Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!

Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!

Kasome tena nilicho kiandika ikiwezeka pembeni uwe na glass ya maji 😊

Nimesoma yote uliyoandika na hata katikati ya mistari.

Nikakwandikia bayana tofauti na hapa ikikupendeza kuna na huu uzi wa miaka 2 iliyopita maudhui yale yale:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Kwa list hiyo ndugu?

Ninakazia:

Kujaribu kuizodoa tokea kwa mfuga mbwa ndani ndani huko, macho makavu huku uso umepauka, ni kujidhalilisha hadharani!

@
mamndenyi kwani nasema uongo?
 
Watu na nusu hao aisee, mtu kuingia tu madarakani atataka mumjue yeye ni nani, ole wake asiemsifu ...

Kwa aliyofanyiwa Mandela kwa hulka za ciongozi wengi wa Afrika hawawezi hata kidogo.
Kwanza huyo bwanajela hata asingekua anakula muda huo, kitambo sana angeshapelekwa kuzimu.
 
Watu na nusu hao aisee, mtu kuingia tu madarakani atataka mumjue yeye ni nani, ole wake asiemsifu ...

Kwa aliyofanyiwa Mandela kwa hulka za ciongozi wengi wa Afrika hawawezi hata kidogo.
Kwanza huyo bwanajela hata asingekua anakula muda huo, kitambo sana angeshapelekwa kuzimu.

Lucas Mwashambwa :

GTGwRoUWIAkdhjh.jpeg


Kuna salama hapo?
 
Hapana ndugu wala sina makasiriko na Lissu namheshimu sana, ila kwenye hiyo story umemchanganya na kundi la watu wa level nyingine.

Hapana. Mnyumbuliko wa aya unajieleza. Zaidi sana mada hii ni mwendelezo wa hii hapa chini ya miaka 2 iliyopita:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Kwamba kuna watu wana makasiriko na Lissu? Hao mbona wako wengi tu?

Kwamba wewe unaweza kuwa mmoja wao? Kwani cha ajabu hapo kitakuwa nini iwapo hata makamanda waandamizi wamo?

Zingatia wakiwamo johnthebaptist, Msigwa, na CCM wanatambua kikwetu kwetu, Lissu ni daraja nyingine!

Si walisema mnyonge mnyongeni, ila haki yake mpeni?

Au nyie haki yake mngependa kumpora? Kwamba kama vipi mtokomee nayo?
 
Sijaelewa mantiki ya mada, ni nani hao wanajiona bora kuliko Mandela? Katika aspects zipi?

Hata darasani si lazima kila mtu kuelewa ndiyo maana kuna distinction, pass, supp na hata disco.

Wewe ni mgeni JF ndugu?

Anasema Museveni, maendeleo ya Uganda hayawezi kuwasubiria wakaramojong wajue umuhimu wa kuvaa suruali.

Kwamba tukusubirie wewe hadi uelewe mantiki?

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Si walisema asiyejua maana haambiwi maana?

Mtu mmoja asiyeelewa wa nini? Kwa hakika kujikita kumwelewesha hiyo inaweza kuwa matumizi mabaya kabisa ya muda.

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Nyerere mshenzi sana ndio kasababisha umasikini wa watanzania nashangaa mnavyomuita baba yenu.
 
Nyerere mshenzi sana ndio kasababisha umasikini wa watanzania nashangaa mnavyomuita baba yenu.

Hii inaitwa:

"Kutokea kwa mfuga mbwa ndani ndani huko, macho makavu huku uso umepauka!"

Kwa hakika JF ni raha sana.
 
Yamekuwa yakisikika maneno:

"JF ni Raha sana."

Kwa hakika ni kwa maana yake kamili.

Hayo ni pamoja na kuwaona baadhi ya wajumbe wakijitutumua kujaribu kuwazodoa watu ambao dunia Kwa ujumla wake imewavulia kofia.

Wandugu kwa level za kwetu kujimwambafai dhidi ya kina Lissu au Nyerere ni wenda wazimu.

Kwa level za dunia kujimwambafai dhidi ya watunukiwa nobeli (nobel laureates) yaani aina ya kina Mandela, Obama, Tutu na wa namna hiyo kwa nini isiwe zaidi burudani kwa wenye kujua maana?

Wanasema waswahili:

"Aibu mbona naona miye?"

Huyu ndiye Mandela, kwa ufupi mno katika hulka yake kama binadamu:

"After I became president, I asked my escort to go to a restaurant for lunch. We sat down and each of us asked what we wanted.

On the front table, there was a man waiting to be served. When he was served, I said to one of my soldiers: go and ask that gentleman to join us. The soldier went and conveyed my invitation to him. The man got up, took his plate and sat down right next to me.

While he ate his hands trembled constantly and he did not lift his head from his food. When we finished, he said goodbye without looking at me, I shook his hand and he left.

The soldier told me:

Madiba that man must have been very ill, seeing as his hands didn't stop shaking while he ate.-

Absolutely no! the reason for his trembling is another.

Then I told him:

That man was the warden of the prison where I stayed. After he tortured me, I screamed and cried asking for some water and he came humiliated me, laughed at me and instead of giving me water, he urinated in my head.

He is not sick, he was afraid that I, now president of South Africa, would send him to prison and do to him what he did to me. But I'm not like that, this conduct is not part of my character, nor of my ethics.

′′Minds that seek revenge destroy states, while those that seek reconciliation build nations. Walking out the door to my freedom, I knew that if I didn't leave all the anger, hatred and resentment behind me, I would still be a prisoner."


- Nelson Mandela.
Lissu ni level ya nyerere, Mandela
.
Majizi watapinga
 
Lissu ni level ya nyerere, Mandela
.
Majizi watapinga

Majizi + Yale yenye husuda iliyopitiliza akiiongelea spika Sitta(rip) kama wivu spesheli ma rijali tunaoupenda mno.

Hapa yatakuwa yanatweta kwa hasira jalu, hayajui yaanzie wapi japo kutema nyongo kwa kujificha.
 
Kwa hakika ni kama mada ilivyoanza:

Yamekuwa yakisikika maneno:

"JF ni Raha sana
."

🤣
Sawa
Majizi + Yale yenye husuda na wivu akiuongelea spika Sitta(rip).

Hapa yanatweta kwa hasira hayajui yaanzie wapi kutema nyongo.
Endelea kutumia ila nyerere ni tapeli namba 1 aliyewahi kutokea tanzania yaani ni jizi
 
Sawa

Endelea kutumia ila nyerere ni tapeli namba 1 aliyewahi kutokea tanzania yaani ni jizi

Mwenye kauli kama hizi hawezi kuwa tapeli:

38e278348e1b740e1f6fd199c6b872b6.jpg


Si utuwekee yako moja tu tushawishike kuliondoa jina lake pale ili tuweke lako?

Au labda ungependelea (kikwetu kwetu) tuweke la nani pale badala yake?
 
Ajabu na kweli wapo wenye kufura kwa hasira kwa kufunikwa na wengine.

Kwamba kina Obama (nobel laureate) walimtambua na kumheshimu kama jembe? Ila kwetu kuta kinyangarika kwa mfuga mbwa huko, eti kinaona kipo vizuri kuliko Mandela?

Looh! Kwa hakika haupo wenda wazimu zaidi ya huo.

Kulikuwa na uzi humu ukiyasema haya haya kistaarabu:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

Tufike mahali tuliite koleo Kwa jina lake!

Kwamba tatizo ujinga siyo, ila unajua? Basi abda wewe ni kiboko ya wachawi?
Sawa mkuu
 
Kwa hiyo Lissu unataka kumweka kundi gani?

Humjui Lissu na Potential yake. Jitahudi umfahamu kaka achana na siasa za majitaka za hapa bongo.
Huo ni mtazamo wako mkuu! ila ukweli ni kwamba Lissu hawezi kuongelewa kwa lolote sambamba na wapigania uhuru!.
 
Back
Top Bottom