imekaa ki mnemba mnemba!Imekaaje hii
Wanakusanya maokoto kiulaini kwa idadi ya fools wanaojisajiliBig NO 👎🏾
Mnaokimbia familia zenuBig NO 👎🏾
Umenena mkuuAka chama cha masimp au sio
Hata siku moja siwezi ikimbia familia niliyoitafuta, na mtu akitaka ugomvi wa kudumu na mimi awaguse watoto wangu.Mnaokimbia familia zenu
kwanza kujielewa ni nini?Ndio maana hata upande wa pili makungwi wengi wa vitchen party ni walioachika au masingo maza konki...
Unatuponda sana kiongozi punguza speed walevi tunazidi kulewa.kwanza kujielewa ni nini?
unakuta mtu anatoa matunzo lakini anakesha bar, anajielewa?