Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

Yote kwa yote maisha hayana formula. sometimes philosophy tunazotumia haziendani na context ya mazingira yetu. kumwambia mmbongo anaye anza maisha huenda ameajiriwa eti afanye biashara badala ya kujenga nyumba anaweza akakushangaa. Kwa mazingira yetu biashara zina misukosuko mingi. 1. Kuna kufilisika. 2. kuna kutapeliwa 3. Kuna kukosa soko la bidhaa 4. Fitina etc. Japo kufanya biashara kwanza halafu akaanza kujenga ni vizuri zaidi, lakini ni ngumu kueleweka. Yote kwa yote kila mtu afanye jambo analoona ni sahihi, tutakutana mbele ya safari
 
Sawaaa. Siye tutajenga na kununuwa magari. WEWE WEKEZA KWENYE HISA, SIJUWI KITU GANI HUKO, FAINALI UZEENI...
 
Huko kote ukiwekeza hizo Hela utakazopata utazipeleka wapi!? Kama sio kwenye kujenga.!?

Wako waliojenga kwanza Kisha wakawekeza na wanaofata hio theory Yako.

Binafsi Nina nyumba ya kupangisha ila Sina ya kuishi bado naishi magetoni.

Ni uamuzi tu.
 
mkuu samahani ili upate hiyo faida ni lazime uweke hela kuanzia sh ngapi
 
Inategemea sana na investment unayofanya, kama unafuga kuku, au unalima au duka la nguo, vipodozi nk, ninaweza kukuelewa kama utafanya biashara kabla ya ndinga. Kama wewe ni hustler mwanasheria, au Software Engineer sijui IT baada ya kuzunguka sana na project zako utakuja kugundua waTz perception yetu kwa mtu anayemiliki gari ni tofauti sana...Unaweza kutengeneza pesa nyingi sana, ukawa na network ya watu wengi wakubwa na ukakopesheka na kuaminika ukiwa na gari kuliko ukishuka kwenye daladala...

Mimi nilikua naenda ofisi kwa ofisi kwa miguu kumarket software solution zangu ila nilikua natumia nguvu kubwa sana kumwaminisha mtu, na bado walikua wanalipa ela ndogo sana na bado usumbufu ni kama wote yani...

Ninachosema, baadhi ya fields gari ni selemu ya investment...
Hata ukiwa unafanya interview, ukienda na gari una nguvu ya kunegotiate mshahara mkubwa zaidi
 
You have to look money to make money.
 
Mawazo ya kimasikini kabisa haya.
 
Sio anakiuza.

Anakiuza kwa hasara.
 
Hiyo million 60 kuna biashara ukifanya ni miezi 6 pesa yote imerudi, tatizo tumekariri maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…