Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Pamoja na hayo fundi niliye mtumia hakuwa na maksio sahihi. Alikuja jamaa jengo likiwa limesimama kama wiki3 nakusanya hela tena akanimbia hapa bila m18 hutoboi na hapo jengo limesimama. jamaa nilimuona anajua sana kukisia hata ingepishana kidogo tuHapo sawa umeeleweka
Hizo tofali labda Kama anajenga msingi WA ghorofa, floor kuanzia 5+Mafundi wanajiongezaga sana msingi tu tofali 1,500!
Hayo makadirio ya fundi,Ila hiyo bajeti yake imetisha kwani imeongezeka mara Tatu ya kadirio la awali. Inaonesha hapakuwa na haja ya kufanya makadirio. Kwenye makadirio huwa kuna Error lakini hapo kwake ni severe mistake. Ingekuwa ni ndege manake inaenda kudondoka mazima. Ujenzi na fundi wa namna hiyo ni hatari sana kama huna floating budget au kaAkiba mahali. Yan hapo Unabaki na pagale lako hapo.
Hapo hakuna nyumba hapo!!!
Kulikuwa na mwinuko mkubwa kama kule Makete? Kama ni Makete inaweza kufikia hapo. Ni bora kukata udongo ili kuipata level inayotakiwa kuliko kwa kutumia matofali. Lakini kwa Dar na viunga vyake hiyo 1,500 ni just too much.Mafundi wanajiongezaga sana msingi tu tofali 1,500!
Huyo lazima aone ujenzi ni gharama sana japo huenda eneo lake ndio linamlazimu afanye hivyoHuenda pia mazingira ya kiwanja
Ila Kwa hizo nondo hapo nahisi mkanda WA juu kapigia nondo 4, kitu ambacho kwangu nachukulia Kama complications Kwa mkanda WA msingi WA nyumba ya kawaida ya makazi.
Exactly yes. Ila nyumba za kujengwa kwa mtindo huo wa wizi zinakumbwa na mabalaa mengi e.g. nyufa, moto, mafuriko n.k. Hiv ww hujawahi kujiuliza mbona tofali au mchanga zikihifadhiwa hata pembeni ya barabara haziibwagi?Hayo makadirio ya fundi,
Unaweza jikuta unajenga nyumba Yako, afu fundi nae anajenga ya kwake.
Mpaka Siku unahamia, nae fundi anahamia kwake.
Exactly au labda ni room 3 zenye makona kona mengiHizo tofali labda Kama anajenga msingi WA ghorofa, floor kuanzia 5+
Namhurumia naona anajenga nyumba mbili kwa mojaKulikuwa na mwinuko mkubwa kama kule Makete? Kama ni Makete inaweza kufikia hapo. Ni bora kukata udongo ili kuipata level inayotakiwa kuliko kwa kutumia matofali. Lakini kwa Dar na viunga vyake hiyo 1,500 ni just too much.
Room 3 makona kona mengi yatatoka wapi? Rooms 3 haziwezi kuwa na complications zitakazohitaji tofali nyingi kiasi hicho. Huo ni upigaji tu.Exactly au labda ni room 3 zenye makona kona mengi
Hahahaaa. Mafundi nao huwa wanatoa quiz puzzles kwa matajiri ujue hapo wanakusoma au kukuchora kiaina.Namhurumia naona anajenga nyumba mbili kwa moja
Labda pako hiviHahahaaa. Mafundi nao huwa wanatoa quiz puzzles kwa matajiri ujue hapo wanakusoma au kukuchora kiaina.
This is very interesting kwamba makadirio ya 9M yanaleta *2 ya mlichokadiria.Nabado ilikuwa bado kukamilika. mabati,mbao, mawe cement nk viliongezeka na gharama tu kama kusafirisha material nk. kwa kifupi mimi nilikuwa sijui vingi kwenye ujenzi lakini kwenye manunuzi fundi nilikuwa na enda nae kwa jamaangu ambae ana duka kubwa la hardware
So nyumba ya vyumba 3 tofali ngapi za msingi ni sawa? Mimi nilitaka chumba kimoja na sebule jamaa akasema 7M nikakimbia kwanzaHahahaaa. Mafundi nao huwa wanatoa quiz puzzles kwa matajiri ujue hapo wanakusoma au kukuchora kiaina.
Na ndio maana wenye nyumba ni wachache sana
Nyumba ya kilala hoi msingi milion 10 ? Hiii Wajameni !Ukiwafuata Sana wanaojiita wataalamu WA ujenzi, kibongo bongo hutojenga KAMWE.
Huo msingi TU WA vyumba 3 unafukuzia mil.10+, Bado ujaanza kuinua Kuta, ujaja kwenye kupaua, Kisha finishing.
Ndo Yale Yale unajenga nyumba ya vyumba 3 Kwa mil 300, siku ukitaka kuiuza unaanza kuwalaani madalali.
Makaratas akikupa mkandaras unyama ,maana ndio hela yake ila mkeka akiandaa fundi maiko kimbia wanachotaka wao ni ku secure tu kibarua huko mbeleni utajua wewemakaratasi yaliniambia boma litataka 12M
nikaingia saiti asee iliisha 19M
Kuna tofali aina mbili. Za kuchoma na za blocks (sementi) Hizo za sementi kuna zile za inchi tano na za inchi 6. Kwa kawaida zinazotumika kwa ujenzi wa watu wa kawaida (uraiani) ni inchi 5 ila kwa majengo ya Serikali hutumia za inchi 6.So nyumba ya vyumba 3 tofali ngapi za msingi ni sawa? Mimi nilitaka chumba kimoja na sebule jamaa akasema 7M nikakimbia kwanza