Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe haujamuona askofu bagonza hapo? Unaongea ongea tu haujui kitu we! IdiotTarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi. Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri.
View attachment 2137007
Kamuulize vizuri a;iyekudanganya kama RC inasumbuliwa na agenda ndogo ndogo na za muda mfupi...Ndio maana wanaanza kujenga porini halafu wengine wanawafuata baadae sana.Bado wana mboleza kifo cha nwendazake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao ni wafuata ubwabwa
[emoji817][emoji817][emoji120]Kiuhalisia jana ilikuwa jumatano ya majivu isingekuwa busara kiongozi kuacha shughuli takatifu ya kidini kwa jambo lisilo la kidini, kwa kujua hilo nadhani ingekuwa busara kama ratiba ya kukutana na mkuu wa nchi ingepangwa tarehe nyingine.
Sidhani kama jambo hili linahusiana na siasa
Nadhani walikuwa kwenye J5 ya majivu, by the way tusaidie kuwaorodhesha waliopo maana wengine hatuwajui wote hapoTarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Ipi hiyo...Dhambi ya mama haisameheki
Kwani RC wamelalamika?Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Walishachanja..ujanja kuchanja au umesahau.Halafu wamebanana bila kuvaa barakoa
Mambo ya ajabu sn wakiaanza kufa wanamsingizia shetaniHalafu wamebanana bila kuvaa barakoa
Eti Korona imeisha?Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Kwa sababu huyo SSH hana hata hadhi ya padri katika ubongo wake!Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Umeona eenhh??.Bongo mambo yanaenda kasi balaaa,daaah.sasa hivi kanisa katoliki linaonekana km wapinzani
Jana ilikuwa ni jumatano ya majivu. Ni siku maalum sana kwa wakatoliki.Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?