Kukataa mimba, kutelekeza watoto na kuwanyima huduma au kutowahudumia — wanaume mnakwama wapi?

Kukataa mimba, kutelekeza watoto na kuwanyima huduma au kutowahudumia — wanaume mnakwama wapi?

Helixir hakuna lawama hapo. Tumekumbushana na kushauriana ikiwa pia ni njia moja wapo ya mafundisho

Jamii inahusika na wewe pia ni jamii kwa hiyo tuendelee kusambaza upendo kwa watoto wetu
Baba yangu , baba zangu wadogo hawajawahi nifundisha chochote kuhusu dating , kuniongoza katika kipindi cha Uvulana Hadi uanaume kamili unaopelekea Ndoa .

Sikuwahi kuambiwa kwamba kuna kipindi natakiwa niache ujinga , nipambane nitengeneze Maisha yangu na ya mwanamke nitakeyemwita mke wangu mama wa watoto wangu .
Same applied KWA vijana wengi wa sasa Wanaachwa wajitambue wenyewe kweli .. kujitambua wakati Tumeshatumbukia shimoni.


Mama D kuna ulazima wa kurudisha jando na unyago.
 
Mwanaume anayekimbia mtoto sio mwanaume kamili

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
KWA karne hii wapo wengi tuu, Ukitizama vijana wengi Tunaingia kwenye mahusiano Bila kuchuja pros and cons za mahusiano ,Tunachotizama ni uhakika wa Uchi (Excuse my language) Hakuna chochote tunachokijua Mara paap Bila kutarajia ujauzito huu hapa .. Hali ambayo kijana hakujiandaa wala kuandaliwa ,Hali ya uchumi haieleweki solution inakuwa kukimbia au kukataa ujauzito/mtoto.

Swala hili lina hitaji utatuzi wa Hali ya juu .
 
Mwanaume anayekimbia mtoto sio mwanaume kamili

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Baba yangu , baba zangu wadogo hawajawahi nifundisha chochote kuhusu dating , kuniongoza katika kipindi cha Uvulana Hadi uanaume kamili unaopelekea Ndoa .

Sikuwahi kuambiwa kwamba kuna kipindi natakiwa niache ujinga , nipambane nitengeneze Maisha yangu na ya mwanamke nitakeyemwita mke wangu mama wa watoto wangu .
Same applied KWA vijana wengi wa sasa Wanaachwa wajitambue wenyewe kweli .. kujitambua wakati Tumeshatumbukia shimoni.


Mama D kuna ulazima wa kurudisha jando na unyago.

Pole, nna uhakika wewe utakua tofauti sana na baba zako
Anza kusahihisha makosa kuanzia kwako na kuendelea
 
Pole, nna uhakika wewe utakua tofauti sana na baba zako
Anza kusahihisha makosa kuanzia kwako na kuendelea
Baba yangu alikufa kitambo Sana nikiwa na miaka minne ,life was good kipindi akiwepo , zimebaki kumbukumbu tuu za picha na stori kutoka KWA dada yangu , Ilibidi nijikuze mimi mwenyewe kwa kiasi Fulani, at my early 20s Niliteleza pahala , sikukataa ujauzito nimetake full responsibilities japo kuna changamoto zake Nazishinda na ninazidi kuwa strong kila siku.

Nimezungumza na vijana wengi waliooa wanasema hawajawahi pewa elimu yeyote kuhusu maandalizi ya ndoa ,malezi ya mtoto and so on..
Wengi Tunaingia vitani KWA karne hii knowing nothing Tunaishia kupigwa za uso , inaumiza
 
Kukimbia mtoto ili kulinda ndoa nalo ni janga lingine
Na ukweli sio kwamba ndoa inalindwa, ila usaliti na uongo ndio vinalindwa hapo
Mkuu, si unajua ndoa ikiwa na utulivu ndani hata kuchepuka ni rahisi?
 
Ni sawa kama anapenda kwa maana unaeza mzuia ukakuta anawaxiwa kitandani kwako!

Sira 9: 2-3
Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa.
Usifuatane na mwanamke wa tabia mbaya, la sivyo utanaswa katika mitego yake.
 
Sira 9: 2-3
Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa.
Usifuatane na mwanamke wa tabia mbaya, la sivyo utanaswa katika mitego yake.
Ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu! This is 21st century
 
Kusema wanawake siku hizi wamekua pasua kichwa halafu haohao wanaume wanazaa na pasua vichwa huoni kuna tatizo mahala?
Hivi unajua ni rahisi kumbaka mwanamke na kumpa mimba zaidi ya kumbaka mwanaume?
Anayeadhibiwa hapo ni nani? Ni pasua kichwa au yule mtoto wako asiyekua na hatia?

Wanaume tumieni tuu busara, kwenye hili la mtoto hamna EXCUSES
Vp kuhusu nyie wanawake kutembea na wanaume weng kwa wakat mmoja, haraf ukipata mimba unambambikizia mmoja wapo!! Ungekuwa wew ungekubal ?? Kwel mtoto unaweza ukamhudumia kwa 100% wakat unajua mlikuwa wanaume wengi ?? Heb litolee maelezo hili
 
Vp kuhusu nyie wanawake kutembea na wanaume weng kwa wakat mmoja, haraf ukipata mimba unambambikizia mmoja wapo!! Ungekuwa wew ungekubal ?? Kwel mtoto unaweza ukamhudumia kwa 100% wakat unajua mlikuwa wanaume wengi ?? Heb litolee maelezo hili

Kati ya mimba na watoto walotelekezwa, Tunaweza kupata idadi ya mimba zilizokatakiwa na watoto kutelekezwa sababu mamama zao walitembea na wanaume wengi?
 
Zamani ilikua ni furaha, heshma na sifa njema mwanaume kupata watoto, kuwalea kwa mahitaji na mafundisho bora lakini siku hizi mambo yamebadilika! Wanaume wengi wamekua na ka desturi kapya kabisaaa. Achana na kale ka kukataa mimba ambazo wanajua kabisa wao ni wahusika; Wanaume wengi wamekua wazito, wazembe na wakatili mno linapokuja swala la kuwahudumia watoto wao.

Kwa taratibu za kiimani na kidesturi mtoto ni wa mwanaume sio kwa ubini tuu; bali hata mfumo mzima wa kupata watoto mwanamke ni kama shamba zuri lenye rutuba na mwanaume ndio mkulima mwenye mbegu zake na yeye ndio anaamua akazipande kwenye shamba gani, azitunze ili apate matunda bora.

Leo nimekutana na kesi ya mwanaume mmoja hospitalini, mtu mzima kama baba kwangu anaumwa vibaya. Watoto zake na mke wake wameshakata tamaa ya kumuuguza sababu wameshatumia pesa nyingi sana na hawana tena uwezo. Ghafla wakaingia watu wawili mwanaume na mwanamke, wakamfuata kwenye kitanda na kuomba faragha waongee nae kwa muda, baada ya muda daktari akaitwa..... kumbe wale ni watoto wake aliwakimbia ila baada ya kupokea taarifa za kuugua kwa baba yao toka kwa mama yao ambaye anaishi hapa wamefanya mipango yote na sasa wamekuja kumchukua kwenda kutibiwa nje ya nchi.

Yule baba amelia jamani, sijui kile kilio kilikua cha aibu? Cha majuto? Au cha uchungu maana kilikua kilio cha nguvu na kwikwi hadi watu wengine machozi yakawa yanawatoka.

Baba zetu, kaka zetu, watoto zetu tunzeni watoto wenu mnaozaa. Haijalishi ulimpata mtoto ukiwa katika hali gani ila kwa kuwa ni mtoto wako wajibika tuu kwa nafasi yako na Mungu atakubariki kwa nafasi yake.

Baba mchungaji Daniel Mugogo anakazia hapa

View attachment 2197930

Mungu awabariki wanaume wote mnaotunza watoto zenu bila shurti
Tatizo mnafanya makusudi, mkitegemea metapata ndoa. Pole sana Kwa yaliyokukuta mama D
 
Kati ya mimba na watoto walotelekezwa, Tunaweza kupata idadi ya mimba zilizokatakiwa na watoto kutelekezwa sababu mamama zao walitembea na wanaume wengi?
Mim nmeongelea sababu za wanaume kutelekeza watoto,na ndo maana nkakuambia ujali kuashum wew ni mwanaume na nkakutaka ulitolee maelezo,,mim nkashaur ungelitolea kwanza maelezo Hilo swala haraf na wew ndo uniulize sasa
 
Sira 9: 2-3
Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa.
Usifuatane na mwanamke wa tabia mbaya, la sivyo utanaswa katika mitego yake.
Wanawake mnamatatzo Sana Tena sana,Tena mkiwa na kasura kamvuto ndo mnaleta shda mno,yaan mnajionaga mnaweza Kila kitu,kumbe hamna kitu,haraf mnakujaga kujielewa mda ushaenda,kias kwamba huwez kuolewa yaan ushakuwa chakula Cha mabaharia tu
 
Ni mafurushi.

Mwanaume anayekimbia mtoto sio mwanaume kamili

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Kati ya mimba na watoto walotelekezwa, Tunaweza kupata idadi ya mimba zilizokatakiwa na watoto kutelekezwa sababu mamama zao walitembea na wanaume wengi?

Ngoja niwape scenario then mseme "Ubaya wa wanaume uko wapi?""

Nina mabinti wawili mmoja naishi nae na mwengine yupo kwa mama ake.

1. Mtoto wa kwanza
Nilikutana na mama ake mjni Daslamu..!!
Kwenye harakati zangu za kutafuta maisha.
Mapenzi yakanoga binti akapata mimba.
Katikati ya mimba nikagundua Mimi, bosi wake wa kazini, na Mchungaji wake wotee tunamla.
Tena hata akiwa na mimba tulikuwa tuna mla.
Nilivyo pekua zaidi nikagundua mimba yake alinipa Mimi kwasababu ndio nilikuwa single.
Nilikata huduma fasta na nikahama.
Hakujua nilikohamia.
Maisha yalienda mtoto akazaliwa.

Yule dada alimtafuta dada angu na kumtumia picha ya mtoto, aisee alikuwa anafanana na Mimi copy right...!!!

Shangazi zangu wakapata habari na ukweli wa story.
Wakaomba watumiwe michoro ya mikono, walivyoizoom michoro ya mikono kwenye kiganja cha mtoto wakasema "Hii damu yetu" + na hii sura mlivyofanana HUNA HAJA YA KUPIMA DNA.

Ilibidi nimkubali na nianze kumtunza mtoto kwa makubaliano akifika miaka 5 namchukua.

Mtoto akiwa na miaka 3 mama ake aliolewa akaniachia na yeye kaenda kuanza maisha na mumewe.

WHAT IF TUSINGEFANANA UNADHANI NINGEMKUBALI?

NISINGETOA HATA 10 YA MALEZI, WANGELEA BOSI NA MCHUNGAJI.

2. Mtoto wa pili.
Nilikutana na mama ake na mapenzi yakaanza.
Kuna siku alikuja kwangu ijumaa tukafanya, akasepa na kurudi juma3.

Juma3 alivyokuja alikuwa amechokaa na Kazi akaomba alale tuu siku nzima.

Katikati ya kulala nikaona sms nyingii zinaingia.
Ile kuangalia simu yake nikagundua ijuma alilala na Mimi, jumamosi na mjamaa mwengine, na jumapili na mwengine na Mimi karudi Tena juma3.

Kwenye sms za kawaida ilionyesha tupo wanaume wa 3 tuna muhudumia.
Ila kiuhalisia sikujua exactly figure TUPO WANGAPI.
Hawa wawili ni vile nilikutana na ushahidi kwenye simu.

Aliamka, ile kumuuliza ni ugomvi then akaondoka kwa hasira.

Ikapita wiki kadhaa bila kuwasiliana na Mimi, akanijuza "Nina mimba"

Hata siku jibu nilikata simu na kukaa kimyaa na kumblock.

Mtoto akazaliwa.

Akawa anasisitizaa hii mimba ni yangu, swala likaenda ustawi, yeye na dada ake wakakomaa "mtoto wangu", huku Mimi NABISHAAA na kuelezea niliyoyakuta kwenye simu yake.

Ustawi ukatoa solution "tupime DNA".
DNA ikapimwa na majibu yakatoka "Mtoto ni wangu"

Kwasasa namlea. Na mtoto anakuja sanaa kwangu siku za likizo.
Akija anaishi na mwenzake maana wotee ni watoto wangu.

Huyu nae namtaka kutoka kwa mama ake japo mama ake amekuwa mbishi.

JIULIZE.
Kwenye kesi kama hizi "Kuna ubaya wa mwanaume kukataa mimba?"

Hivi kama ningekuwa sina uwezo wa kilipia DNA unadhani NINGEMKUBALI mtoto?

Hakuna mwanaume anayemkataa mtoto BILA SABABU ila Kuna SABABU ZINAFANYA TUWAKATAE HAO WATOTO.

Tunakulala wanaume zaidi ya mmoja, KWANINI MIMBA IWE YANGU NA ISIWE YA HAO WENGINE?

#YNWA
 
Back
Top Bottom