Kujenga nyumba ni ndogo ya kila maskini

Baba mwenye nyumba, aaahh I mean Baba mwenye gari unateseka ukiwa wapi?
 
Mods futeni nyuzi za kindezi kama huu
 
Mimi naamini kwenye kuwekeza mitambo ya uzalishaji wa kudumu kama mitambo ya kuchana mbao na process zingine.. kuliko kujenga nyumba ya kulala
 
mleta mada ni mpuuzi sana , sasa kama kujenga ni uboya huyo aliyekupangisha asingejenga wewe ungekaa wapi na kuanza ku type upupu kama huu? wakati mwingine vijana wanasikitisha sana, sijui nani kawaroga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…