Kulikoni ajira za ualimu 2024?

Kulikoni ajira za ualimu 2024?

Hiyo ya teaching methodology naethi

Hiyo ya teaching methodology and ethics...n.k ndio iliyokuwa inatarajiwa..lakini masomo mawili sasa. Na kumbuka kila somo limeombwa tofauti.
Wakati ule kupitia Tamisemi..mfumo ulimpa mwalimu fursa kuchagua masomo mawili, yaani major na minor. Ila huu ni moja moja.
Kinachowachanganya ni namna ya kusaili...lakini kwa hili inaonekana hawakujiandaa.
Zile 170000s sio idadi ya walimu...bali ni idadi za interviews.

Tuwape muda. Watakuja na suluhisho.
Wangeacha tu kama ilivyo watu washaomba masomo mawili tayari then wangewasaili kwa paper moja wote then watakaopita oral wangepangiwa kulingana na masomo walioomba
 
Shida ya wote wa pepa moja ..unaweza kukuta idadi inahitajika mmeipata kwenye somo moja. Mfano pepa moja idadi anayoitaka iiingie oral wote kiswahili au kiingereza. Hawatofikia lengo. Lazima iwe kwenye kila somo. Na ikiwa kwenye kila somo ndio hizo nafasi 176k.
Lazima waje na suluhisho. Kama ifaa utaratibu wa mwanzo tutajua. Ngoja tusubiri
 
Shida ya wote wa pepa moja ..unaweza kukuta idadi inahitajika mmeipata kwenye somo moja. Mfano pepa moja idadi anayoitaka iiingie oral wote kiswahili au kiingereza. Hawatofikia lengo. Lazima iwe kwenye kila somo. Na ikiwa kwenye kila somo ndio hizo nafasi 176k.
Lazima waje na suluhisho. Kama ifaa utaratibu wa mwanzo tutajua. Ngoja tusubiri
Huko waliko vichwa vinapasuka hatari ndio maana hawakutoa sababu za kughairisha
 
Kutokana na sintofahamu usaili wa kada ualimu kusitishwa mpaka itakapotangazwa, hebu chukua dakika tano kumsikiliza Mh. Waziri wa elimu. Halafu nipe maoni yako.

Ubaya ubwela.

View attachment 3129537
Kama interview ni kigezo cha kupata watumishi werevu na walio bora mbona mashirika ya umma yanaiingizia hasara serikali kila mwaka na ukizingatia sekta zote kasoro afya na walimu zina-recruit kwa kuwafanyia usaili applicants? Naomba majibu hapa
 
Kama interview ni kigezo cha kupata watumishi werevu na walio bora mbona mashirika ya umma yanaiingizia hasara serikali kila mwaka na ukizingatia sekta zote kasoro afya na walimu zina-recruit kwa kuwafanyia usaili applicants? Naomba majibu hapa
Hutapata jibu litakalokutoshea wengi humu ni wapondea kada tu

Usaili kwa walimu ni kwa ajili ya kupata idadi kwa kuwachuja kupitia mtihani ila sio kuchuja ubora kama alivyosema waziri mkenda
 
Hutapata jibu litakalokutoshea wengi humu ni wapondea kada tu

Usaili kwa walimu ni kwa ajili ya kupata idadi kwa kuwachuja kupitia mtihani ila sio kuchuja ubora kama alivyosema waziri mken
Njia ya interview inachangamoto nyingi na kubwa mfano...
Inacost pesa Kwa pande zote serikali na wasailiwa, Kwa wasailiwa ndo shida zaidi unakuta mtu kipato chake Kwa mwez hata laki haifiki yupo kigoma manyovu anatakiwa aendo morogoro kwenye usaili na bado ajira anakosa
 
Njia ya interview inachangamoto nyingi na kubwa mfano...
Inacost pesa Kwa pande zote serikali na wasailiwa, Kwa wasailiwa ndo shida zaidi unakuta mtu kipato chake Kwa mwez hata laki haifiki yupo kigoma manyovu anatakiwa aendo morogoro kwenye usaili na bado ajira anakosa
Kwanini utoke kigoma uende moro wakati wamekupa machaguo?

Kama unaona kipato chako ni kidogo ungechagua hapo hapo kigoma tu

Interview bado ni best option ya kuajili watumishi fuatilia speech ya waziri mkenda utaelewa huko kwenye system watu wanapendeleana sana mkuu labda wewe ni mtoto wa waziri wa tamisemi
 
Njia ya interview inachangamoto nyingi na kubwa mfano...
Inacost pesa Kwa pande zote serikali na wasailiwa, Kwa wasailiwa ndo shida zaidi unakuta mtu kipato chake Kwa mwez hata laki haifiki yupo kigoma manyovu anatakiwa aendo morogoro kwenye usaili na bado ajira anakosa
Changamoto ni nyingi ila watazitatua wajue ni jinsi gani wafanye japo wanachelewa hadi wanaboa
 
Watarudi soon, they might be working with something patience is needed.
 
Hutapata jibu litakalokutoshea wengi humu ni wapondea kada tu

Usaili kwa walimu ni kwa ajili ya kupata idadi kwa kuwachuja kupitia mtihani ila sio kuchuja ubora kama alivyosema waziri mkenda
Hivi yule anayo timamu kweli, tusaidiane jamani maana jamaa anavyoongea ni tofauti na elimu yake pamoja na muonekano wake.
 
Hivi yule anayo timamu kweli, tusaidiane jamani maana jamaa anavyoongea ni tofauti na elimu yake pamoja na muonekano wake.
Anasema walimu wakifanya mtihani wakuu wa tamisemi wataacha kufuatwa na wazazi kuomba kusaidiwa watoto wao kupata kazi akiwepo yeye mwenyewe kesi hizo anazo kibao ofisini kwake kipi hujaelewa mwalimu
 
Back
Top Bottom