Kukomaa kisiasa: Pamoja na fitina na ubaya wote aliotendewa na Ole Sabaya, Mwenyekiti Mbowe ametulia kimya

Kukomaa kisiasa: Pamoja na fitina na ubaya wote aliotendewa na Ole Sabaya, Mwenyekiti Mbowe ametulia kimya

Kuna post yako moja ulimuona Sabaya kama hana hatia ..huku umetaja maovu yake! Je kuna shida upstairs nikupe ushauri wa kitaalam?
 
Binafsi nampinga Freeman katika mambo mengi lakini namkubali sana kuwa ni kiongozi asiyekumbatia siasa za maji taka.

Pamoja na uovu wote aliotendewa huko Hai chini ya Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama DC Ole Sabaya, Mhe. Mbowe amekuwa mtulivu.

Niseme tu kwa kifupi kwamba pamoja na ukristo wake Freeman amekomaa sana kisiasa!
Aliyesema nae atapeleka mashitaka yake juu ya sabaya ni pacha wake mbowe au mi yeye?? Hawezi acha huu upepo upite bila kuutumia.. mzee wa fursa
 
Mbona kawahi kuingia mara nyingi tu
kwa kesi hizo au zipi. maana kaingia na kutoka mapema.
as a record kesi kama hizo mtu hufungwa miaka mingi sana. yeye kachomokaje mapema.
na nyingi alikuwa anashinda
 
Back
Top Bottom