Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Tuambie sasa hiyo NAMNA ikoje?.KUNA NAMNA SIO BURE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambie sasa hiyo NAMNA ikoje?.KUNA NAMNA SIO BURE
Hata sisi wabaniani tumekosa mwakilishi, nasikia hata zumaridi hakuwa na mwakilishiTarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Aiseee!!!, binadamu bhana.Siku ya mkutano na TRA watakuja,wapo kibiashara sana
Hili hasa ndiyo jibu. Na nyongeza yake ni kwamba katika Kanisa Katoliki Askofu ana uwezo wa kukasimu mamlaka na madaraka yake kwa Padri yoyote na inakuwa kwamba ni Askofu amefanya au ni Kanisa limefanya. Kwa mfano, kwa kanuni ya kanisa ile sakramenti ya kipaimara hutolewa na Askofu, lakini pia Askofu anaweza kutoa idhini kwa Padri mwingine ku-administer sakramenti hiyo. Hali kadhalika kwa mambo mengine ya utawala, likiwemo hilo lililotajwa kwenye huu uzi.Kiuhalisia jana ilikuwa jumatano ya majivu isingekuwa busara kiongozi kuacha shughuli takatifu ya kidini kwa jambo lisilo la kidini, kwa kujua hilo nadhani ingekuwa busara kama ratiba ya kukutana na mkuu wa nchi ingepangwa tarehe nyingine.
Sidhani kama jambo hili linahusiana na siasa
Kwa kujisifu tu hamjamboKamuulize vizuri a;iyekudanganya kama RC inasumbuliwa na agenda ndogo ndogo na za muda mfupi...Ndio maana wanaanza kujenga porini halafu wengine wanawafuata baadae sana.
Padre maana yake baba...kilatinoAskofu ni Padre pia.
Padre Ni Mwakilishi Wa Yesu Kristo.
Padre Ni Zaidi ya Mufti na hao viongozi wengine.
Umezunguma kinyume,tangu dikteta wa Italia awahonge Vatican na maruzuku na misamaha ya Kodi,katoliki imekua ikipenda kujikurubisha na siasaPumba hizo.
Kanisa katoliki syo taasisi inayojipendekeza, hata enzi za mwendazake hawakuwahi kuhudhuria ktk vikao viwe kuapisha au makanikia
[emoji106] Hili ndiyo jibu... nakumbuka Rais alishakutana na viongozi wa kikatoliki. Labda ndio maana hawakutuma mwakilishi.
Rais aliyeko madarakani sio wa dhehebu laoTarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Bagonza ni mlutheri Kama sijakoseaWewe haujamuona askofu bagonza hapo? Unaongea ongea tu haujui kitu we! Idiot
Na Mbowe ni Mlutheri Pia Askofu Shoo ni MlutheriBagonza ni mlutheri Kama sijakosea
labda wameamua watulie wasome mchezoTuambie sasa hiyo NAMNA ikoje?.
Labda hawakualikwaTarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Nafikiri Mkutano ulikuwa umepangwa siku mbaya - Jumatano ya Majivu, siku muhimu sana kwa Wakatoliki. Je mpangaji hakujua au alipitiwa.Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?