Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
- Thread starter
- #201
Kapost project yake "anawalisha" angekuwa anawala tungesema " kajipost".Mtu kapiga picha na kuku anawalisha hajaweka Bei Yan hawako sokoni ni kapost au kajipost hebu nieleweshe kwanza ndugu?
Halafu hata huko kujipost , nimesema wale wa Kila siku, Kila siku, Kila siku sura au maisha yake anayaweka public, ndo nilowalenga. Ndomna nikasema.
Kujipost Kila siku napo ni utumwa. Na Wala sikusema kujipost napo ni utumwa.