Kukataa mimba, kutelekeza watoto na kuwanyima huduma au kutowahudumia — wanaume mnakwama wapi?

Kukataa mimba, kutelekeza watoto na kuwanyima huduma au kutowahudumia — wanaume mnakwama wapi?

Mazingra ninayofanyia kazi hili swala huwa nakutana nalo sana wanawake wengi wanakuja na madai ya kutohudumiwa watoto lakini anapoitwa mwanaume mambo yanakuwa tofauti. Wanaume wengi wanaptia magum mengi kutoka kwa wenza wao lakini wanakaa kimya. Ushauri kwa wanaume wenzangu ukigombana na mke chukua wanao au weka mazingira ya kuwahudumia maana wengne wanatoa huduma kwa ajili ya watoto lakini zile huduma haziwafikii walengwa.
Tena hapo ndipo wapo wengi, hela ya mtoto unafanya shopping, mara vikoba sijui michezo hela yenyewe ukipata sijui inaenda wapi, yote tisa wakijaribu kuulizwa kuhusu hela za mtoto, ndipo matusi yana anza.

Sometimes ukitaka kuishi na hawa wanawake unatakiwa UWADHARAU na KUWAPUUZIA la sivyo ndio hivyo utasusa kumuhudumia mtoto au utaishia kumpiga, wewe cha msingi ukiona anazingua tafuta njia nyingine ya kuhakikisha kwamba hela inamfikia mtoto basi.
 
Ngoja niwape scenario then mseme "Ubaya wa wanaume uko wapi?""

Nina mabinti wawili mmoja naishi nae na mwengine yupo kwa mama ake.

1. Mtoto wa kwanza
Nilikutana na mama ake mjni Daslamu..!!
Kwenye harakati zangu za kutafuta maisha.
Mapenzi yakanoga binti akapata mimba.
Katikati ya mimba nikagundua Mimi, bosi wake wa kazini, na Mchungaji wake wotee tunamla.
Tena hata akiwa na mimba tulikuwa tuna mla.
Nilivyo pekua zaidi nikagundua mimba yake alinipa Mimi kwasababu ndio nilikuwa single.
Nilikata huduma fasta na nikahama.
Hakujua nilikohamia.
Maisha yalienda mtoto akazaliwa.

Yule dada alimtafuta dada angu na kumtumia picha ya mtoto, aisee alikuwa anafanana na Mimi copy right...!!!

Shangazi zangu wakapata habari na ukweli wa story.
Wakaomba watumiwe michoro ya mikono, walivyoizoom michoro ya mikono kwenye kiganja cha mtoto wakasema "Hii damu yetu" + na hii sura mlivyofanana HUNA HAJA YA KUPIMA DNA.

Ilibidi nimkubali na nianze kumtunza mtoto kwa makubaliano akifika miaka 5 namchukua.

Mtoto akiwa na miaka 3 mama ake aliolewa akaniachia na yeye kaenda kuanza maisha na mumewe.

WHAT IF TUSINGEFANANA UNADHANI NINGEMKUBALI?

NISINGETOA HATA 10 YA MALEZI, WANGELEA BOSI NA MCHUNGAJI.

2. Mtoto wa pili.
Nilikutana na mama ake na mapenzi yakaanza.
Kuna siku alikuja kwangu ijumaa tukafanya, akasepa na kurudi juma3.

Juma3 alivyokuja alikuwa amechokaa na Kazi akaomba alale tuu siku nzima.

Katikati ya kulala nikaona sms nyingii zinaingia.
Ile kuangalia simu yake nikagundua ijuma alilala na Mimi, jumamosi na mjamaa mwengine, na jumapili na mwengine na Mimi karudi Tena juma3.

Kwenye sms za kawaida ilionyesha tupo wanaume wa 3 tuna muhudumia.
Ila kiuhalisia sikujua exactly figure TUPO WANGAPI.
Hawa wawili ni vile nilikutana na ushahidi kwenye simu.

Aliamka, ile kumuuliza ni ugomvi then akaondoka kwa hasira.

Ikapita wiki kadhaa bila kuwasiliana na Mimi, akanijuza "Nina mimba"

Hata siku jibu nilikata simu na kukaa kimyaa na kumblock.

Mtoto akazaliwa.

Akawa anasisitizaa hii mimba ni yangu, swala likaenda ustawi, yeye na dada ake wakakomaa "mtoto wangu", huku Mimi NABISHAAA na kuelezea niliyoyakuta kwenye simu yake.

Ustawi ukatoa solution "tupime DNA".
DNA ikapimwa na majibu yakatoka "Mtoto ni wangu"

Kwasasa namlea. Na mtoto anakuja sanaa kwangu siku za likizo.
Akija anaishi na mwenzake maana wotee ni watoto wangu.

Huyu nae namtaka kutoka kwa mama ake japo mama ake amekuwa mbishi.

JIULIZE.
Kwenye kesi kama hizi "Kuna ubaya wa mwanaume kukataa mimba?"

Hivi kama ningekuwa sina uwezo wa kilipia DNA unadhani NINGEMKUBALI mtoto?

Hakuna mwanaume anayemkataa mtoto BILA SABABU ila Kuna SABABU ZINAFANYA TUWAKATAE HAO WATOTO.

Tunakulala wanaume zaidi ya mmoja, KWANINI MIMBA IWE YANGU NA ISIWE YA HAO WENGINE?

#YNWA

Wewe ulikataa mimba ukiwa na sababu za msingi, wenzio wengi wanakataa sababu hawazitaki tuu
Halafu hongera kwa kulea watoto wako
 
Kusema wanawake siku hizi wamekua pasua kichwa halafu haohao wanaume wanazaa na pasua vichwa huoni kuna tatizo mahala?
Hivi unajua ni rahisi kumbaka mwanamke na kumpa mimba zaidi ya kumbaka mwanaume?
Anayeadhibiwa hapo ni nani? Ni pasua kichwa au yule mtoto wako asiyekua na hatia?

Wanaume tumieni tuu busara, kwenye hili la mtoto hamna EXCUSES
Wewe ni mwanamke ila hujui mengi kuhusu wanawake. Wanawake wengi pasua kichwa kwa maana unaingia kwenye mahusiano nae unakuwa hujui tabia zake. Muda kidogo unagundua yuko na mahusiano mengine pia na hayo mahusiano unagundua hata jana tu walikuwa wote. Unaamua kumpiga chini. Siku kadhaa mbele anakuambia ana mimba. Hapo hata yeye mwanamke hajui ni ya nani kati ya aliodate nao,ila anawaambia wote tu,upepo utajulikana mbele.

Kwa hiyo asilimia kubwa ya wanaume haawaamui tu kuzaa na pasua kichwa,na mwanaume unakuta hana mpango wa kuzaa,ila inatokea hivyo.

Wanakuambia 60% ya wanawake walio kwenye ndoa. Watoto sio wa baba mwenye nyumba.

Juzi kati hapo kuna mwanamke alileta tred hapa,yuko kwenye ndoa lakini watoto wa3 wa mtu wa nje. Akafariki yule mchepuko. Anatamani aende akawatambulishe watoto,wapate mgao wa marehemu. Hapo kumbuka yuko kwenye ndoa. Wanawake pasua kichwa. Hata hawajui nini wanataka
 
Ngoja niwape scenario then mseme "Ubaya wa wanaume uko wapi?""

Nina mabinti wawili mmoja naishi nae na mwengine yupo kwa mama ake.

1. Mtoto wa kwanza
Nilikutana na mama ake mjni Daslamu..!!
Kwenye harakati zangu za kutafuta maisha.
Mapenzi yakanoga binti akapata mimba.
Katikati ya mimba nikagundua Mimi, bosi wake wa kazini, na Mchungaji wake wotee tunamla.
Tena hata akiwa na mimba tulikuwa tuna mla.
Nilivyo pekua zaidi nikagundua mimba yake alinipa Mimi kwasababu ndio nilikuwa single.
Nilikata huduma fasta na nikahama.
Hakujua nilikohamia.
Maisha yalienda mtoto akazaliwa.

Yule dada alimtafuta dada angu na kumtumia picha ya mtoto, aisee alikuwa anafanana na Mimi copy right...!!!

Shangazi zangu wakapata habari na ukweli wa story.
Wakaomba watumiwe michoro ya mikono, walivyoizoom michoro ya mikono kwenye kiganja cha mtoto wakasema "Hii damu yetu" + na hii sura mlivyofanana HUNA HAJA YA KUPIMA DNA.

Ilibidi nimkubali na nianze kumtunza mtoto kwa makubaliano akifika miaka 5 namchukua.

Mtoto akiwa na miaka 3 mama ake aliolewa akaniachia na yeye kaenda kuanza maisha na mumewe.

WHAT IF TUSINGEFANANA UNADHANI NINGEMKUBALI?

NISINGETOA HATA 10 YA MALEZI, WANGELEA BOSI NA MCHUNGAJI.

2. Mtoto wa pili.
Nilikutana na mama ake na mapenzi yakaanza.
Kuna siku alikuja kwangu ijumaa tukafanya, akasepa na kurudi juma3.

Juma3 alivyokuja alikuwa amechokaa na Kazi akaomba alale tuu siku nzima.

Katikati ya kulala nikaona sms nyingii zinaingia.
Ile kuangalia simu yake nikagundua ijuma alilala na Mimi, jumamosi na mjamaa mwengine, na jumapili na mwengine na Mimi karudi Tena juma3.

Kwenye sms za kawaida ilionyesha tupo wanaume wa 3 tuna muhudumia.
Ila kiuhalisia sikujua exactly figure TUPO WANGAPI.
Hawa wawili ni vile nilikutana na ushahidi kwenye simu.

Aliamka, ile kumuuliza ni ugomvi then akaondoka kwa hasira.

Ikapita wiki kadhaa bila kuwasiliana na Mimi, akanijuza "Nina mimba"

Hata siku jibu nilikata simu na kukaa kimyaa na kumblock.

Mtoto akazaliwa.

Akawa anasisitizaa hii mimba ni yangu, swala likaenda ustawi, yeye na dada ake wakakomaa "mtoto wangu", huku Mimi NABISHAAA na kuelezea niliyoyakuta kwenye simu yake.

Ustawi ukatoa solution "tupime DNA".
DNA ikapimwa na majibu yakatoka "Mtoto ni wangu"

Kwasasa namlea. Na mtoto anakuja sanaa kwangu siku za likizo.
Akija anaishi na mwenzake maana wotee ni watoto wangu.

Huyu nae namtaka kutoka kwa mama ake japo mama ake amekuwa mbishi.

JIULIZE.
Kwenye kesi kama hizi "Kuna ubaya wa mwanaume kukataa mimba?"

Hivi kama ningekuwa sina uwezo wa kilipia DNA unadhani NINGEMKUBALI mtoto?

Hakuna mwanaume anayemkataa mtoto BILA SABABU ila Kuna SABABU ZINAFANYA TUWAKATAE HAO WATOTO.

Tunakulala wanaume zaidi ya mmoja, KWANINI MIMBA IWE YANGU NA ISIWE YA HAO WENGINE?

#YNWA

We nawe unahangaikaa, ila unajitetea tu, walete nao tuwasikilize.

Kama una mashaka pima DNA beba majukumu yako. Haina kujiterea hiyo.
 
Zamani ilikua ni furaha, heshma na sifa njema mwanaume kupata watoto, kuwalea kwa mahitaji na mafundisho bora lakini siku hizi mambo yamebadilika! Wanaume wengi wamekua na ka desturi kapya kabisaaa. Achana na kale ka kukataa mimba ambazo wanajua kabisa wao ni wahusika; Wanaume wengi wamekua wazito, wazembe na wakatili mno linapokuja swala la kuwahudumia watoto wao.

Kwa taratibu za kiimani na kidesturi mtoto ni wa mwanaume sio kwa ubini tuu; bali hata mfumo mzima wa kupata watoto mwanamke ni kama shamba zuri lenye rutuba na mwanaume ndio mkulima mwenye mbegu zake na yeye ndio anaamua akazipande kwenye shamba gani, azitunze ili apate matunda bora.

Leo nimekutana na kesi ya mwanaume mmoja hospitalini, mtu mzima kama baba kwangu anaumwa vibaya. Watoto zake na mke wake wameshakata tamaa ya kumuuguza sababu wameshatumia pesa nyingi sana na hawana tena uwezo. Ghafla wakaingia watu wawili mwanaume na mwanamke, wakamfuata kwenye kitanda na kuomba faragha waongee nae kwa muda, baada ya muda daktari akaitwa..... kumbe wale ni watoto wake aliwakimbia ila baada ya kupokea taarifa za kuugua kwa baba yao toka kwa mama yao ambaye anaishi hapa wamefanya mipango yote na sasa wamekuja kumchukua kwenda kutibiwa nje ya nchi.

Yule baba amelia jamani, sijui kile kilio kilikua cha aibu? Cha majuto? Au cha uchungu maana kilikua kilio cha nguvu na kwikwi hadi watu wengine machozi yakawa yanawatoka.

Baba zetu, kaka zetu, watoto zetu tunzeni watoto wenu mnaozaa. Haijalishi ulimpata mtoto ukiwa katika hali gani ila kwa kuwa ni mtoto wako wajibika tuu kwa nafasi yako na Mungu atakubariki kwa nafasi yake.

Baba mchungaji Daniel Mugogo anakazia hapa

View attachment 2197930

Mungu awabariki wanaume wote mnaotunza watoto zenu bila shurti
Usizae na mtu hajakuoa
 
Wewe ni mwanamke ila hujui mengi kuhusu wanawake. Wanawake wengi pasua kichwa kwa maana unaingia kwenye mahusiano nae unakuwa hujui tabia zake. Muda kidogo unagundua yuko na mahusiano mengine pia na hayo mahusiano unagundua

Unaposema wanawake siku hizi ni pasua kichwa wakati huo wewe ni malaika? Mshaambiwa hakuna mwanamke mwenye tabia, tabia zake zitareflect zako. Hivyo badili zako nae hatokuwa pasua kichwa. Vichwa vya familia mnakwama wapi[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Kama hiyo nafasi imewashinda hebu semeni.
 
Unaposema wanawake siku hizi ni pasua kichwa wakati huo wewe ni malaika? Mshaambiwa hakuna mwanamke mwenye tabia, tabia zake zitareflect zako. Hivyo badili zako nae hatokuwa pasua kichwa. Vichwa vya familia mnakwama wapi[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Kama hiyo nafasi imewashinda hebu semeni.
Umesema ”mmeshaambiwa”. Tumeambiwa na nani?. Na MUNGU? au tumeambiwa na nani?.


Yaani mfano kijana anaingia kwenye mahusiano na msichana. Huyo kijana malengo yake ni kumuoa huyo msichana. Wameenda miezi miwili,mitatu,anagundua yule msichana ana mahusiano na mtu mwingine kitambo tu. Sasa hapo tabia za huyo msichana zime-akisiwa (reflect) vipi na tabia za huyo msichana?.

Pili Umesema kijana abadiri tabia zake,afuate kile anachofanya msichana kuwa na wawili,watatu?
Vichwa vya familia bado tuko imara. Ila tu ule mkutano wa Beijing china umewafanya nyie kutaka vingi kwa pupa. Hata ongea yako kichwani mmejawa na tamaa. Mnatamani kuwa vichwa vya familia,huku mnatamani pia upate uwezo wa kumiliki kwa haraka kama vile anavyomiliki mwanaume. Mnakwama sana,ndoa nyingi za sasa zinavunjika kwa sababu ya nyie kujua kwingi. Ujajanja janja wenu
 
Umesema ”mmeshaambiwa”. Tumeambiwa na nani?. Na MUNGU? au tumeambiwa na nani?.


Yaani mfano kijana anaingia kwenye mahusiano na msichana. Huyo kijana malengo yake ni kumuoa huyo msichana. Wameenda miezi miwili,mitatu,anagundua yule msichana ana mahusiano na mtu mwingine kitambo tu. Sasa hapo tabia za huyo msichana zime-akisiwa (reflect) vipi na tabia za huyo msichana?.

Pili Umesema kijana abadiri tabia zake,afuate kile anachofanya msichana kuwa na wawili,watatu?
Vichwa vya familia bado tuko imara. Ila tu ule mkutano wa Beijing china umewafanya nyie kutaka vingi kwa pupa. Hata ongea yako kichwani mmejawa na tamaa. Mnatamani kuwa vichwa vya familia,huku mnatamani pia upate uwezo wa kumiliki kwa haraka kama vile anavyomiliki mwanaume. Mnakwama sana,ndoa nyingi za sasa zinavunjika kwa sababu ya nyie kujua kwingi. Ujajanja janja wenu
"Muishi nao kwa akili" kama hauna akili usitafute wa kumlaumu. Jilaumu mwenyewe.
 
Wanaume wanaume tunzeni watoto wenu
Lakini mwanamke unapoamua kuzaa tu na hauko kwenye ndoa hua unawaza nini? Hivi unajua kwamba wanawake wanaolalamika kutelekezwa asilimia kubwa ni wale wasiokua ndani ya ndoa? Ni nadra Sana mwanaume kutelekeza watoto/mtoto alieza ndani ya ndoa. Wanawake jitahidini muache kuzazaa tu na wanaume wasiokua waume zenu wa ndoa. Na unapoamua kuzalishwa tu na yeyote anaejitokeza uwe tayari pia kwa lolote.
 
"Muishi nao kwa akili" kama hauna akili usitafute wa kumlaumu. Jilaumu mwenyewe.
Wapi nimekutafuta kukulaumu. Nijilaumu mimi kwa lipi?. Kuishi nao kwa akili ni pamoja na kumpiga chini na kumtelekezea mtoto aliechanganya material
 
Lakini mwanamke unapoamua kuzaa tu na hauko kwenye ndoa hua unawaza nini? Hivi unajua kwamba wanawake wanaolalamika kutelekezwa asilimia kubwa ni wale wasiokua ndani ya ndoa? Ni nadra Sana mwanaume kutelekeza watoto/mtoto alieza ndani ya ndoa. Wanawake jitahidini muache kuzazaa tu na wanaume wasiokua waume zenu wa ndoa. Na unapoamua kuzalishwa tu na yeyote anaejitokeza uwe tayari pia kwa lolote.

Fanya research ndogo mtaani kwako na kule kijijini kwenu kuhusu maada halafu urudi
 
Back
Top Bottom