SIDANGANYIKI2015
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,054
- 114
kijana njaa itakuua na kama sio kukuuuwa basi utagegedwa sana tu kwa umburula wako na hicho kitabu cha fisadi wenu MAKENGEZA na ukitaka faham zikurudie basi chukua RASIMU YA JAJI WARIOBA isome vizuri kwa ufasaha alafu akili zikikurudia ndo uchukue hiyo toiletpaper yenu uangalie kama inafaa kucha.....ia au lah,. na kama hutailewa rasimu hiyo basi ww ni wa kupimwa na kulazwa
Ina maana hadi sasa hatuna katiba? ami naona hiyo iliyopo iendelee tu maana hii inayotangazwa kila mara kama wale wauza sumu ya mende na kunguni mitaani haina cha ziada kimantiki.
mngekuwa mnajitambua basi hata siku ya kuipigia kura hiyo kitabu ya MAKENGEZA mngeijua. lkn kwa vile bado hamjitambui basi hakuna cha kura ya kitabu wala uchafu wake ni mpaka tutakapo isimika SERIKALI mpya yaUKAWA na ndipo mjadala utaanza upya wa KATIBA YA NCHI na siyo hiyo toiletpaper ya MAKENGEZA wenu.Watanzania tuna akili sana na mwaka huu hatudanganyiki,hiyo Rasimu ya babu Warioba sio Katiba hatudanganyiki tunayoijua ni Katiba inayopendekezwa!!!Hatudanganyiki nasema tena tunajitambua na tunaamua sawasawa!
Sasa ndo tuna amini kuwa haya yote ni umekuwa ukitumikishwa na Ukawa ndo maana asubuhi asubuhi inajiimia humu ndani kuchafua, pole sana mchumia tumbo wewe, Ukawa haitashinda hata siku moja, mtaendelea kupoteza muda wenu tuuuu, wewe nimdekio la ukawa tena lile la chooni.mngekuwa mnajitambua basi hata siku ya kuipigia kura hiyo kitabu ya MAKENGEZA mngeijua. lkn kwa vile bado hamjitambui basi hakuna cha kura ya kitabu wala uchafu wake ni mpaka tutakapo isimika SERIKALI mpya yaUKAWA na ndipo mjadala utaanza upya wa KATIBA YA NCHI na siyo hiyo toiletpaper ya MAKENGEZA wenu.
mngekuwa mnajitambua basi hata siku ya kuipigia kura hiyo kitabu ya MAKENGEZA mngeijua. lkn kwa vile bado hamjitambui basi hakuna cha kura ya kitabu wala uchafu wake ni mpaka tutakapo isimika SERIKALI mpya yaUKAWA na ndipo mjadala utaanza upya wa KATIBA YA NCHI na siyo hiyo toiletpaper ya MAKENGEZA wenu.
Wewe hujui unalolifanya humu ndani,msimamo wa UKAWA ni katiba mpya iwe mvua iwe jua,MSIMAMO WA WATANZANIA NI katiba mpya iwe jua iwe mvua uwe usiku au mchana,sasa wewe unayetaka kuturudisha nyuma ni nani sisi tunataka katiba mpya na itapatikana tu kama hutaki kaa pembeni KATIBA MPYA LAZIMA.
Nawashangaa baadhi ya watu humu ndani wanapoteza muda wao mwingi kuikosoa katiba inayopendekezwa lakini cha ajabu kubisha kwao wala hakuna ushahidi wowote wanaouweka juu ya hoja zao wanazozitoa, na hii inaonyesha dhahiri kuwa watu wa namna hii wanapinga ilimradi waonekane wanajua kuongea ama wametumwa na baadhi ya wanasiasa wasioitakia mapenzi mema na hii nchi.
Kitu kingine watu hawa wamesahau kwamba Katiba hii sio mabishano ya vyama vya siasa, kwani itakuwa ni kwa faida ya watanzania wote vizazi hadi vizazi, ni vema unapobisha kitu uwe walau umekisoma na ukagundua mapungufu fulani kama yapo kisha ukauliza watu waweze kukusaidia kukufafanulia ili mwisho wa siku upate kuelewa na kumaliza unishi usio na maana yoyote humu JF.
Serikali yetu wala haijakurupuka kuuanzisha mchakato huu na Sheria zimetumika vema tangu kuanza kwa mchakato huu, sasa watu wao kazi yao ni kubisha tuuuu tena wengine wanapost picha zisizo na maana ambazo wanazikwapua toka Google, sasa mi naona huku ni kuishiwa hoja, kama katiba hii ni mbaya je hiyo ya kwenu iliyo nzuri iko wapiiiiiiii?
Ndo maana namalizia kwa kusema kuwa, kuendelea kuipinga Katiba Inayopendekezwa wajameni ni sawa sawa na KUZUIA TSUNAMI KWA KUTUMIA MIKONO, jambo ambalo mwisho wa siku tunajua kwamba hutofanikiwa ng'ooooooo.
Ndo maana maandiko matakatifu kama Biblia yanasema kuwa Hatimaye mwisho mwishowe wema utashinda tuuuu.
Ewe mtanzania kuwa mzalendo, mabishano yasiyo na maana kuhusu katiba hii hayakusaidii bali utakuwa unajipotezea muda wako kwa kitu ambacho unajua wazi wazi kuwa ni kizuri na kwa faida ya wote hata wewe unayeipinga.
"TO CRASH THE PROPOSED CONSTITUTION IS LIKE TO PLANT THE SEEDS OF YOUR OWN DESTRUCTION IN YOUR FUTURE" isome katiba hii na kuielewa kwa manufaa yako na vizazi vyako.
Nawasilisha!
mmechoka miburula nyie. mlikomaa na hiyo toiletpaper yenu eti lazima tuipigie kura 30april wenye akili walishawaambia haya mnayofanya kutaka kuwaburuza wenye kujitambua kwamba hamtaweza hata huyo mzee wa WAPIGENI TU nae hana tofauti na nyie mburula.. hatimae mlikubali kuinamishwa na dawa imewaingia mmenywea kama PAKA aliyelowa tope.Sasa ndo tuna amini kuwa haya yote ni umekuwa ukitumikishwa na Ukawa ndo maana asubuhi asubuhi inajiimia humu ndani kuchafua, pole sana mchumia tumbo wewe, Ukawa haitashinda hata siku moja, mtaendelea kupoteza muda wenu tuuuu, wewe nimdekio la ukawa tena lile la chooni.
Na wewe ni mpuuzi utakaeipinga katiba inayopendekezwa, kuwa na uzalendo wewe na uache dharau.
....mbafffff we tokalini ww mburula ukawa mwana UKAWA??? maajabu KOMBA kuingia mstuniNani kakudanganya UKAWA wanataka kuendesha serikali?? Ha ha ha ha subiri kivumbi wakati wakumchagua mgombea urais ndo utajua kuwa tuwape ridhaa ya kutuongozamau laaa,nawajua hao marafiki zangu na tena mimi ni mwanachama mtiifu ila naona kabisa hawa viongozi wangu hawajajipanga kuchukua nchi kwa sababu wao kwa wao wanabaguana wakiwa kwenye media utawaona wako poa sana ngoja wakae chemba wako na misimamo yao ya vyama!naombea tufanikiwe!!
UKAWA kwenye katiba inayopendekezwa demand zetu zilikua kibao na kibaya zaidi tulikimbia bunge na wanachama tukawatazama viongozi wetu badala ya kuandamana warudi tukawaacha na posho wanakula wakaja kutushtakia sisi ,posho tunawalipa afu sisi tuanze kufanya kazi tulizowatuma na sasa wana mtindo kila kitu hawa viongozi wetu lazima watuletee sisi tuwaamulie?mbona sasa tumewapa mamlakamya kuongoza badala yetu?na hili la katiba badala ya kulisolve wanakuja tena sasa watanzania wakipiga kura ya ndiyo na katiba ikapita UKAWA tunafanyaje?tutaanza kuandamana,ushauri wangu kwa viongozi!what we need is team work majungu,umamluki na njaa ndo zinaimeza UKAWA ndo maana nasema mwaka huu sidanganyiki nimejitambua ntafanya maamuzi ninayoona ni sawa kwa maendeleo ya nchi yangu TAIFA KWANZA VYAMA KESHO!
humdanganyi mwenye kujitambua kwa style yako ya kudanganyika... mi ID mipya kila kukicha BUKU7 zinawatesaNani kakudanganya UKAWA wanataka kuendesha serikali?? Ha ha ha ha subiri kivumbi wakati wakumchagua mgombea urais ndo utajua kuwa tuwape ridhaa ya kutuongozamau laaa,nawajua hao marafiki zangu na tena mimi ni mwanachama mtiifu ila naona kabisa hawa viongozi wangu hawajajipanga kuchukua nchi kwa sababu wao kwa wao wanabaguana wakiwa kwenye media utawaona wako poa sana ngoja wakae chemba wako na misimamo yao ya vyama!naombea tufanikiwe!!
UKAWA kwenye katiba inayopendekezwa demand zetu zilikua kibao na kibaya zaidi tulikimbia bunge na wanachama tukawatazama viongozi wetu badala ya kuandamana warudi tukawaacha na posho wanakula wakaja kutushtakia sisi ,posho tunawalipa afu sisi tuanze kufanya kazi tulizowatuma na sasa wana mtindo kila kitu hawa viongozi wetu lazima watuletee sisi tuwaamulie?mbona sasa tumewapa mamlakamya kuongoza badala yetu?na hili la katiba badala ya kulisolve wanakuja tena sasa watanzania wakipiga kura ya ndiyo na katiba ikapita UKAWA tunafanyaje?tutaanza kuandamana,ushauri wangu kwa viongozi!what we need is team work majungu,umamluki na njaa ndo zinaimeza UKAWA ndo maana nasema mwaka huu sidanganyiki nimejitambua ntafanya maamuzi ninayoona ni sawa kwa maendeleo ya nchi yangu TAIFA KWANZA VYAMA KESHO!
- Karibu Jamii Forums. Yalekea umetoka mbali. Hiyo misimamo ya UKAWA na WATANZANIA umeipata wapi wewe? Mi nadhani wewe ndio BADO HUJAJUA ULICHOKUJA KUFANYA HUMU NDANI maana naona hata viatu hujavua bado, ndio kwanza umefika. Vua viatu, kaoge, pumzika kidogo ndio tuanze kujadiliana mambo ya msingi.
humdanganyi mwenye kujitambua kwa style yako ya kudanganyika... mi ID mipya kila kukicha BUKU7 zinawatesa
Ndo mana nakwambia wewe huna akili kichwani hapa hatuzungumzii Rasimu ya Warioba, hapa ni katiba inayopendekezwa wewe sungura.
Usiwe kama malaya mfata mabwana humu ndani, we mbona umeingilia kati hiyo mada, fisi weeeeInayopendekezwa na nani wewe KUNGUNI....au na mke wako au familia yako....acha ubendera fuata upepo
Wewe mchumia tumbo kaa kimya, njaa ya asubuhi asubuhi ya kutaka upewe jero jero na Ukawa ndo inakusumbua unakosa ucngzi kisa jero jero hizo, utaolewa angalia.humdanganyi mwenye kujitambua kwa style yako ya kudanganyika... mi ID mipya kila kukicha BUKU7 zinawatesa
kibaraka namba moja wa ukawa wewe huna lolote, ni kama mfagio wa chooni wewe, unatumika kama vocha.....mbafffff we tokalini ww mburula ukawa mwana ukawa??? Maajabu komba kuingia mstuni
Itapita na upende usipende wewe na ukoo wenu wote mtapaswa kuiheshimu, full stop.!!!!mmechoka miburula nyie. mlikomaa na hiyo toiletpaper yenu eti lazima tuipigie kura 30april wenye akili walishawaambia haya mnayofanya kutaka kuwaburuza wenye kujitambua kwamba hamtaweza hata huyo mzee wa WAPIGENI TU nae hana tofauti na nyie mburula.. hatimae mlikubali kuinamishwa na dawa imewaingia mmenywea kama PAKA aliyelowa tope.
eti sasahivi mnajitutumua tena na hizo toiletpaper zenu eti ndio zitumike tena chooni aka MSALANI nasema mtazitumia wenyewe huko MSALANI kujicha...bia. tuliojitambua hatuna muda na hiyo taktak yenu pelekeni tupa kule mbali kabisa hata watoto wasiione inaweza kuwaharibia akili zao mbafffu zenyu mburula nyie.