F16 Falcon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 750
- 1,645
Akili yako ni kisoda kwamfano hao wanyarwanda wakikaza wamefikia wapi kimaendeleo😅😅akili kama mtoto wa kindagati,poiti hapo ni wizi unao fanywa na maafisa wa serikali ndio maana kuna tofaoti kati ya rwanda na tz
Hao wenye akili nyingi nipe mafanikio yao out of Kigalikuwa muelewa hapo kaongelea wizi wabongo akili ndogo sana
Jamaa tafuta kazi haya makasiriko yataishakuwa muelewa ponti hapo ni wizi unaofnywa na wafanyakazi wa mpakani
Unachanganya mambo kwa kuelewa nusunusu jambo husika.Mtoa mada ametembelea border moja alafu anakuja na conclusion kwamba tz ni shamba lá bibi ,ni kuulize umeshawahi tembelea border ya tunduma, Nakonde what is your take on that? Maana ukienda upande wa nakonde hapaeleweki ila ukija tunduma kumependeza na watazania ndio wanafanya shughulii nyingi za uchumi upande wa Zambia hapo utasemaje? labda ni kupe somo kidogo border inakuwa nzuri kiuchumi kwa wakazi wa eneo lille pale ambapo panakuwa hakuna sheria kali za kutoka na kuingia kwa raia wa nchi zote mbili kwa baadhi ya kilometres mfano mzuri ni border ya tunduma nakonde raia wanaishi peaceful sababu ya business interaction ya raia wa nchi zote mbili mtazania akita anaenda kununua mafuta ya kupakaa upande wa Zambia na mzambia akitaka anakuja nunua mchele upande wa Tanzania .kwa upande wa border Rwanda tz kuachia warwanda kuja kufanya kazi tz hivyo ndivyo inapaswa kuwa kwa nchi pande zote kwa baadhi ya kilometres free border movement ili ku create business opportunities kwa wakazi wa maeneo hayo ya mipakani.
Mkuu 'mundaliku', nilitaka kupita harakaharaka katika kusoma michango iliyowekwa kwenye mada hii.Hoja sio udogo wa eneo ni umakini na ufanisi katika kusimamia majukumu uliyopewa.
Ulivyojibu ndo uhalisia wa watanzania wengi, siyo watu makini katika maeneo mengi, ujuaji mwingi na ubabaishaji ndio sifa yetu.
Alichokiandika mtoa Uzi, ni sahihi kabisa. Tumewahi kusafiri kwenda Rwanda kikanisa, ukweli sote tulishangaa, ofisi ya uhamiaji upande wa Tanzania tuliambiwa kusanyeni hati zenu na kuzikabidhi,zikagongwa zote,hakuna aliyehangaika kutazama sura ya mtu.
Tulipofika upande wa Rwanda, tuliambiwa kila mtu ashike hati yake mwenyewe, wamuone ni yeye mwenye hati hiyo.
Yanaweza kuwa ni mambo madogo,lakini yanaashiria uzembe uliokithiri kwenye maeneo mengi Tanzania.
Ukweli tunajitaji kubadilika sana.
Rwanda ni jambo la kawaida kuyaona mabomba ya maji ya chuma yamepita kando ya barabara na hakuna anayejaribu kukata eti akatengenezee mkokoteni, njoo Tanzania Sasa, vibao vya barabarani kikiwa cha chuma hakimalizi wiki.
Ukweli usiopingika bado tuna tatizo kubwa mno. Suala la kuwa wengi kuliko Rwanda siyo hoja ya msingi, pia tuna viongozi wengi na watendaji wengi zaidi ambao ni wazembe pia.
Mademu wa Rwanda wanakuja Tz ?Mademu wenyewe wanavuka boda pale rusumo benako na mzani ni wengi mno
Wengi sana afu mkizoeana wanalika kama matikiti.Mademu wa Rwanda wanakuja Tz ?
Oyaa kwa boda ya wapi huko ? watu tuzamie huko [emoji3] maana wanasifika sana kwa uzuriWengi sana afu mkizoeana wanalika kama matikiti.
Shida huelewi concept ya mtoa mada, hata ukiwa na nyumba kubwa unahitaji usafi usiseme mwenye nyumba ndogo anafanya usafi Kwa sababu ana nyumba ndogo .usafi ni usafi tuRwanda ni kama Mkoa wa Tabora na wanaiba madini ya Kongo huwezi lingasha na linchi likuubwa kama Tz hata hivyo hakuna cha maana walichituzidi kuanzia barabara hadi majengo marefu. Acha kudanganya 😠😠
Kwa hizi akili za kina jilala? Tutasubir sanaTuna muda wa kufanya mabadiliko na muda huo hauko mbali.. Ni wakati wa kuipumzisha CCM sasa
Hamia Rwanda pimbi wewe!! Unaiponda nchi yako halafu bado upo humu humuTanzania ni nchi ya kipuuzi sana mkuu. Wala usishangae kwanini watawala wameamua kuifanya nchi hii iwe shamba la bibi. Mitanzania ndivyo tulivyo.
Nitahama mkuu; nimechoka kuishi kwenye nchi hii ya kindondocha!Hamia Rwanda pimbi wewe!! Unaiponda nchi yako halafu bado upo humu humu
Usilinganishe mkoa na nchiZitambue tofauti hizi mpakani mwa Tanzania na Rwanda katika boda ya Rusumo:
1. Miundo mbinu upande wa Rwanda ni bora zaidi. Barabara, taa za barabarani, security cameras, majengo, fencing, furnitures nk upande wa Rwanda ni kama Ulaya.
2. Upande wa Rwanda taratibu zote katika kila idara yaani forodha, afya, polisi, immigration, usalama nk ni wazi na hakuna rushwa.
3. Waliopo kwenye eneo la serikali mpakani upande wa Rwanda ni wale tu wanaohusika kwa shughuli rasmi za hapo. Yaani wafanyakazi, mawakala wa forodha, mawakala wa bima za magari, wasafiri wavukao nk.
4. Hakuna anayeweza kuvuka kuingia Rwanda pasipo sababu wala idhini ya idara zote husika za huko yaani immigration, usalama na polisi.
5. Upande wa Rwanda wafanyakazi maisha ni kula kwa viwango vya mishahara yao.
6. Kuhusiana na Tanzania itoshe kusema huku ndiko kwenye ulaji wa urefu wa zile kamba zetu. Yaone magari ya wafanyakazi huku. Ama Kwa hakika wanalamba asali kweli kweli.
7. Eneo la serikali huku limesheni hadi wasiohusika. Kuvuka kuja Tanzania ni bwerere ambapo kama hata wapiga debe kutoka Rwanda wanajifanyia shughuli zao Tanzania kwa raha zao tumebakiza nini?
Yapo mengi ya kushangaza ila itoshe kusema kwa hakika sisi ni shamba la bibi.
Tuendelee kulea hali hizi hadi lini?
Ndio unaaga kwa style ya kuponda nchi yetu? Kwanza we siyo raia wa nchi yetu rudi kwenuNitahama mkuu; nimechoka kuishi kwenye nchi hii ya kindondocha!
Usilinganishe mkoa na nchi
Kagame na Rwanda hawawezi kuishi hata sekunde moja! bila kuiba raslimali za nje au kutegemea nchi za nje:Maneno tu ya mitandaoni na chumvi nyingi! Mbona tulikuwepo na hatukuyaona.
Kwan opereshen ya kufukuza wahamiaj bongo ina athiri nn kagame
Jamaa hajazungumzia nchi Wala mkoa amezungumzia yanayojiri mpaki mwa Tanzania na RwandaUsilinganishe mkoa na nchi
KoTe hujo nakuacha nakupinga katika miundombinu mzee.Zitambue tofauti hizi mpakani mwa Tanzania na Rwanda katika boda ya Rusumo:
1. Miundo mbinu upande wa Rwanda ni bora zaidi. Barabara, taa za barabarani, security cameras, majengo, fencing, furnitures nk upande wa Rwanda ni kama Ulaya.
2. Upande wa Rwanda taratibu zote katika kila idara yaani forodha, afya, polisi, immigration, usalama nk ni wazi na hakuna rushwa.
3. Waliopo kwenye eneo la serikali mpakani upande wa Rwanda ni wale tu wanaohusika kwa shughuli rasmi za hapo. Yaani wafanyakazi, mawakala wa forodha, mawakala wa bima za magari, wasafiri wavukao nk.
4. Hakuna anayeweza kuvuka kuingia Rwanda pasipo sababu wala idhini ya idara zote husika za huko yaani immigration, usalama na polisi.
5. Upande wa Rwanda wafanyakazi maisha ni kula kwa viwango vya mishahara yao.
6. Kuhusiana na Tanzania itoshe kusema huku ndiko kwenye ulaji wa urefu wa zile kamba zetu. Yaone magari ya wafanyakazi huku. Ama Kwa hakika wanalamba asali kweli kweli.
7. Eneo la serikali huku limesheni hadi wasiohusika. Kuvuka kuja Tanzania ni bwerere ambapo kama hata wapiga debe kutoka Rwanda wanajifanyia shughuli zao Tanzania kwa raha zao tumebakiza nini?
Yapo mengi ya kushangaza ila itoshe kusema kwa hakika sisi ni shamba la bibi.
Tuendelee kulea hali hizi hadi lini?