Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

Mmechelewa sana , wenye pesa na vyeti feki walikuwa wanawadanganya jmaa ni dikteta
Umenena.

Juzi Maranja Masese kaja na makala ndefu kuelezea majambazi yanavyofilisi mabenki kwa kuchukua mikopo kisha kukimbilia mahakamani kuzuia kulipa pesa waliyokopa.

Masese kaandika kwenye makala yake kwamba majambazi haya wakati wa Magufuli yalifungwa, kufilisiwa na mengine kuikimbia nchi.

Ni kina Masese hawahawa walioimba wakati wa Magufuli kwamba anakandamiza biashara na kupora mali za wafanyabiashara. Baada ya Magufuli wakaja na mapambio ya mama anaiponya nchi.

Watulie wakati nchi inaendelea kuponywa.
 
Kuna mambo Mawili muhimu Sana

Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi

Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa

Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi

Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo

Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki

Ahsanteni 🐼
Hata kipindi cha Ulimboka hakuwepo.

Kimsingi siku hizi watu wanauwawa kwa wingi sana, ila wa kupaza sauti ndio hao walio lamba asali.
 
Kuna mambo Mawili muhimu Sana

Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi

Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa

Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi

Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo

Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki

Ahsanteni 🐼
Watu kama nyie huwa mnazaliwa na watu wa aina gani? Yaani jitu ovu unaliita shujaa lako 🤔🤔
 
Kuna mambo Mawili muhimu Sana

Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi

Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa

Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi

Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo

Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki

Ahsanteni 🐼
Ni sawa Sasa hivi vitokee vifo huko ujerumani kisha useme Hitler alisingiziwa maana Sasa hivi hayupo.
 
Uhovyo wake ni pale tu anapotaka jambo liwe wazi kuhusiana na tuhuma zinazopelekwa kwenye jeshi lake?

Huoni kwamba ni wakati wa yeye kuaibika pindi ushahidi wa wazi utapotolewa na kina Malisa?
Tanzania hakuna uwajibikaji wa viongozi iwapo aliyekufa ni mpinzani. Mifumo ipo kulinda uchafu.
 
Unatqkq kusema nini
Maana yake: Pigana na System ya CCM usipigane na mtu mmoja. Ondoa CCM nchi itakuwa salama.
Aliyemuua Sokoine ni CCM (system)
Aliyemuua Balali (system)
Aliyemuua Kombe (system)
Aliyempiga risasi Tundu Lisu (system)
Watekaji wote: Ni System

System iliyowekwa na CCM, huwa inaendelezwa tu. Ukiua CCM system kwisha

Don't fight Kikwete, Magufuli, samia - Fight the System ==>> CCM
 
Umenena.

Juzi Maranja Masese kaja na makala ndefu kuelezea majambazi yanavyofilisi mabenki kwa kuchukua mikopo kisha kukimbilia mahakamani kuzuia kulipa pesa waliyokopa.

Masese kaandika kwenye makala yake kwamba majambazi haya wakati wa Magufuli yalifungwa, kufilisiwa na mengine kuikimbia nchi.

Ni kina Masese hawahawa walioimba wakati wa Magufuli kwamba anakandamiza biashara na kupora mali za wafanyabiashara. Baada ya Magufuli wakaja na mapambio ya mama anaiponya nchi.

Watulie wakati nchi inaendelea kuponywa.
Sasa unadhani bila Mungu kumuua Jiwe hii nchi ingekuwa wapi? Ile ilikuwa laana kwa Taifa
 
Hata kipindi cha Ulimboka hakuwepo.

Kimsingi siku hizi watu wanauwawa kwa wingi sana, ila wa kupaza sauti ndio hao walio lamba asali.
So wewe ni chizi kuwa huwezi kupaza sauti mpaka wanaume wenzako wakupazie,utakuwa sukuma gang wewe
 
Umenena.

Juzi Maranja Masese kaja na makala ndefu kuelezea majambazi yanavyofilisi mabenki kwa kuchukua mikopo kisha kukimbilia mahakamani kuzuia kulipa pesa waliyokopa.

Masese kaandika kwenye makala yake kwamba majambazi haya wakati wa Magufuli yalifungwa, kufilisiwa na mengine kuikimbia nchi.

Ni kina Masese hawahawa walioimba wakati wa Magufuli kwamba anakandamiza biashara na kupora mali za wafanyabiashara. Baada ya Magufuli wakaja na mapambio ya mama anaiponya nchi.

Watulie wakati nchi inaendelea kuponywa.
Mkuu, watanzania tunasitahili maisha yote ya mateso na umasikini ulioshiba

Hatujawahi kuwa wakweli kwenye kutaka kuuangamiza umasikini na huwa hatujui ni kipi kianze na kifuate nini

Mbaya kabisa, huwa hatujui tunataka nini na tunachukia nini, tupo tupo tu, hatujawahi kufahamu tunahitaji kiongozi wa aina gani, je ni yule mwenye kujambisha mafisadi au ni msharika wa mafisadi? Hatujui.

Lakini ukiwakuta Watanzania wanavyompambania kiongozi asiyecheka na mafisadi utadhani wanamaanisha, kumbe ni unafiki na upumbavu tu, baada ya muda watamgeuka
 
Ni sawa Sasa hivi vitokee vifo huko ujerumani kisha useme Hitler alisingiziwa maana Sasa hivi hayupo.
Kubenea akiwa Chadema alisema anajua Ben alipo na huwa anamkuta Library

TAL kagoma kumleta dereva

Mwenyekiti ni Afisa wa Serikali Mstaafu

Unaelewa Bwashee 😄😄
 
So wewe ni chizi kuwa huwezi kupaza sauti mpaka wanaume wenzako wakupazie,utakuwa sukuma gang wewe
Chizi mwenyewe.

Unazani kwa Nini kuna vyama vingi na mashirika mbalimbali? Na yote yanakula Kodi zetu? .

Kama hayafanyi kazi zetu basi yajifunge.
 
Back
Top Bottom