msukuma fekero JF-Expert Member Joined Aug 12, 2017 Posts 2,285 Reaction score 2,969 Apr 11, 2022 #81 Shark said: Malizia pia na alienda kumuomba msamaha Kapombe mara tu baada ya Refa kuliza Kipyenga kua Kapombe amechezewa faulo. Click to expand... Ila yule jamaa alikuwa hewa kweli maana alikuwa analalamika kabisa mwanzoni kwamba wameonewa mpaka mashabiki walivyoanza kurusha ile clip ndiyo akaomba radhi kwa umma
Shark said: Malizia pia na alienda kumuomba msamaha Kapombe mara tu baada ya Refa kuliza Kipyenga kua Kapombe amechezewa faulo. Click to expand... Ila yule jamaa alikuwa hewa kweli maana alikuwa analalamika kabisa mwanzoni kwamba wameonewa mpaka mashabiki walivyoanza kurusha ile clip ndiyo akaomba radhi kwa umma
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Sep 15, 2022 Thread starter #82 Mimi bado nalia na Azam, Wanashindwa vipi kua na kamera zitakayochukua matukio kama hizi?
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 7,837 Reaction score 14,198 Sep 15, 2022 #83 Hata replay zenyewe htwaga hazipo clear tofauti na wenzetu. Unakuwa unaona replay zikiwa na wenge kama umelewa hivi.
Hata replay zenyewe htwaga hazipo clear tofauti na wenzetu. Unakuwa unaona replay zikiwa na wenge kama umelewa hivi.