Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigogo alikuwa na bifu na jiwe baada ya jiwe kupangiwa majukumu mengine amekosa followersUnamkataa sasa kwa kuwa ameanza kuwapiga madongo siyo!
Mbona alipoanzisha huo wimbo nyie mkawa mnahanikiza kwenye chorus na kuubeba ukawa wenu?
Chadomo 😁😁Huna faida kwa ndugu zako hata taifa
Corona inatibikaChadomo [emoji16][emoji16]
IQ yako itakuwa ndogo sana .Unalalamikia nini? Andiko lako halina kichwa wala miguu!!
Hata haeleweki,kavurugwa haswaUnalalamikia nini? Andiko lako halina kichwa wala miguu!!
Unalalamikia nini? Andiko lako halina kichwa wala miguu!!
Hayo magari na chopa ni kauli ya raisi au usalama wanafanya kazi zawo.Ni ulimbukeni na ushamba ndani yake, kutokujiamini na kujihami, njia nyepesi ya wasaidizi kupiga mpunga kwani maduhuri yanakuwa mengi zaidi, ni kutokuwa sensitive na kujali maisha ya watanzania walio wengi ambao wako duni sana, mimi si mtumishi wenu bali ni mfalme wenu kwani mm ni kila kitu? Au yote hayo na mengineyo?
MUNGU Ndiyo Mlinzi PekeeUsiniambie mabinduki yataongezeka??
Huyu hapa Kachukia sana...Na bado kesho kutwa EU Mhimili wa DuniaUsiniambie mabinduki yataongezeka??
Hatari sanaBaada ya Rais Samia SH kuonyesha nia ya kubadili agenda za siasa hapa Tanzania baada ya kukutana na TUNDU LISSU Basi hiki ni kipindi ambacho inabidi ulinzi wake uongezwe na kuimarishwa kwani kuna wale wanaonufaka ni hii chaos ya muda mrefu ndani ya nchi yetu wasingependa kuona tunakuwa katika mstari ulionyooka...
Labda kama amefanya hivyo kukutana na LISSU kupoza joto la Siasa nchini..
.....
Ukiwa rais ulinzi mkubwa ni wajibu hao uliowataja ni wastaafu. Wakiwa marais walilindwa kikamilifu.Hana makuu hofu ya nn,ulinzi pekee ni kuwatendea watu mema.
Mwingi na JK hata kariakoo wanaweza katiza salama kabisa bila hata mlinzi, sababu waliwekeza kwenye wema
Mzigo upo kichwani, Kwapa watokeani Jasho????Leo nimeona msafara wake na ule ulinzi ulikuwa zaidi ya ule wa Magufuli..