Dah sisi home nazi ndio kila kitu,nazi tamu bwana halafu nazi haikarahishi na kila unavyoiweka nyingi ndio utamu unazidiHahahaha na kitu chochote ukipika kwa kutumia nazi na kikakolea nazi kinakua na kalekasukari ka nazi kwa mbaali na lile shata shata lake la nazi bas raha kuna siku najifunza kupika mchuzi wa nazi yan kipande cha papa hakionekani unakitafta na upawa umenikumbusha mbali sana
Daah tambi [emoji13][emoji20] chakula hii sipendiHonestly ni kubwa kwangu mm kama nipo peke yangu na kama tuko zaidi ya mmoja heri ninunue tambi nusu na robo na sukari robo nipike tule kuliko kuitumia hivo na kama nina ham hasa ya kununua kitafunwa me napenda mihogo sambusa sjui katles za jero nimeshashiba bila hiyana
Kula mgahawani unatakiwa kuwa na makadirio na bajeti ya hali ya juu sana ya pesa. kuna uzuri na ubaya wa kula mgahawani ila inategemea na aina ya mgahawa vilevile, kuna mama nitilie, kuna BBQ, kuna restaurants na kuna maeneo ya chakula kama BAR...Wakuu hili jambo karibia wengi tuliopitia ubachela na hatukuwa tunaishi na wazazi basi tumelipitia sana.
Kipi kinamaliza sana pesa ?
Ni kweli mkuu sisi kwa maisha tuliyoishi Ulaya na bei za kule bora tu kujipikiaInategemea uko wapi, unakula nini mgahawani na ukipika unapika nini.
Kuna mahali kula mgahawani ni anasa sana kuliko kupika. Kuna sehemu kula mgahawani ni impossible future tense.
Kuna time nilikuwa nasoma ka nchi flani ulaya. Yaani ukifanya kula wali na mchuzi ni Euro 6 (tshs 16,200) aisee acha kabisa
Yaan mkuu nje kulinishinda kinoma!...tatizo tumbo na kuwaza au maji yaliyopika hiki chakula sio masafi...Basi tumbo linaanza sokota
Sent using Jamii Forums mobile app
In any case home nitakula usiku tu, mchana kutwa niko mtaani. Sasa hussle yote hio chakula cha usiku? Muda nao ni pesa,kwa Mama ntilie cheaper kwangu.
Hivi JF kuna mtu hana jokofu?
KabisaaaInategemea uko wapi, unakula nini mgahawani na ukipika unapika nini.
Kuna mahali kula mgahawani ni anasa sana kuliko kupika. Kuna sehemu kula mgahawani ni impossible future tense.
Kuna time nilikuwa nasoma ka nchi flani ulaya. Yaani ukifanya kula wali na mchuzi ni Euro 6 (tshs 16,200) aisee acha kabisa