Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!

Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!

Mwalimu kafanya makubwa sana nchi hii na Afrika lakini sera yake ya ujamaa imesababisha tuwepo hapa tulipo kwa kiasi kikubwa sana vinginevyo tungekuwa mbali kimaendeleo.
 
Mandela na Nyerere were wise

Not huyu wa mitusi

..Nyerere hakupitia mitikisiko wanayokutana nayo wapinzani.

..Kuna wakati Mandela alibeba silaha, na kuunga mkono umwagaji damu.

..Tundu Lissu hajawahi kushika silaha, na hajawahi kuunga mkono umwagaji damu.

..Tatizo ninaloliona kwa Lissu ni kwamba hajabahatika kushika madaraka makubwa ambayo hupelekea mhusika kupambwa na vyombo vya habari, na wanahistoria.
 
Hivi Mandela alifanyaga nini cha maana kumzidi nyerere?

..uhuru wa Tanganyika ulipatikana kwa mazungumzo.

..Na Tanganyika haikuwa koloni la Waingereza.

..Tungekuwa koloni, uhuru wetu ungepatikana kwa shida kubwa.
 
Mwalimu kafanya makubwa sana nchi hii na Afrika lakini sera yake ya ujamaa imesababisha tuwepo hapa tulipo kwa kiasi kikubwa sana vinginevyo tungekuwa mbali kimaendeleo.

..Pia Katiba yetu iliandikwa ikimlenga yeye kuwa Raisi, na haikulenga kutuwekea msingi mzuri wa utawala bora na demokrasia.
 
Hivi Mandela alifanyaga nini cha maana kumzidi nyerere?

Kama ulivyo wewe na mimi Kila mtu na ajivunie level yake.

Mandela, Obama, Tutu na wa namna hiyo nobel laureates.

Lissu, Nyerere, Nkrumah, nk kivyetu vyetu.

Wewe, mimi na mwana JF yule ndiyo hivyo tena.

Mwana Buza, Kwa Binti nyau, Kwa mfuga mbwa nk nao kivyao vyao.

Kila mtu kwa ligi yake tokea champion, la liga, serie A, premier, hadi ndondo habari ndiyo hiyo.
 
..Pia Katiba yetu iliandikwa ikimlenga yeye kuwa Raisi, na haikulenga kutuwekea msingi mzuri wa utawala bora na demokrasia.

Wanasema tutamaliza bucha zote:

1. Nyerere kang'atuka miaka 50 iliyopita.

2. Nyerere kafa miaka 25 iliyopita.

3. Nigeria Tinubu kama Ruto Kenya wameridhia kuzisikiliza sauti za umma bila kupenda.

4. Bangladesh sheikh mmama katili yule hatimaye kawaachia nchi yao wenye nayo.

5. Kwetu vyamani kwenyewe si ndiko huku ambako hayupo asiye kujua?

6. Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

7. Kwani kuna kisichojulikana?
 
Wapalestina je?

Mjukuu wa Mandela: Babu angekuwapo angewaunga mkono HAMAS na Wapalestina dhidi ya Israel!

IMG_1567 (3).jpg


Kwani tumewazidi nini wapalestina zaidi ya ukondoo?
 
Usichanganye madesa aisee

Wale wazee wana heshima yao… sio huyu wa mitusitusi

Kwani wewe ni kamanda? Inafahamika wapo mnaomchukia mno kuliko hata mi CCM.

Si mseme tu, nyota yake inawatia viwewe naye si mlipa vyawa?
 
Kwani wewe ni kamanda? Inafahamika wapo mnaomchukia mno kuliko hata mi CCM.

Si mseme tu, nyota yake inawatia viwewe naye si mlipa vyawa?
Sijawahi kuwa ccm wala ukawa

Naongea ukwei

Don’t include Lissu kwenye floor moja na Africa great men
 
Sijawahi kuwa ccm wana ukawa

Naongea ukwei

Don’t include Lissu kwenye floor moja na Africa great men

Uko nje ya mada ndugu.

Wapi hata Nyerere yuko floor Moja na Obama, Mandela au Tutu?

Kulikoni kuvumbua ya kwako yasiyokuwa kwenye mada?

Kama lengo lako ni kulinganisha watu mada hii si mahali pake.

Si uweke CV yako tuone nawe kama si wa kuzodolewa kutokea Kwa mfuga mbwa ndani ndani vijiweni huko?

Ninakazia:

"Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!"​

 
Uko nje ya mada ndugu.

Wapi hata Nyerere yuko floor Moja na Obama, Mandela au Tutu?

Kulikoni kuvumbua ya kwako yasiyokuwa kwenye mada?

Kama lengo lako ni kulinganisha watu mada hii si mahali pake.

Si uweke CV yako tuone nawe kama si wa kuzodolewa kutokea Kwa mfuga mbwa ndani ndani vijiweni huko?

Ninakazia:

"Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!"​

Obama yuko kwenye heading ya hii thread?

Bwege kweli wewe
 
Obama yuko kwenye heading ya hii thread?

Bwege kweli wewe

Kwamba wewe hujamwona mle?

Sasa kumbe bwege ndembe ndembe utakuwa si wewe?

Nendeni shule mkasome.

Si kila kitu lazima mtafuniwe!
 
Ni high level ya ujinga kumweka lisu kwenye level moja na akina Nyerere, Mandela, Nkrumah, nk. Watanzania tuacheni ujinga.

Ni highest level ya ujinga kudhani ya kwako nje ya mada.

Mada haihusu level za watu.

Wala hata Nyerere si level ya Mandela, Obama Wala Tutu.

Kwamba Wala Nyerere si level ya Lissu pia hilo si mada.

Kwani CV yako Iko wapi labda nawe unaweza kufuzu kutoka kwenye kuzodolewa na jamii kutokea kwa mfuga mbwa?
 
..Mwalimu Nyerere hakuteswa na Waingereza kama ambavyo Tundu Lissu, na wapinzani wengine wameteswa na serikali za Ccm, na vyombo vyake.

..Tunamheshimu Mwalimu Nyerere, lakini ukweli lazima usemwe kwamba Wakoloni ambao aliwapinga, walikuwa na utu, kuliko Ccm ambayo ametuachia, na tunapambana nayo.
Siasa za baada ya uhuru zina mambo mengi kuliko zile za kabla. Baada ya kuanza kujitawala hao hao wakoloni wa zamani walikuja na mbinu za kutugawa sisi ndani kwa ndani, divide and rule ya kiwango cha juu na ya kisasa.

Wachache wetu wakinasa kwenye mtego wa kutumiwa na wazungu katika kuiharibu afrika kutokea ndani. Lissu kwa bahati mbaya ni mmoja wa waliopo kwenye kundi hilo la vikaragosi vya wazungu kwa kupitia sera za CHADEMA zenye kufanana na zile za Waingereza.

Hayati JPM hakupendwa na wazungu na sera zao na adui yake wa humu ndani wa kwanza kabisa alikuwa ni Lissu.
 
..Mandela hakuwa mnyenyekevu.

..alianzisha mapambano ya silaha na umwagaji damu dhidi ya Makaburu.

..vijana wa Ccm mnasoma wapi historia?

..Ccm si mnadai ni chama cha ukombozi kusini mwa Afrika, sasa kwanini hamjui historia ya ukombozi?
Mandela hakuwa na muda wa kupigana vita mwaka 1964 alishafungwa jela. Unyenyekevu haumaanishi ukondoo kwamba uendelee tu kupoteza haki zako.

Kisa cha uzi huu kinaelezea roho ya msamaha aliyokuwa nayo baada ya kuwa Rais hakutaka kumfanyizia yule aliyemtesa kifungoni kwa kumlipizia kisasi wakati uwezo na mamlaka akiwa navyo tayari.

Alijishusha na kusamehe mabaya yote aliyofanyiwa na unyama wa wazungu, haishangazi kuona ni binadamu anayeenziwa siku zote.
 
Back
Top Bottom