Kukosa Hela

Kukosa Hela

Najisikia kuumwa sio kuumwa. Nasikia baridi, koo limekua kavu, najaribu kulala usingizi hauji, najisikia kama nikae chini nilie halafu nikiwaza kuna watu nawadai hela zangu na mpango wa kunipa hata 100 hawana natamani ningekua na nguvu niwakamate niwapige. Niombeeni na mimi leo mipango yangu ya hela ikae sawa maana mnaweza nipoteza hii hali ikidumu kwa siku mbili tu.

Mchumba unaweza kupigana kweli?
 
Afadhar we unawadai hata watu mie sijaingiza hata sent mwezi na... Nipo tu kama sipo lkn i can't give up....!
 
Usiombe ukakosa hela,
Yaani hata comment za jf zinakuwa fupi fupi ...
Ila bora wewe unadai..mi nadaiwa mpaka nimebadilisha namba ya simu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dawa ya deni kulipa
 
Back
Top Bottom