peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kwa Hali hii ya kukatika katika kwa umeme maeneo muhimu, Hiyo Treni ya Umeme ije na Power Bank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupata ila michezo ni sekta muhimu sana ya uchumi hasa ukiangalia mapato, ajira na mambo mengine inayochangia katika uchumi na jamii kwa hiyo bado nadhani unaweza kuwa unakosea kuishusha hadhi yake kihivyo. Tungeacha janjajanja katika sanaa na michezo, sekta hizo zingeweza kuchangia zaidi huko tunakoona ndiyo kwa muhimu zaidi. Mafanikio ya Simba na Yanga msimu huu tu yameleta fedha za kigeni zaidi ya dola milioni 1.Nadhani umeninukuu vibaya,sikuwa na nia ya kusema football ni mchezo wa kijinga,I meant mambo ambayo ni basic needs za mtanzania kama ,maji,umeme,dawa....
Si mashahara bado unaingiaKatibu mkuu wa Wizara ya Michezo amemtua Milinde Mahona kuwa kaimu meneja wa Uwanja wa Mkapa kuanzia leo
Uteuzi huo unafuatia Waziri Pindi Chana kuwasimamisha Kazi Watumishi 7 wa Uwanja wa Mkapa
Source: Ayo tv
Asa uingie vp wakat hauendi kaziniSi mashahara bado unaingia
Mshahara wa May hapati.Si mashahara bado unaingia
Anapata kama kawaidaMshahara wa May hapati.
Wamesimamishwa KAZI na hawajafukuzwa KAZI.kuna watu wengi Tu huwa wanasimamishwa KAZI serikalini.unaenda unasoma magazeti mshahara unasoma.mpaka utakapopangiwa KAZI nyingine ama ufukuzwe kazi ikithibitika ulikiuka maadili ya utumishi WA ummaAsa uingie vp wakat hauendi kazini
Ukisimamishwa Kazi huendi kazini ila mshahara unalipwaWamesimamishwa KAZI na hawajafukuzwa KAZI.kuna watu wengi Tu huwa wanasimamishwa KAZI serikalini.unaenda unasoma magazeti mshahara unasoma.mpaka utakapopangiwa KAZI nyingine ama ufukuzwe kazi ikithibitika ulikiuka maadili ya utumishi WA umma
Ha haa.Jenereta likizima tena asisahau kujisimamisha kazi yeye mwenyewe.
Moja ya faida ya kufanya kazi serikaliniAnapata kama kawaida
Wizara inaomba radhi mashabiki wa soka nchini hususan wa timu ya Yanga kwa kadhia iliyojitokeza.Hao wafanyakazi wangekua na ndugu waziri wangeundiwa tume ya uchunhuzi kwanza Kisha kesi ingejifia.
mgao wao wa viingilio wanaupeleka wapi?Pesa za mama Samia ni vema zingetumika kurekebisha majenereta kuliko kuwapa Simba