Kulikoni Kanisa Katoliki kukosa uwakilishi Mkutano wa Rais Samia na Viongozi wa dini?

Kulikoni Kanisa Katoliki kukosa uwakilishi Mkutano wa Rais Samia na Viongozi wa dini?

Wakati wa mwendazake hawakuwa wanafiki? Mtu anaua watu alafu Jumapili anapewa viti vya mbele kanisani tena na mic ahubiri neno? Udhaifu wa hili kanisa wakati wa mwendazake hautakaa usahaulike. Aibu ya wakati ule inawasumbua hata sasa.
Kikubwa mi naona hawataki unafiki. Unahubiri upendo na amani lakini wakati huo huo unaumiza watu kwa kesi za kubumba na kulea wabunge fake
 
Mbona huulizi madhehebu ya kiislam kukosekana hapo? Au hujui kuwa waislam wana madhehebu mengi na wana viongozi wao ambao pia wanastahiki kutambulika na kualikwa if it's all about madhehebu ya dini
 
Unafikiri kupenyeza mirija hazina ni kazi ya wajinga wajinga? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Toka enzi za crusading mpaka leo, hamuishi kulalamika?
Crusading mbona mlichezea kichapo!!..wasome zenq,salahdinn na mamluks...kupitisha mirija hazina mmefundishwa na dikteta pale Italy,mkanogewa
 
Back
Top Bottom