Kulikoni, mpakani na Rwanda sisi ni shamba la bibi?

akili kama mtoto wa kindagati,poiti hapo ni wizi unao fanywa na maafisa wa serikali ndio maana kuna tofaoti kati ya rwanda na tz
Akili yako ni kisoda kwamfano hao wanyarwanda wakikaza wamefikia wapi kimaendeleo😅😅
 
Unachanganya mambo kwa kuelewa nusunusu jambo husika.

Hao wakazi wa mpakani na shughuli zao ni jambo tofauti kabisa na utekelezaji wa taratibu za uvukaji mpaka.
 
Mkuu 'mundaliku', nilitaka kupita harakaharaka katika kusoma michango iliyowekwa kwenye mada hii.

Niliposoma mstari wako wa kwanza kabisa wa mchango wako, ikanilazimu niusome tena kwa mara ya pili kabla ya kwenda mbele zaidi.

Hata hivyo, mara ya pili haikutosha, ilibidi nitulie kidogo maneno hayo yaniingie vizuri akilini.

"--- umakini na ufanisi katika kusimamia majukumu---"

Matatizo ya Tanzania yapo hapo kwenye hayo maneno machache..

Matatizo yapo kila sehemu ndani ya serikali yenyewe, viongozi wa serikali, hadi kwetu sisi wananchi wenyewe.

Kiujumla ni kama tamaduni yetu, kufanya mambo bila umakini.

Athari zake ndiyo hivi tunavyoona.

Tunajitangaza tunafungua nchi, lakini ni wazi hatuna taratibu za kudhibiti takataka zinazotokana na ufunguzi huo. Sisi hilo halituhusu!


Lakini ninaelewa, tukitaka kubadili hali hiyo tunaweza kabisa. Kwani wao Rwanda wanaweza kivipi
 
Rwanda ni kama Mkoa wa Tabora na wanaiba madini ya Kongo huwezi lingasha na linchi likuubwa kama Tz hata hivyo hakuna cha maana walichituzidi kuanzia barabara hadi majengo marefu. Acha kudanganya 😠😠
Shida huelewi concept ya mtoa mada, hata ukiwa na nyumba kubwa unahitaji usafi usiseme mwenye nyumba ndogo anafanya usafi Kwa sababu ana nyumba ndogo .usafi ni usafi tu
 
Yule bibi ili paswa hatubu kwa kauli yake ya kijinga .(kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake ) hii ni kauli ya kiongozi wa nchi dah
 
Usilinganishe mkoa na nchi
 
Maneno tu ya mitandaoni na chumvi nyingi! Mbona tulikuwepo na hatukuyaona.
Kwan opereshen ya kufukuza wahamiaj bongo ina athiri nn kagame
Kagame na Rwanda hawawezi kuishi hata sekunde moja! bila kuiba raslimali za nje au kutegemea nchi za nje:
Chakula asilimia 88 kinatoka either Rwanda au Tanzania. Alipogombana kidogo na Uganda alikimbilia Tz kuyajenga wapate mlo! Shamba la bibi liko kongo! jamaa anaexport mbao na madini wakati hana hata kimojawapo. JK alipotaka kukomesha M23 ndipo ugomvi ulikoanzia!
 
Usilinganishe mkoa na nchi
Jamaa hajazungumzia nchi Wala mkoa amezungumzia yanayojiri mpaki mwa Tanzania na Rwanda

Yani Rwanda wapo smart katika majukumu Yao na Tanzania ni Bora liende

Watanzania uwezo wetu wa kiutendaji na uwelewa wetu upo chini sana

Hata huu Uzi unathibitisha hilo Uzi unaongelea mpaka wa Watanzania na Rwanda wachamgiaji wengi Naona wanachangia kuhu ukubwa wa nchi ya Tanzania na Rwanda
 
KoTe hujo nakuacha nakupinga katika miundombinu mzee.
HAPA EAST AFRICA NA CENTRAL NI KENYA PEKEE INAYOFUANA NA SISI INTERMS OF INFRASTRUCTURE.
KWA UZURI WA VYOTE HIVYO TUNAITOA MWANZA TUU RWANDA NZIMA HAIIPATI.
AMA NAITOA KIJITONYAMA KIGAMBONI NA KIJICHI INATOSHA KUPAMBANA NA RWANDA NZIMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…