Kulalamika tumeibiwa kura za kwenye mabegi huku hamuendi Mahakamani, tuwaeleweje?

Kulalamika tumeibiwa kura za kwenye mabegi huku hamuendi Mahakamani, tuwaeleweje?

Ushaambiwa mara tatu, sasa uchaguzi umekwisha... sasa uchaguzi umekishwa... sasa uchaguzi umekwisha...
Ukienda kushtaki utasikilizwa na nani, wakati maagizo yashatolewa...?




Cc: mahondaw
 
Kesi inamhusu nyani unampelekea judge ambaye ni nyani. Unategemea maamuzi gani?

Kama mlipata ushindi wa kishindo mbona nafsi zenu hazina amani?

Jiwe alikuwa hatakiwi hata na mkewe.
Hayo ya mkewe umeyajuaje? Kwani wewe nyumba Yake ndogo?
 
Kwani walioiba sio watanzania wao hawaathiriki na upumbavu huo,makama ya nini tulipe kodi,anaye taabika taabika tu kilamtu namaujanja yake
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda?

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Mbona unapanic mkuu.
Watanzania wewe huwajui?
Ni business as usual, kwani siasa inaliwa?
Tatizo mfungaji kajifunga goli!
 
Msitutoe fahamu,Bulaya na makamanda mlipokuwa mnashind kesi hazikuwa hizi mahakama?
Kubishana au kujenga hoja na wewe ni sawa na kubishana na yule raisi kichaa kichaa wa Magomeni. Yeye anatangazia umma kwamba alikesha akikagua mafaili ya MADED Kumbe katema makuzi yanayopora ardhi za watu.
Yeye alikuwa hakauki kwenye corridor za mabibo hostel kwa kina kabula lakini anasumbua watu kwa kugombea na wake za watu ( case ya Das kisarawe )
Anajidai mzalendo wakati yye alinunua nyumba na magorofa ya NIC Kwa laki 6 huko dodoma
Anaita watengeneza ndege na kukaa nao chumbani akiagiza ndege azitakazo huku sheria ya manunuzi ameikalia matakoni? Unajua 10% ya ndege moja wewe?
 
Mahakama zilikuwepo siku za nyuma lakini sasa kila hukumu hupangwa na yule aliye juu.Kwa hiyo kufungua kesi ni kupoteza muda.
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda?

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Achana Na wapinzani uchwara Tanzania.
Wote wasanii tu, watanzania walishawashtukia. Na kiuhalisia ni wao wenyewe ndiyo wamejimaliza kwa kukosa sera Na kuchagua uhuni kama dhiaka na matusi dhidi ya viongozi walio serious.
Wanaigiza kukamata kura za wizi wakati wamezichapa wenyewe! Wanazionyesha juu juu kwenye camera kisha wanaenda kuzichoma kufuta ushahidi!
Alafu wanaanza kupiga kelele kwenye mitandao eti wameibiwa!
 
Wakati ule mahakama ilikuwa bado ina majaji wenye taaluma walioteuliwa na Kikwete na Mkaoa. Huyu wa sasa anawateua makada wa CCM kuwa majaji. Anawateua makada wa CCM kuwa wakurugenzi. Kila mahali anawajaza makada, tena wale makada wenye akili ndogo, ambao wana uwezo wa kusifia kila jambo analolifanya yeye.

Hakuna mwenye akili anayeweza kupoteza muda kufungua kesi ya uchaguzi kwenye hizi mahakama bandia zinazosimamiwa na Juma ambaye anapokea maagizo toka kwa Bashiru na Polepole.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiwa mjinga basi Kama kimya inasadia. Hakuna wakati watu wamepata Haki zao iwe mahakamani au maofisini kama kipindi cha JPM. Huhitaji kuitwa mbowe ndo upewe haki. JPM Ni kiongozi mzuri ingawa sio mwanasiasa wa ile sense ya usanii.
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda?

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Hiyo mahakama utakayoenda ni ipi wakati bado ni yaohao hao wahalifu
 
Back
Top Bottom