Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ogopa sana mtu mpole kama mama Samia. Waambie wajaribu.Mambo huanziaga humuhumu mitandaoni mkuu.
Hawa keyboard worrior tunaowadharau ipo siku watakua street worriors.
iyo siku ikifika sababu zitakua azipo au zimepungua kwa kiasi kikubwa.Mambo huanziaga humuhumu mitandaoni mkuu.
Hawa keyboard worrior tunaowadharau ipo siku watakua street worriors.
Tatizo Sio mwarabu au mngereza!Wangepokelewa Uingereza na kupewa bandari waiendeshe huko?
Usiseme uongo, siku hizi dunia kiganjani, Watanzania wana habari zote za duniani kuliko wewe.
Wewe beba maboksi huko, wachana na kudanganya, wengine tumeishi nje ya Tanzania kabla gujazaliwa.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Tuliza basi akili ili uandike kwa ufasah, mbio zote zann? Mbona hashtag bado ipo tu na posho utapata tu!!(contriversy) itayokets mabishano.
Ukiwa na akili kisoda, unaweza kujifariji kwa statements za kijinga kama hizi.Ukiona mti unapopolewa ujuwe una matunda.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
We punguani, kawatishe Wazanzibari wenzako. Hakuna mtu ambaye Samia atamtisha huku Tanganyika. Ajaribu aone. Yeye siyo Magufuli. Mtu ni rahisi sana kuuvumilia ubaya wa ndugu zake lakini siyo ubaya wa mtu mgeni.Ogopa sana mtu mpole kama mama Samia. Waambie wajaribu.
mawadiliano: dana
DuhWe punguani, kawatishe Wazanzibari wenzako. Hakuna mtu ambaye Samia atamtisha huku Tanganyika. Ajaribu aone. Yeye siyo Magufuli. Mtu ni rahisi sana kuuvumilia ubaya wa ndugu zake lakini siyo ubaya wa mtu mgeni.
Gujazaliwa ❌gujazaliwa.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mawadiliano [emoji777]. dana [emoji777]
Mawasiliano [emoji736]. Sana. [emoji736]
Hivi bibi faiza hizo shule ulienda kusomea ujinga [emoji28][emoji28][emoji28]
Cha ajabu hawawezi kufanya hivo kwenye page za serikal au za ccm.hao wanaitwaga keyboard worrior mikwara mingi kumbe watupu.
'Amani' huwa ni kigezo ccm inatumiq kuwatisha watu iwakandamize.chadema wanataka kuivunja amani ya taifa
Mtaumia sana.Saa mia moja na ushenzi ondoka na watu wako hatuwataki.
Kwani ni lazima??
wanashangaza sana.Cha ajabu hawawezi kufanya hivo kwenye page za serikal au za ccm.
Yani ni sawa na kumfumania dem badala ya kudeal naye kwann anacheat wewe unadeal na aliyecheat naye...Sasa kama k imejileta kwake unahisi angekataa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watz Mtandaoni tupo vizur
Subir kesho si ndyo maandamano
Nipo pale
DPW Ina kesi za kitapeli duniani kote,kwa ushahidi upi?bro hebu fanya utafiti utaona ukweli wa dpworld ni kampuni yenye uwezo mkubwa mno
DPW Ina kesi za kitapeli duniani kote,kwa ushahidi upi?bro hebu fanya utafiti utaona ukweli wa dpworld ni kampuni yenye uwezo mkubwa mno