Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Nimeipenda hiyo sentensi ya mwisho! Ndio mkome mnajitiaga wajuaji sana nyie kuchezea akili za mabinti wa watu mwisho wa siku kamba hukatikia pabovu, unakua umeruka mkojo umekanyaga nnyaaa! Mpo wengi wala hauko pekeako! Anyway, poleni!
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.

UPDATE: 22 Novemba 2016
Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha. Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.
**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nnyaa
 
Haha walituonea tu. Wakisema wanyaki ni wakorofi/wababe ntawaelewa. In fact sisi sio wakorofi, ni tuna misimamo yetu, hatupelekeshwi kidwanzi, tutakurudisha tu mstarini. Afu na miili yetu nayo bana, kitu kimepanda kule, mwili jumba, kono hiloo teh. Kuhusu kurestisha wanaume, haijawahi kuwa sifa yetu honestly,
Umetaja kono, umesahau guu la kinyaki....guu kama gogo!
 
Hv nyie wanaume humu mnakosaga vya kuongea kila siku wanawake hivi mara vile khe hamuon haya? Wote tabia zetu sawa hata nyinyi ni pasua kichwa ila tu tunanyamaza hatupendi karaha za moyo kifupi hakyna alietimia kwenden hukoo
 
Hv nyie wanaume humu mnakosaga vya kuongea kila siku wanawake hivi mara vile khe hamuon haya? Wote tabia zetu sawa hata nyinyi ni pasua kichwa ila tu tunanyamaza hatupendi karaha za moyo kifupi hakyna alietimia kwenden hukoo
Sasa jukwaa la MMU unategemea upate habari za Trump?

Panuwa akili, usipanuwe mapaja tu.
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Yaaan we dada kwa andika lako ili nashawishika kuamini adi sasa ushaachika au unakaribia kuachika au ndoa yako iko motoo.
 
aisee hawa viumbe ukiwaendekeza unaibuka na ugonjwa wa MOYO, na punde unakuwa mgeni wa Hospitali ya APOLLO, INDIA.
 
hawa viumbe unapaswa kuwa na busara, vinginevyo unaweza kumchakaza ghafla makonde mfululizo.
 
Hv mnajua Kua wanaume mnatubadilisha, ,?tunakua nA roho mbaya Kwa yale mnayotufanyia mkiwa wazima...hapo mtalaumu mke..je mnajua huyo baba alipokua mZima aliishije nA mke wake? ?yani from no whre mke asimuhudumie tu??kuna sababu....we braza kazini mfwate shem wako muulize sababu ulete mrejesho wa upande WA 2..
 
Laiti hao wanaitwa "WAKE" wangejua maisha tuliyoishi mpaka wanatuona tumependeza mijini kwa umaridadi na magari/assets tulizo nazo. Leo hii jitu limeolewa tu linaleta mdomo na uvivu reja reja.
 
Hv mnajua Kua wanaume mnatubadilisha, ,?tunakua nA roho mbaya Kwa yale mnayotufanyia mkiwa wazima...hapo mtalaumu mke..je mnajua huyo baba alipokua mZima aliishije nA mke wake? ?yani from no whre mke asimuhudumie tu??kuna sababu....we braza kazini mfwate shem wako muulize sababu ulete mrejesho wa upande WA 2..
Labda jamaa ni kicheche
 
kuna vitu nawakubali waislamu, ikiwemo;
1. Sherehe ya kuoa (Harusi) - Huitaji mamilioni kufanya harusi ukiwa na laki moja (100,000/= TSH) unafanya harusi ya maandazi na chai, shughuli imeisha. Tofauti na Wagalatia harusi inafika mpaka 100m Tsh.
2. KUOA WAKE mpaka WANNE kwa mkupuo (na upo uwezekano wa kuwaacha kwa talaka wote kwa mpigo na ukaanza upya mchakato).

3. Utaratibu wa MAZISHI gharama ni sanda tu mbwembwe za makemera, jeneza sijui T-shirt, miwani, kuaga/kutoa salama za unafiki mara ya mwisho hakuna, ni kukamuliwa kisha kuwekwa kwenye mkeka na kwenda kuzikwa.
Hata huo mkeka ukifika makaburini nnarudi nao na kwenda kulalia mliopo hai
 
Back
Top Bottom