Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah siendi tenaa...iyo 30000 na 15000 ya siku moja ndio ikanisubirishe pale kwa mkapa aiseeTemeke na mbagala kesho uwanja wa mkapa,kwa ilala sjajua
Jumla elfu 45 sio?Aah siendi tenaa...iyo 30000 na 15000 ya siku moja ndio ikanisubirishe pale kwa mkapa aisee
Nafsi imeshakataa aisee..Jumla elfu 45 sio?
Dau zuri kajaribu unaweza pata kodi ya mwezi mmoja
any way huu naona kama mchezo wa bahati nasibuNafsi imeshakataa aisee..
Nilishawai ombaa zile nafasi za daftari la kudumu la mpiga kura/uwandikishwaji/miezi iliyopita!??...kilicho tokea..baada ya kupeleka maombi kata...tukaambiwa mtatumiwa meseji mtakao pata?!!...baada ya siku kadhaaa nikatumiwa meseji ..usiku sanaa kesho asubuhi tufike ukumbi wa Anatogola mnazi mmoja!!!haha yani iyo siku nilifurahi mnooo...kesho yake tukafanya interview tulikua 27!!mkuu wetu akasema tumepitaa ila tuandike tena namba zetu ili tusimpe shida ya kutupigia!!aisee ile siku nikasemaa kweli nina zariii ahhah wote tukaandika namba zetu tukampaa tulikua 27!!hapo hapo nasisi tukaunda grupu la watsap..ili tuwe tuna fahamiana zaidi?!!uwezi amini..siku ya kuitwa kwenye semina .hakuna ata mtu wetu mmoja aliye itwaa??kumuliza jamaa akasema nyie tulieni..jimbo letu badoo kuitwa haha eti wanaitwa kwa awamu majimbo??basi tukasubiriiii semina ikapitaaa??kufika kwenye kazi yonyewe ya uwandikishwaji napo holaaa hakuna hata mmoja aliyeitwaa aiseee hahah!!?si nikaenda kujiandikishaa yani sura nilizo zionaa ni mpyaaa kabisaaaa!!?nikasema sifanyi tenaa huu upuuziii wa mambo ya ajira za kata na serikali za mtaaa aiseeany way huu naona kama mchezo wa bahati nasibu
nafasi za ajira kwa sasa ni ngumu sana kukidhi mahitaji ya wahitaji na serikali hailioni hilo.
Watu walishatayarishwa zamaaani lakini nyie wenzangu mnakaribishwa kupamba shughuli na msijione mko pweke
Huna AKIRI.Sasa c bora angeaanza kufanya wakati amemaliza std 7
Ndugu yangu nimejionea mwenyewe ayo mambo juzi juzi nilikuwa zangu kitaa fulani nilikuwa nawaona watu wanavyoangaika kuomba kazi aisee nilichokiona inasikitisha sana kumbe pale serikal za mtaa walikuwa wanaandika majina yao alafu wanapeleka huko inamana kama hujulikani huwezi toboa so aya mambo ya kujuana kuisha ngumuNilishawai ombaa zile nafasi za daftari la kudumu la mpiga kura/uwandikishwaji/miezi iliyopita!??...kilicho tokea..baada ya kupeleka maombi kata...tukaambiwa mtatumiwa meseji mtakao pata?!!...baada ya siku kadhaaa nikatumiwa meseji ..usiku sanaa kesho asubuhi tufike ukumbi wa Anatogola mnazi mmoja!!!haha yani iyo siku nilifurahi mnooo...kesho yake tukafanya interview tulikua 27!!mkuu wetu akasema tumepitaa ila tuandike tena namba zetu ili tusimpe shida ya kutupigia!!aisee ile siku nikasemaa kweli nina zariii ahhah wote tukaandika namba zetu tukampaa tulikua 27!!hapo hapo nasisi tukaunda grupu la watsap..ili tuwe tuna fahamiana zaidi?!!uwezi amini..siku ya kuitwa kwenye semina .hakuna ata mtu wetu mmoja aliye itwaa??kumuliza jamaa akasema nyie tulieni..jimbo letu badoo kuitwa haha eti wanaitwa kwa awamu majimbo??basi tukasubiriiii semina ikapitaaa??kufika kwenye kazi yonyewe ya uwandikishwaji napo holaaa hakuna hata mmoja aliyeitwaa aiseee hahah!!?si nikaenda kujiandikishaa yani sura nilizo zionaa ni mpyaaa kabisaaaa!!?nikasema sifanyi tenaa huu upuuziii wa mambo ya ajira za kata na serikali za mtaaa aisee
Hahahaha Yule Bwana alisema tuishi kama mshetani😂😂😂😂 na hii ndo khali khalisi tunaishi kama tuko jehannam😂😂😂Hizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..
Na nafasi nilikuwa ngap za ajira?Kwa muda ambao nlienda, nkikadiria bc sio chin ya watu 3000 na pia wengine walikuwa wanaongezeka
Tumkate na Sisi kwenye sanduku la kura ajaribu na yeye kuishi kama shetani!Hahahaha Yule Bwana alisema tuishi kama mshetani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hii ndo khali khalisi tunaishi kama tuko jehannam[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee naona hapa kameseji kametumwa ..namba ngeni!!!kina sema habari unatakiwa kufika kesho saa mbili kwa mkapa kwenye interview!!!yan daaa sijui niendee yan hata sielewii...uyu alienitumia meseji ni nani!!!maana sikua na mpango tenaNdugu yangu nimejionea mwenyewe ayo mambo juzi juzi nilikuwa zangu kitaa fulani nilikuwa nawaona watu wanavyoangaika kuomba kazi aisee nilichokiona inasikitisha sana kumbe pale serikal za mtaa walikuwa wanaandika majina yao alafu wanapeleka huko inamana kama hujulikani huwezi toboa so aya mambo ya kujuana kuisha ngumu
Nadhan sio chin ya 3500 kwa ubungo na kibambaNa nafasi nilikuwa ngap za ajira?
Mkuu kwenye wengi kuna mengi unaweza okota pisi za kugegeda pale nyingi tuAah siendi tenaa...iyo 30000 na 15000 ya siku moja ndio ikanisubirishe pale kwa mkapa aisee