Kukataliwa Goli la Simba dhidi ya Coastal, Azam TV Hamtutendei Haki Wateja Wenu

Kukataliwa Goli la Simba dhidi ya Coastal, Azam TV Hamtutendei Haki Wateja Wenu

Mimi sina ushabiki wa timu zenu za Kariakoo, lakini naamini goli lile lilikuwa halali. Ila huyo Kipyenga cha mwisho ni nani mpaka awe mthibitishaji wa magoli?
ni Kazi refa msaafu, anachambua matukio kiundani zaidi na kuonyesha katika angle nyingi. mikanganyiko yote anaitatua kwa sheria 17
 
ni Kazi refa msaafu, anachambua matukio kiundani zaidi na kuonyesha katika angle nyingi. mikanganyiko yote anaitatua kwa sheria 17
Ili kuondoa utata na fursa za washika vibendera kukataa magoli ni bora ule upande apige anayetumia shoto au ipigwe kona fupi kama goli la pili la Simba vs Genda.
 
Ili kuondoa utata na fursa za washika vibendera kukataa magoli ni bora ule upande apige anayetumia shoto au ipigwe kona fupi kama goli la pili la Simba vs Genda.
yaani wewe jamaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. yaani wachezaji waache kutumia fursa wanayoiona (kama Chama alivyoona) kwa sababu ya ujinga wa refa?
 
Ili kuondoa utata na fursa za washika vibendera kukataa magoli ni bora ule upande apige anayetumia shoto au ipigwe kona fupi kama goli la pili la Simba vs Genda.
Uko sahihi kwa upande mmoja, akipiga wa shoto upande ule wa kulia ata curve kwa ndani ya uwanja, sio nje. Lakini kwanini tufikie huko kuwapangia mtu wa kupiga Kona?

What if wenyewe wanataka apige wa mguu wa kulia ili mpira ukikutana na kichwa ugeuze kurudi golini kwa speed labda?
 
Mkuu Mimi nilikua uwanjani kamela zilikua tatu tu moja ilikua chini mbili zilikua juu ya lile Banda mpaka nikawa na shangaa tena zote zilikua usawa mmoja Yani katikati ya uwanja
Hichi sio tukichotakiwa kupewa sisi Subscribers, pia TFF waliangalie hili kama ni sehemu ya mkataba.
 
Azam wanaboa Sana , unakuta Kila replay ya tukio lolote lazima waweke slow motion.

Sijui Nani kawakalolisha kila Replay ya tukio Fulani ni lazima liwe in Slow Motion.

Huwa nakeleka Sana ni Basi tunakosa kampuni nyingine.

Halafu hao TFF kwanini wasifanye Kama Uingereza ? Ambapo katika ligi kuu ya uingereza Kampuni za television zimegawana Mechi na Sio kampuni moja kupewa mechi zote za ligi.

Pale Uingereza Early Kick off zote ( Mechi za mapema ) amepewa BT sports na zile Late Kick off kapewa Sky Sports.

Na Bongo ingebidi kuwa hivyo Labda mechi za Saa 8 Kuna kuwa na kampuni nyingine, mechi za Saa 10 jioni kampuni nyingine na zile za Saa 2 Kuna kampuni nyingine. Au hata Kama kampuni inakuwa ni moja lakini iwe imepitia kwenye tenda na amewashinda wengine, hii ingeongeza ushindani Sana.



Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
bakhresa kwenye camera ameshindwa kuwekeza.
Anaona hasara kununua camera moja kwa milion 200
 
Waangalie mikamera ya EPL.
ananunua magari ya hela nyingi sana sijui kwanini anashindwa kununua ile mikamera.
Niseme tu ukweli sijawahi kuangalia mechi za Tanzania kwa dakika 90
tupo nyuma ya muda
Yaani kama siyo mashabiki na wenyewe kuchua video ngumi zingekuwa zinalika sana bila sababu kumbe tatizo kamera
 
Azam wanaboa Sana , unakuta Kila replay ya tukio lolote lazima waweke slow motion.

Sijui Nani kawakalolisha kila Replay ya tukio Fulani ni lazima liwe in Slow Motion.

Huwa nakeleka Sana ni Basi tunakosa kampuni nyingine.

Halafu hao TFF kwanini wasifanye Kama Uingereza ? Ambapo katika ligi kuu ya uingereza Kampuni za television zimegawana Mechi na Sio kampuni moja kupewa mechi zote za ligi.

Pale Uingereza Early Kick off zote ( Mechi za mapema ) amepewa BT sports na zile Late Kick off kapewa Sky Sports.

Na Bongo ingebidi kuwa hivyo Labda mechi za Saa 8 Kuna kuwa na kampuni nyingine, mechi za Saa 10 jioni kampuni nyingine na zile za Saa 2 Kuna kampuni nyingine. Au hata Kama kampuni inakuwa ni moja lakini iwe imepitia kwenye tenda na amewashinda wengine, hii ingeongeza ushindani Sana.



Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wameubeba mzigo mzito kuliko uwezo wao. Na hii ni kwasababu ya kukosa ushindani.

Matukio mengine kamera hamna. Kama hilo unalolisema la mpira wa Kapombe wa kona.
 
Azam kwenye kamera bado sana,hili suala ni mda mrefu wadau wa soka wamekuwa wakiliongelea hapa lakin wamefeli kufanya maboresho
Nadhani Wameubeba mzigo mzito kuliko uwezo wao. Na hii ni kwasababu ya kukosa ushindani.
.
Matukio mengine kamera hamna. Kama hili la mpira wa Kapombe wa kona.
 
malalamiko fc kama kawaida yenu
kwi kwi vyura bna

DE4BA856-BDC7-4F7D-AAB8-78008CD27F36.jpeg
 
Akinyimwa Simba Ni halali wala Hakuna kelele.

Ingekua ni coastal mji usingekalika, Simba anabebwa.
 
Back
Top Bottom