Umenena.Mmechelewa sana , wenye pesa na vyeti feki walikuwa wanawadanganya jmaa ni dikteta
Hata kipindi cha Ulimboka hakuwepo.Kuna mambo Mawili muhimu Sana
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa
Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo
Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki
Ahsanteni πΌ
Watu kama nyie huwa mnazaliwa na watu wa aina gani? Yaani jitu ovu unaliita shujaa lako π€π€Kuna mambo Mawili muhimu Sana
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa
Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo
Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki
Ahsanteni πΌ
Ukiona jitu linamponda Magufuli ujue :Ni jambazi, lilikuwa na vyeti fake, fisadi.Haitoondoa ukweli kwamba Magufuli alikuwa na vitendo vya kishetani sn....
Kumbe na wewe ni walewaleMada kwa Wenye Vyeti tu ππ₯
Ni sawa Sasa hivi vitokee vifo huko ujerumani kisha useme Hitler alisingiziwa maana Sasa hivi hayupo.Kuna mambo Mawili muhimu Sana
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa
Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo
Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki
Ahsanteni πΌ
Tanzania hakuna uwajibikaji wa viongozi iwapo aliyekufa ni mpinzani. Mifumo ipo kulinda uchafu.Uhovyo wake ni pale tu anapotaka jambo liwe wazi kuhusiana na tuhuma zinazopelekwa kwenye jeshi lake?
Huoni kwamba ni wakati wa yeye kuaibika pindi ushahidi wa wazi utapotolewa na kina Malisa?
Maana yake: Pigana na System ya CCM usipigane na mtu mmoja. Ondoa CCM nchi itakuwa salama.Unatqkq kusema nini
Sasa unadhani bila Mungu kumuua Jiwe hii nchi ingekuwa wapi? Ile ilikuwa laana kwa TaifaUmenena.
Juzi Maranja Masese kaja na makala ndefu kuelezea majambazi yanavyofilisi mabenki kwa kuchukua mikopo kisha kukimbilia mahakamani kuzuia kulipa pesa waliyokopa.
Masese kaandika kwenye makala yake kwamba majambazi haya wakati wa Magufuli yalifungwa, kufilisiwa na mengine kuikimbia nchi.
Ni kina Masese hawahawa walioimba wakati wa Magufuli kwamba anakandamiza biashara na kupora mali za wafanyabiashara. Baada ya Magufuli wakaja na mapambio ya mama anaiponya nchi.
Watulie wakati nchi inaendelea kuponywa.
So wewe ni chizi kuwa huwezi kupaza sauti mpaka wanaume wenzako wakupazie,utakuwa sukuma gang weweHata kipindi cha Ulimboka hakuwepo.
Kimsingi siku hizi watu wanauwawa kwa wingi sana, ila wa kupaza sauti ndio hao walio lamba asali.
Mlaani mzazi aliyekunyima Shule na Wewe kujiongeza ukubwani kununua fekilo ππWatu kama nyie huwa mnazaliwa na watu wa aina gani? Yaani jitu ovu unaliita shujaa lako π€π€
Ukiona mtu anajificha kwenye vyeti feki ujua akili zake ndiyo zile kama za BashiteUkiona jitu linamponda Magufuli ujue :Ni jambazi, lilikuwa na vyeti fake, fisadi.
Mkuu, watanzania tunasitahili maisha yote ya mateso na umasikini ulioshibaUmenena.
Juzi Maranja Masese kaja na makala ndefu kuelezea majambazi yanavyofilisi mabenki kwa kuchukua mikopo kisha kukimbilia mahakamani kuzuia kulipa pesa waliyokopa.
Masese kaandika kwenye makala yake kwamba majambazi haya wakati wa Magufuli yalifungwa, kufilisiwa na mengine kuikimbia nchi.
Ni kina Masese hawahawa walioimba wakati wa Magufuli kwamba anakandamiza biashara na kupora mali za wafanyabiashara. Baada ya Magufuli wakaja na mapambio ya mama anaiponya nchi.
Watulie wakati nchi inaendelea kuponywa.
Kwani unajua elimu yangu ni kiasi gani au unaongea kama huna kichwa?Mlaani mzazi aliyekunyima Shule na Wewe kujiongeza ukubwani kununua fekilo ππ
Laana kwako baraka kwa mwingine.Sasa unadhani bila Mungu kumuua Jiwe hii nchi ingekuwa wapi? Ile ilikuwa laana kwa Taifa
Kubenea akiwa Chadema alisema anajua Ben alipo na huwa anamkuta LibraryNi sawa Sasa hivi vitokee vifo huko ujerumani kisha useme Hitler alisingiziwa maana Sasa hivi hayupo.
Sidhani kama unamzidi Kibajaj ππKwani unajua elimu yangu ni kiasi gani au unaongea kama huna kichwa?
Chizi mwenyewe.So wewe ni chizi kuwa huwezi kupaza sauti mpaka wanaume wenzako wakupazie,utakuwa sukuma gang wewe