Kulikoni Kanisa Katoliki kukosa uwakilishi Mkutano wa Rais Samia na Viongozi wa dini?

Kulikoni Kanisa Katoliki kukosa uwakilishi Mkutano wa Rais Samia na Viongozi wa dini?

Kanisa Katoliki watata hivi mara nyingi huona kwenye miito kama hii humpeleka padre mwenye mapihedii yake. Kumbe wanasiasa hupenda kwenye picha awepo Askofu au Cardinal kabisa.

Nakumbuka kuna kiongozi mzito alienda kusali kanisa la jimbo kuu huko mikoani. Pamoja na umaarufu wote, Askofu Mkuu hakuonekana mazima.

Na juzi hapa Mhe Rais alikutana nao kule Chato/Mwanza around na Askofu akasema mengi mazito akikumvushwa asiombee kufananishwa na Mungu.

Pia atende haki
 
Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi. Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri.

View attachment 2137007
Wewe haujamuona askofu bagonza hapo? Unaongea ongea tu haujui kitu we! Idiot
 
Kiuhalisia jana ilikuwa jumatano ya majivu isingekuwa busara kiongozi kuacha shughuli takatifu ya kidini kwa jambo lisilo la kidini, kwa kujua hilo nadhani ingekuwa busara kama ratiba ya kukutana na mkuu wa nchi ingepangwa tarehe nyingine.

Sidhani kama jambo hili linahusiana na siasa
 
Kiuhalisia jana ilikuwa jumatano ya majivu isingekuwa busara kiongozi kuacha shughuli takatifu ya kidini kwa jambo lisilo la kidini, kwa kujua hilo nadhani ingekuwa busara kama ratiba ya kukutana na mkuu wa nchi ingepangwa tarehe nyingine.

Sidhani kama jambo hili linahusiana na siasa
[emoji817][emoji817][emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.

Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?

Nadhani walikuwa kwenye J5 ya majivu, by the way tusaidie kuwaorodhesha waliopo maana wengine hatuwajui wote hapo
 
Huwa wanawakilisha na yule katibu wa TEC padri Charles Kitima,,,,,,,,,,,huenda naye alimtuma mwakilishi kwa kuwa mnajua jana walikuwa wanaandaa ibada ya jumatano ya majivu.
 
Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.

Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?

Kwani RC wamelalamika?
 
Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.

Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?

Eti Korona imeisha?
 
Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.

Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?

Kwa sababu huyo SSH hana hata hadhi ya padri katika ubongo wake!
 
Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.

Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?

Jana ilikuwa ni jumatano ya majivu. Ni siku maalum sana kwa wakatoliki.
 
Back
Top Bottom