Kujivunia maendeleo makubwa ya sekta ya barabara ndani ya miaka 60 ya Uhuru bila kumtaja Hayati Magufuli ni makosa makubwa ya kihistoria

Kujivunia maendeleo makubwa ya sekta ya barabara ndani ya miaka 60 ya Uhuru bila kumtaja Hayati Magufuli ni makosa makubwa ya kihistoria

Habari za Magufuli kuwa fisadi Papa kwa kupiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ziliandikwa kila mahali ikiwa ni pamoja na hapa JF lakini kwa sababu ya wewe kuwa mjinga unataka kushindana na mimi ila mradi unipotezee muda.

Hukufuatilia ripoti ya CAG?Hufuatilii yanayoendelea katika nchi yako?

View attachment 2038593
View attachment 2038601
Unaishi Tanzania?
 
Back
Top Bottom