Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!

Kasome tena nilicho kiandika ikiwezeka pembeni uwe na glass ya maji 😊

Nimesoma yote uliyoandika na hata katikati ya mistari.

Nikakwandikia bayana tofauti na hapa ikikupendeza kuna na huu uzi wa miaka 2 iliyopita maudhui yale yale:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Kwa list hiyo ndugu?

Ninakazia:

Kujaribu kuizodoa tokea kwa mfuga mbwa ndani ndani huko, macho makavu huku uso umepauka, ni kujidhalilisha hadharani!

@
mamndenyi kwani nasema uongo?
 
Watu na nusu hao aisee, mtu kuingia tu madarakani atataka mumjue yeye ni nani, ole wake asiemsifu ...

Kwa aliyofanyiwa Mandela kwa hulka za ciongozi wengi wa Afrika hawawezi hata kidogo.
Kwanza huyo bwanajela hata asingekua anakula muda huo, kitambo sana angeshapelekwa kuzimu.
 

Lucas Mwashambwa :



Kuna salama hapo?
 
Hapana ndugu wala sina makasiriko na Lissu namheshimu sana, ila kwenye hiyo story umemchanganya na kundi la watu wa level nyingine.

Hapana. Mnyumbuliko wa aya unajieleza. Zaidi sana mada hii ni mwendelezo wa hii hapa chini ya miaka 2 iliyopita:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Kwamba kuna watu wana makasiriko na Lissu? Hao mbona wako wengi tu?

Kwamba wewe unaweza kuwa mmoja wao? Kwani cha ajabu hapo kitakuwa nini iwapo hata makamanda waandamizi wamo?

Zingatia wakiwamo johnthebaptist, Msigwa, na CCM wanatambua kikwetu kwetu, Lissu ni daraja nyingine!

Si walisema mnyonge mnyongeni, ila haki yake mpeni?

Au nyie haki yake mngependa kumpora? Kwamba kama vipi mtokomee nayo?
 
Sijaelewa mantiki ya mada, ni nani hao wanajiona bora kuliko Mandela? Katika aspects zipi?

Hata darasani si lazima kila mtu kuelewa ndiyo maana kuna distinction, pass, supp na hata disco.

Wewe ni mgeni JF ndugu?

Anasema Museveni, maendeleo ya Uganda hayawezi kuwasubiria wakaramojong wajue umuhimu wa kuvaa suruali.

Kwamba tukusubirie wewe hadi uelewe mantiki?

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Si walisema asiyejua maana haambiwi maana?

Mtu mmoja asiyeelewa wa nini? Kwa hakika kujikita kumwelewesha hiyo inaweza kuwa matumizi mabaya kabisa ya muda.

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Nyerere mshenzi sana ndio kasababisha umasikini wa watanzania nashangaa mnavyomuita baba yenu.
 
Nyerere mshenzi sana ndio kasababisha umasikini wa watanzania nashangaa mnavyomuita baba yenu.

Hii inaitwa:

"Kutokea kwa mfuga mbwa ndani ndani huko, macho makavu huku uso umepauka!"

Kwa hakika JF ni raha sana.
 
Lissu ni level ya nyerere, Mandela
.
Majizi watapinga
 
Hapana ndugu wala sina makasiriko na Lissu namheshimu sana, ila kwenye hiyo story umemchanganya na kundi la watu wa level nyingine.
Kwa hiyo Lissu unataka kumweka kundi gani?

Humjui Lissu na Potential yake. Jitahudi umfahamu kaka achana na siasa za majitaka za hapa bongo.
 
Lissu ni level ya nyerere, Mandela
.
Majizi watapinga

Majizi + Yale yenye husuda iliyopitiliza akiiongelea spika Sitta(rip) kama wivu spesheli ma rijali tunaoupenda mno.

Hapa yatakuwa yanatweta kwa hasira jalu, hayajui yaanzie wapi japo kutema nyongo kwa kujificha.
 
Kwa hakika ni kama mada ilivyoanza:

Yamekuwa yakisikika maneno:

"JF ni Raha sana
."

🤣
Sawa
Majizi + Yale yenye husuda na wivu akiuongelea spika Sitta(rip).

Hapa yanatweta kwa hasira hayajui yaanzie wapi kutema nyongo.
Endelea kutumia ila nyerere ni tapeli namba 1 aliyewahi kutokea tanzania yaani ni jizi
 
Sawa

Endelea kutumia ila nyerere ni tapeli namba 1 aliyewahi kutokea tanzania yaani ni jizi

Mwenye kauli kama hizi hawezi kuwa tapeli:



Si utuwekee yako moja tu tushawishike kuliondoa jina lake pale ili tuweke lako?

Au labda ungependelea (kikwetu kwetu) tuweke la nani pale badala yake?
 
Sawa mkuu
 
Kwa hiyo Lissu unataka kumweka kundi gani?

Humjui Lissu na Potential yake. Jitahudi umfahamu kaka achana na siasa za majitaka za hapa bongo.
Huo ni mtazamo wako mkuu! ila ukweli ni kwamba Lissu hawezi kuongelewa kwa lolote sambamba na wapigania uhuru!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…