kwenye sujutu tunasujudu na ufahamu wetu juu ya Allah S.W, kipitia Mtume wa Allah Muhammad S.A.W

Ikitokea ufahamu umemtoka yeyote basi akiamka sharti akashike udhu upya na matendo yote aliyokuwa akiyafanya muda ule yanakuwa si dhima yake...Allah S.W. anakuwa ameshamsamehe tayari...

Waislamu Takbeer!
 
Bora yetu sisi Waislamu huwa tukishuka chini labda ni kwenye sujutu tunasujudu na ufahamu wetu juu ya Allah S.W, kipitia Mtume wa Allah Muhammad S.A.W

Ikitokea ufahamu umemtoka yeyote basi akiamka sharti akashike udhu upya na matendo yote aliyokuwa akiyafanya muda ule yanakuwa si dhima yake...Allah S.W. anakuwa ameshamsamehe tayari...

Waislamu Takbeer!
Hata Wakristu unaomba ukiamini unapona.
 
Umenikumbusha mchizi wangu mmoja aliwahi nambia alienda kuombewa wote wana dondoka yeye kakaza tu. yule bwana anamsukuma kwa nguvu yeye kakausha tu

alipozidi sukumwa akaona yaishe tu akaanguka na yeye.

wanamaombi watakuja na ufafanuzi.
Mimi nilishasukumwa nikang'ang'ania shati la mchungaji tukaanguka wote na maombi yakaishia pale pale.
 
Pia mimi nilikuwa naombewa hivyox2 niache bangi miaka ya nyuma nikawa nakomaa kudondoka wakati wengine wanaoombewa wanadondoka. Mchungaji akanisogelea na kuninong'onezea Dogo Aisee chalii yangu jidondoshe basi mbona unazingua mbele ya kadamnas? Bado nikawa nimekomaa tu na kumuambia Mchungaji aniwekee laki mfukoni kwanza kisiri. Bas nikamuona kaenda kunong'onezana na wale wanawashikilia wanaodondoka wasijibamize halafu nakuendelea kumpigia Mungu kelele na sauti za ajabux2 baadaye wale wanaosaidia wanaojidondosha wawili wakanisogelea kwa nyuma. Mchungaji akanifuata na kuanza kubwabwaja kwa sauti za ajabu nikashtukizia nachomwa vipini kama sindano makalioni nilipiga ukunga wa hatarii nikasikia mchungaji akipaza sauti toka kwa jina yesu nikawa bado nakomaa kudondoka nikachomwa tena kipini cha hatarii na mtama kima cha nyoka na wale wanaowashikilia wanaodondoka wasijibamize ikabidi tu niende chini
Chai
 
Manabii wa uongo wako wengi sana,wanatumia mbinu nyingi sana kuwarubuni watu na shida zao kupitia miujiza,just imagine mtu anakuwekea mkono halafu anaanza kukusukuma ili uanguke apate kuwasadikisha watu kuwa una pepo,kwanini unisukume.Hizi ni siku za mwisho inatakiwa tuwe waangalifu sana,kwani walishatabiriwa hata kwenye maandiko ya dini siku nyingi kuwa watatokea...
 
Manabii wa uongo wako wengi sana,wanatumia mbinu nyingi sana kuwarubuni watu na shida zao kupitia miujiza,just imagine mtu anakuwekea mkono halafu anaanza kukusukuma ili uanguke apate kuwasadikisha watu kuwa una pepo,kwanini unisukume.Hizi ni siku za mwisho inatakiwa tuwe waangalifu sana,kwani walishatabiriwa hata kwenye maandiko ya dini siku nyingi kuwa watatokea...
Huu ulimwengu hatujauumba sisi tumezaliwa tumeukuta. Kama unatambua uwepo wa uchawi naamini utaamini kuna Mungu. Wewe jiulize tu maswali rahisi tu kwanini hakuna siti namba 13 kwenye Ndege, Wewe jiuliza tu unaambiwa mtu kafa hivi nini kinaondoka mwilini maana kila kitu ukikagua vipo mwilini lakini hapumui. Jiulize vijiswali vyepesi tu inakuaje Mtu anatoa kafara familia yake kisha anakuwa Tajiri,Hivi nini kinamkuta mtu tunayeambiwa anayo Mapepo unakuta Mtu anapiga kelele anapiga ukuta vichwa, anazama kwenye maji masaa mpaka mawili akiwa Hana mtungi wa gesi pamoja na yote akiombewa na Sheikh au Mchungaji anapona na anaendelea na Shughuli zake, Jiulize nini dhumuni la wewe kuwepo duniani, Natakua kujua kwanini haujiulizi Dunia imetengenezwa na nani na ni Fundi wa aina gani.Jichunguze mwenyewe kisha jiulize tu kwanini Daktari wa Macho kwanini hawezi kutibu moyo halafu jiulize ni nani anaweza kutibu vyote. Umewahi kufikiri kwanini Madaktari nguli lakini bado wanakwenda Ibadan. Umewahi kuona watu wanapasua Nazi njia panda? Au kuchinja Mbuzi njia panda, Leo fikiria kwa upana zaidi Hivi walioandika vitabu vitKatifu walikuwa na upeo gani wa kufikiri?. Jiulize vijiswali vidogo hivyo kisha njoo utujibu..
 
Nimesoma comments za juu zote kumbe makanisani kuna vioja vikubwa sana
Ndio maana kuna rafiki zangu wakiristo ukiwambia waende kanisani wanakataa sijui kiliwakuta nini kutoka kwa wachungaji
Huu ulimwengu hatujauumba sisi tumezaliwa tumeukuta. Kama unatambua uwepo wa uchawi naamini utaamini kuna Mungu. Wewe jiulize tu maswali rahisi tu kwanini hakuna siti namba 13 kwenye Ndege, Wewe jiuliza tu unaambiwa mtu kafa hivi nini kinaondoka mwilini maana kila kitu ukikagua vipo mwilini lakini hapumui. Jiulize vijiswali vyepesi tu inakuaje Mtu anatoa kafara familia yake kisha anakuwa Tajiri,Hivi nini kinamkuta mtu tunayeambiwa anayo Mapepo unakuta Mtu anapiga kelele anapiga ukuta vichwa, anazama kwenye maji masaa mpaka mawili akiwa Hana mtungi wa gesi pamoja na yote akiombewa na Sheikh au Mchungaji anapona na anaendelea na Shughuli zake, Jiulize nini dhumuni la wewe kuwepo duniani, Natakua kujua kwanini haujiulizi Dunia imetengenezwa na nani na ni Fundi wa aina gani.Jichunguze mwenyewe kisha jiulize tu kwanini Daktari wa Macho kwanini hawezi kutibu moyo halafu jiulize ni nani anaweza kutibu vyote. Umewahi kufikiri kwanini Madaktari nguli lakini bado wanakwenda Ibadan. Umewahi kuona watu wanapasua Nazi njia panda? Au kuchinja Mbuzi njia panda, Leo fikiria kwa upana zaidi Hivi walioandika vitabu vitKatifu walikuwa na upeo gani wa kufikiri?. Jiulize vijiswali vidogo hivyo kisha njoo utujibu..
 
Huu ndio upuuzi wa dini,wanafikiri wataweza kutatua changamoto za dunia kwa maombi,
Ajira,maendeleo ya sayansi na tekinolojia,kilimo,viwanda,Elimu,IT,innovation ,hivi vitu haviji kwa kukesha kanisani,
Kama maombi tu ndio yanakuza nchi,onesheni wachina wamesali wapi wakaunda kampuni giant Kama Huawei,tekinolojia ya 5G,6G,miradi yote mikubwa ya flyovers Afrika inajengwa na mchina,wahandisi wa kwetu wamelala,
Mwsfrika,hana ajira,chakula,maradhi yanamsumbua,anaenda kuombewa kanisani.
Huu ulimwengu hatujauumba sisi tumezaliwa tumeukuta. Kama unatambua uwepo wa uchawi naamini utaamini kuna Mungu. Wewe jiulize tu maswali rahisi tu kwanini hakuna siti namba 13 kwenye Ndege, Wewe jiuliza tu unaambiwa mtu kafa hivi nini kinaondoka mwilini maana kila kitu ukikagua vipo mwilini lakini hapumui. Jiulize vijiswali vyepesi tu inakuaje Mtu anatoa kafara familia yake kisha anakuwa Tajiri,Hivi nini kinamkuta mtu tunayeambiwa anayo Mapepo unakuta Mtu anapiga kelele anapiga ukuta vichwa, anazama kwenye maji masaa mpaka mawili akiwa Hana mtungi wa gesi pamoja na yote akiombewa na Sheikh au Mchungaji anapona na anaendelea na Shughuli zake, Jiulize nini dhumuni la wewe kuwepo duniani, Natakua kujua kwanini haujiulizi Dunia imetengenezwa na nani na ni Fundi wa aina gani.Jichunguze mwenyewe kisha jiulize tu kwanini Daktari wa Macho kwanini hawezi kutibu moyo halafu jiulize ni nani anaweza kutibu vyote. Umewahi kufikiri kwanini Madaktari nguli lakini bado wanakwenda Ibadan. Umewahi kuona watu wanapasua Nazi njia panda? Au kuchinja Mbuzi njia panda, Leo fikiria kwa upana zaidi Hivi walioandika vitabu vitKatifu walikuwa na upeo gani wa kufikiri?. Jiulize vijiswali vidogo hivyo kisha njoo utujibu..
 
Picha linaanza napokea simu kwa ndugu zangu upande wa mama watoto wangu wanasema, samahani tunakuja kwenye maombezi kwa Mwamposa wewe kama mwenyeji tunaomba utupokee ili utupeleke kwa Mwamposa tukaombewe.

Nikasema ok poa nitawapeleka nyie njooni. Ijumaa wakaingia ndani ya jiji la Dsm nikawapokea, Jumamosi chapu nikawapeleka Kawe kuombewa, mimi nikaamsha kwenye mishe zangu za hapa jijini.

Kesho yake Jumapili waakambiwa warudi tena kweli Jumapili tena nikawarudisha kwenye ibada kama kawaida nikasema ibada ikiisha mtanistua nije kuwachukua.

Mida ya saa nane ibada ikaiisha wakanishitua nikawachukuwe nilipofika kwa Mwamposa mmoja wao akasema kuwa kuna mfanyakazi mwenzake walishawahi kufanya naye kazi miaka ya nyuma kwenye kampuni kampigia simu waonane maeneo ya PICOLO HOTEL kuna maombezi pia.

Basi bwana tukaenda pale Picolo hotel kufika pale wakatupandisha juu kuna ukumbi kule wanasali.

Nilichokikuta kule kinashangaza sana kwa kuwa ilibidi niwasubiri basi nikasema hebu ngoja nikae nisikilizie hapahapo ukumbini.

Kanisa lina waumini 13 tu, wanawake 10 na wanaume 3. Maombi yakaanza nguvu ya upako sijui nini inawashukia wakawa wanadondoka waumini wote hadi ndugu zangu nao wanadondoka.

Nikajisemea moyoni mbona haya majanga. Ikawa kama mchezo sasa wanaombewa watano waliobaki wanasimama nyuma yao kuwashikilia ili wasijibamize sakafuni. Wakizinduka wengine tena wanaombewa halafu waliodondoka wanaamka tena kuwashikilia wenzao.

Nikachoka kuangalia movie ya kitoto nikawambia oya nyie si mnadondoka humu hebu niwaache mkipona mtanishitua nije niwachukue twende nyumbani. Nimeshangaa hivi kipi kinamfanya mtu anadondoka hovyo wakati wa maombezi au ni michezo ya kuigiza?​
Daah, umenikumbusha mdau mmoja alikua anakubalika sana home. Kila baada ya mda alikua anakuja kusali na sisi. One day ilikua siku ya maombezi family nzima. Inafika zamu yangu kuombewa, daaah, jamaa vile vifundo vya rozari ndio kanibania sikio plus mkono mwingine anapush kwa nguvu kwenye paji la uso. Nilikomaa kuwa stable cz nilijua lengo lake anataka nipige "yowe" kwa maumivu ya sikio na nidondoke kwa ile pulling. Mpk leo haziivi hata akija kuwaombea hapo home
 
Ungeuliza wenyewe maana ya kuanguka nini; labda ndio utaratibu wakati wa kuombewa. Sasa wewe uliamua kutoka na tafsiri yako. "Don't apply saliva as your writing tool while the pen is there there!"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...there there...hapo hapo
 
Ungeuliza, jamani. They who ask, remain fool for five minutes; they who don't ask, remain fool forever. ~ Chinese Proverb
Samahani mkuu... Usipojua unawauliza waujuao... Je nikwanini HUA wanaanguka?... Kumuombea mtu na kuanguka kunauhusiano gani
 
Hebu toa sababu , ulienda kufanya nn?
Mkuuu.... Sikwenda kufanya research ya Watu kuanguka .. Ndugu Yangu aliniona hali Yangu..akanishauri niende huko... Imani Yangu ilikua haba Kama SI hamna.

Tena nishawai kwenda na kanisa Moja pale posta PSSF TOWER sijui saiv linaitwaje....wale hawakuanguka ..Ila miss ilikua ya kiingereza SIKUELEWA KITU.
 
Shida Sio kuomba kwa Imani...shida ni kuanguka .... Anguka
Mkuu,

Kuanguka ishara ya kufunguliwa ("maombi ni ya deliverance"), ile nguvu ya mauzauza ambayo siyo halisi inayokutesa inakuwa imekemewa kwa mamlaka na inaondoka.
 
Back
Top Bottom