Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
"Kulea ni kazi ya mwanamke na kutunza ni kazi ya mwanaume. Ili mwanamke aweze kulea ni mwanaume anahusika kutoa matunzo.
Kujiunga na chama hichi ni kuanzia miaka 18 ambapo tunatengeneza wanaume ambao hawakimbii familia. Waliojiandikisha mpaka sasa ni wanaume 31,000"
- Claude Benedict Kimu, Mwenyekiti wa umoja wa wanaume wanaojielewa Tanzania.
Source: Cloudsfmtz
Kujiunga na chama hichi ni kuanzia miaka 18 ambapo tunatengeneza wanaume ambao hawakimbii familia. Waliojiandikisha mpaka sasa ni wanaume 31,000"
- Claude Benedict Kimu, Mwenyekiti wa umoja wa wanaume wanaojielewa Tanzania.
Source: Cloudsfmtz