Kujua hatma ya wananchi kupewa hati ya viwanja vya mradi wa Tundwi Songani vilivyotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni na Wizara husika

360degrees

Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
8
Reaction score
7
Mhe Jerry Silaa Waziri wa Ardhi, nyumba, maendeleo na makazi tunaomba kujua hatma ya kupewa HATI kwa wananchi walionunua viwanja vya mradi wa Tundwi Songani vilivyotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni mwaka jana. Wizara husika imeweka zuio la kutoa hati kwa wananchi waliokwisha maliza kununua viwanja husika ikidai kuna mgogoro baina ya Wizara husika na mwenye eneo
Kama hilo zoezi limeshindikan basi wizara husika irudishe fedha kwa wananchi waliolipia gharama za kununua viwanja husika
 

Attachments

  • 8E329780-7BC6-4951-8948-02DA555A4EE3.jpeg
    155.5 KB · Views: 17
  • 6F3F49E4-D244-4D3F-A490-E160B88BF853.jpeg
    140.3 KB · Views: 16
Hakuna mgogoro wowote, huwezi kuchukuwa eneo na kulipima na kuanza kuuza viwanja kabla ya kumlipa stahili zake mwenye shamba lake.

Hiyo ni migogoro ya kutengenezwa na kudharau mali ya mtu, waende wakafyeke misitu ya serikali wakate viwanja.
 
Hakuna mgogoro wowote, huwezi kuchukuwa eneo na kulipima na kuanza kuuza viwanja kabla ya kumlipa stahili zake mwenye shamba lake.

Hiyo ni migogoro ya kutengenezwa na kudharau mali ya mtu, waende wakafyeke misitu ya serikali wakate
Kama hakuna mgogoro basi Wizara husika iweke wazi sababu zinazopelekea kuweka zuio la kutoa hati kwa wananchi waliolipia kununua hivyo viwanja
 
Hapo kuna sarakasi inachezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…