Kila siku nikitaka kusoma napata uvivu hahahaha naingia jamii forum Uzi wa sensa dah aiseee ๐๐Pambana kusoma sio kusubiri tu๐๐unaenda kushindana na watu 20,000 Burnaboy aliojaza arena NYC
Kwa mujibu wa jitabu Cha KUTOKA MOSHI 9:8-9 sio wote watumao maombi wataitwa wengine watakuwa wanasaidia taasisi kupata karatasi za kuwsuzia wauza vitumbua huko mtaaniHivi kama status inasoma received na majina yashatoka na jina lako halipo kitaalam tunaitaje hii[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Nani mtumishi we umma Tz hii anawatumikia watanzania?Hizi mentality ndio zinafanya utumishi wa umma udharaulike, hivi mtu unaenda kuwatumikia Watanzania au kupumzisha kichwa?
So mshahara utakua unapewa wa bure?
Pathetic
Kwani hizo walishaita?View attachment 2286598
Mimi tangu mwaka huo hadi leo iko RECEIVED
Vp mkuu,. Wameshakuwekea namba Sasa..?Kwani hizo walishaita?
Bado hadi sasaHaya.. wakiplace reason njoo utuambia hapa, wengine wanaweza kujifunza from you
Ni za zamani hata sijui kama nilishawahi kuita ni zile za 2018Kwani hizo walishaita?
SikucertifyTatizo umefunga PM,shauri zako,utapitwa na mazuri mengi.
Ivi wale ambao walikuwa training wameshaanza kaziTRA nazisubr sana
Wale waliokuwa training wameshaanza kaziPambana kusoma sio kusubiri tu๐๐unaenda kushindana na watu 20,000 Burnaboy aliojaza arena NYC
Hio tunaita Ante MeridianHivi kama status inasoma received na majina yashatoka na jina lako halipo kitaalam tunaitaje hii[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio umesema biashara ngumu sana๐ ila si mnasemaga kazi ni utumwa jamani?Hapana,mimi kuapply ndo nmeanza juzi juzi hii kazi ya pili nimeapply
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ndio inayoleta utajiri lakini mkuu, mi navyojua kazi ni utumwa tu ๐๐๐Mkuu,mwaka huu nimedhamiria kuwa mtumishi wa umma nikapumzishe kichwa changu huko.number naona bado hawajatoa
UmetemwaHivi kama status inasoma received na majina yashatoka na jina lako halipo kitaalam tunaitaje hii[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni 1805 na wala sio 800Oyaa mwanangu shombeshombe eti nafasi ni mbili wanagombea watu mia nane
Daah
Najionea mazing zong tu,na hivi me mgeni wa haya mambo chaaa...Umetemwa
Sijajua Kama wamemaliza dah ningekua huko nakula maishaIvi wale ambao walikuwa training wameshaanza kazi
Wale waliokuwa training wameshaanza kazi
Mwezi uliopita nimeapply nafasi 4taasisi tofauti, kila siku nachungulia profile ila naona tu Received ingawa bado usaili kwa ujumla haujatangazwa kwa nafasi zote nilizoomba.