Kujiunga jeshi isiwe sababu ya kufanya kazi za kutweza utu. Anachofanya mwanajeshi huyu ninaamini hata yeye hakipendi

Kujiunga jeshi isiwe sababu ya kufanya kazi za kutweza utu. Anachofanya mwanajeshi huyu ninaamini hata yeye hakipendi

Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.

Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.

Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.

Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.

Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.

Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.

Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.

Haikubaliki!

View attachment 2835681
Huyo askari hajatumwa na serikali wala mtu yoyote kubong'oka hivyo ila anatafuta sifa tu.
 
Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.

Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.

Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.

Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.

Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.

Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.

Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.

Haikubaliki!

View attachment 2835681
Chadema akili zenu ni za nyumbu
 
Unabidi kuelewa mpaka MTU anaingia jeshini na Hana cheo ujue anatoka katika familia ambazo sio bora.


Hivyo unabidi kutii kila kitu ili ugali wako uendelee kuwepo tofauti na hapo ni ttizo hivyo tuwatie moyo hawa vijana ambao wameamua kujipambania ..
 
Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.

Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.

Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.

Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.

Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.

Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.

Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.

Haikubaliki!

View attachment 2835681
Hapo ndiyo kusema anamuokoa muathirika wa mafuriko, au anafanya kazi iliyotakiwa kufanywa na tingatinga!!
 
Hoja yako ni ya msingi, ila kwa hapa Tanzania wanajeshi na raia ni sawa sato na sangara mmoja anamla mwingine. Mitaani hao jamaa hawakai vizuri na raia na ndo wezi wa sanduku za kura. Bila shaka wewe pia ni mmoja wao kama sio basi ni tegemezi wa mmoja wao. Si rahisi raia kumkuta anawaombea mema.
Ila mwisho wa yote hao jamaa ni ndugu zetu tuwatakie mema
 
Back
Top Bottom