Kula kula ukiendekeza inakua kama bangi, hii kitu vimenipa uraibu mbaya mno, nina collection ya makopo yake ndani

Haaahaa😊😊 Mimi nanunuaga@8000
 
Mwanaume unapendeleaje vitu vitamutamu umekuwa mdada?
 
Watoto wa Upanga bana dah 😁
 
Kitu cha buku mtaani kinauzwa elfu 8 kwenye supermarkets zaidi kitakuwaje maarufu?πŸ˜‚ Hivi unajua hio hela familia inakula mlo kamili kabisa huku uswazi kwetu.
ni suala la starehe mkuu, hata uswazi ni kawaida mtu mwenye starehe ya viti virefu kutumia elf 10 kwenye pub kila siku
 
Kitu cha buku mtaani kinauzwa elfu 8 kwenye supermarkets zaidi kitakuwaje maarufu?πŸ˜‚ Hivi unajua hio hela familia inakula mlo kamili kabisa huku uswazi kwetu.
Hio 6000 ni mlo wa wiki kabisa na familia inafurahi sana michicha na sukumawiki kwa wingi nyama mpaka Sikukuu ukitaka nyama kuna mishkaki ya hasara Miguu ya kuku na utumbo wa kuku bila kusahau Pweza na Ngisi bei nafuu 200/300 unajichana unavyotaka mswahili mswahili tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…