Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Huyo mheshimiwa ametafsiri kuchinja kuwa ni ile kazi ya kumnyonyoa huyo kuku mfu, kumpasua, kuondoa utumbo na kumkatakata vipande ili aweze kupikwa au kuandaliwa kama chakula. Hatua hizo ni mchakato yan anamchakata (Process) kuku mfu.Ni sawa na kupiga risasi maiti
Utasema umemuua?
Kuku kafa sasa kuna maana gani kupitisha tena kisu shingoni?
Ili utuonyeshe waalikwa kuwa umechinja eti 😄 🤣
Nadhani nimemsaidia kwa nia njema tuu kufafanua alichomaanisha. Kama sivyo; basi naomba aje akanushe hapa.