Kuku wangu wa mayai wamegoma kutaga wanaelekea week ya 19

Ikifika wiki ya 22 hujaona yai ndo uwe na wasiwasi kwa sasa bado mapema mkuu.
 
ongeza vyombo vya chakula alafu huo mfumoo unaoutumia utakuletea hasara sana wakianza kutaga
Vyombo vya chakula baadhi vilikuwa vimetolewa nje kwa ajili ya kufanyia usafi, na drinkers zisizopungua 80 na feeders zaidi ya 100.

Mkuu ndio napambana pia nguvu sina yakutosha, nilitaka Mwenyezimungu akijalia kuanzia January nianze nunua cage, sema uchumi mgumu Dokta, tunafuga kwa kutegemea mshahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…