Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

Saivi ziara za mama anapokelewa na MADIWANI wa nchi anapoenda, so Balozi Mulamula kaona akaushe tu maana atashusha heshima yake amemuacha maza apuyange mwenyewe, yeye kama ni ng'ambo kakaa saana, wakati huo maza akiwa home.
Anajipangia yeye au aliyemteua hiyo kazi?

Unafahamu maana ya balozi? Unafahamu boss wa waziri yeyote yule ni nani na kazi za uwaziri ni zipi?

Unataka Rais afatane hata na msaidizi wake aliye mgonjwa?
 
Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Pengine ana bifu na mama, wanawake wale.
 
Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Check ur source,Uganda alikuwepo,it's on public records
 
Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Wewe una shida mahali kweli,Uganda alikuwepo na US alikuwepo..

Kazi ya Foreign Minister sio sawa na Kazi ya hao secretaries wa kubeba mafaili uliowataja.
 
Kwa nini Rais alimteua? Najua wengi hawamkubali Kabudi, lakini nadhani aliimudu sana kazi ile japokuwa hakuwa na backaground hiyo. Malengo la Wizara ya mambo ya nje ni matatu tu: (1) Interests za Tanzania, (2) Interests a Tanzania, (3) Interests za Tanzania. Kabudi kama kiongozi alizijua sana interests hizo kuliko huyu mama ambaye kimsingi ni mkaa kati kati.
Rubbish kabisa umeandika
 

Monday, May 23, 2022​

MKUTANO WA 19 WA MAWAZIRI WA AFRIKA NA NORDIC KUFANYIKA JUNI 2022 FINLAND​


Na Mwandishi wetu, Dar
Mkutano wa 19 Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje kutoka katika Bara la Afrika na Nordic unatarajiwa kufanyika Helsinki, Finland kuanzia tarehe 13 – 15 Juni, 2022. Mkutano huo utakutanisha Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje kutoka katika bara la Afrika na nchi za Finland, Norway Denmark, Iceland.
Balozi wa Finland nchini Mhe. Riitta Swan amebainisha hayo alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam
Mhe. Swan amesema mkutano huo utajadili masula ya amani na usalama, maendeleo endelevu na ushirikiano kati ya nchi za NORDIC na Afrika.
“Mkutano huo utajadili masuala ya amani na usalama, kuhusu umuhimu wa umini pamoja maendeleo endelevu na mabadiliko ya tabia nchi,” amesema Balozi Swan.
Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema mkutano huo
umekuwa ukifanyika kila mwaka lakini kutokana na Janga la ugonjwa wa Uviko 19, mkutano huo haujafanyika tangu ulipofanyika mara ya mwisho nchini mwaka 2019.
Katika tukio jingine, Balozi Mulamula amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Dkt. Donald Wright.
Pamoja na mambo mengine, viongozi hao wamejadili masuala ya ushirikiano baina ya Tanzania na Marekani katika sekta za Afya, Elimu, biashara na uwekezaji.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Balozi wa Finland nchini Mhe. Riitta Swan walipokutana kwa mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam
Hao wajinga wanashindwa kufahamu kwamba sio kazi ya Foreign Minister kujizungusha na kubeba mafaili ya Rais..

Waziri wa mambo ya Nje ndio anaandaa mazingira mapema Sana ya Rais kwenda sehemu na kufanya shughuli zake..

Tena Mulamula anazunguka Sana na anawarahisishia Rais na timu yake ya kutafuta pesa kufanya Kazi kuwa nyepesi..

Sijawahi ona Mulamula amekaa Tanzania zaidi ya mwezi na akikaa ofisini kila siku anapokea wageni..
 
usiwe na akili za kijinga za kurudi nyuma za kimaskini kama wazee wetu za kuficha ficha na kufunika funika uchafu ndo maana wamezeekea nchi maskini ili kijana akili zako ziwe sharp kama kisu kikali nakushauri uwe unakubali ukweli na kunyoosha! iko hivi Bimkubwa wamemdharau wakaleta VICOBA kumpokea FULL STOP! kama alikuwa muhimu kwanini Rais wa Ghana akapokee wengine? ina maana waliopokelewa na Rais ndo wa maana kwake!!

Ndugu zangu mfumo dume wa kiafrika utajionesha siku zote Mama hakupokelewa na Rais wa Ghana wakaja kumpokea WATENDAJI KATA sababu ni Rais mwanamke, Biden hakuwa na stori nae sababu ni Rais mwanamke!!

ukimsikiliza Mh Rais Samia utagundua ni Genius
Rubbish 🚮🚮🚮🚮
 
Kwanza yeye havai shuka kichwani, pili sio rahisi kwa wanawake kukaa pamoja bila kusiutana au hata kuoneana wivu ikiwa ni pamoja na kunyang'anyana mabwana

ndalichako anavaa shuka kichwani? mbona yupo, na waziri muhagama nae anavaa shuka? mbona bado yupo serikalini. masista kanisani mbona wana vaa shuka husemi, mama yako havai chupi sisi hatusemi
 
Marekani alipoivamia Iraq kwa kuzusha uongo wa silaha za maangamizi hatukusikia diplomat yeyote akijiuzulu.

Diplomats wa marekani hawana integrity?!
Somebody Collin Powell kama sijakosea...baadae aliachia ngazi, alikuwa waziri flani hivi
 
Kwa vile kati ya mwaka 2002 na 2004 nilifanya kazi nyingi sana na Pentagon na nilikuwa na marafiki wengi wa ngazi za juu sana, wengi waliamini kuwa Sadam alikuwa na silaha za maangamizi ambazo zingeweza kutumiwa na Al Qaeda dhidi ya marekani ila walikuwa bado wanalifanyia kazi jambo hilo. Tatazo ni kuwa baada ya 9/11wakageuka kuwa katika mode ya kufanya maamuzi ya haraka kuzuia hilo lisotokee. Hata hivyo bado kuna diplomats kadhaa waliojiuzuru, kwa mfano John Brown alijiuzuru kwa kuona kuwa uamuzi huo ulifanyika kwa haraka sana.

Urusi haikushambuliwa au kudhuriwa lolote na wala haikuwa inasumbuliwa na terrorist wowote wenye links na Ukraine bali iliivamia ili kuinyang'anya sehemu ya ardhi yake. Vita yote inayoendelea sasa hivi ni kwa sababu Urusi inataka kuchukua sehemu ya ardhi ya Ukraine iwe ya Urusi, jambo ambalo likiruhusiwa basi nchi ndogo zitakuwa na matatizo sana. Urusi ni nchi yenye ardhi kubwa sana dunini, kwa nini ifanye hizo jitihada za kunyang'anya ardhi kutoka nchi ndogo kwa kuuwa watu bila kujali?
Collin Powell pia aliachia ngazi baada ya Bush kuchaguliwa kwa mara ya pili kwa madai kuwa vita ya Iraq ilikuwa ni makosa
 
usiwe na akili za kijinga za kurudi nyuma za kimaskini kama wazee wetu za kuficha ficha na kufunika funika uchafu ndo maana wamezeekea nchi maskini ili kijana akili zako ziwe sharp kama kisu kikali nakushauri uwe unakubali ukweli na kunyoosha! iko hivi Bimkubwa wamemdharau wakaleta VICOBA kumpokea FULL STOP! kama alikuwa muhimu kwanini Rais wa Ghana akapokee wengine? ina maana waliopokelewa na Rais ndo wa maana kwake!!

Ndugu zangu mfumo dume wa kiafrika utajionesha siku zote Mama hakupokelewa na Rais wa Ghana wakaja kumpokea WATENDAJI KATA sababu ni Rais mwanamke, Biden hakuwa na stori nae sababu ni Rais mwanamke!!

ukimsikiliza Mh Rais Samia utagundua ni Genius
🚮🚮🚮🚮
 
Anajipangia yeye au aliyemteua hiyo kazi?

Unafahamu maana ya balozi? Unafahamu boss wa waziri yeyote yule ni nani na kazi za uwaziri ni zipi?

Unataka Rais afatane hata na msaidizi wake aliye mgonjwa?
Wakati anaambatana nae huko nyuma hapakuwa na mabalozo alikokwenda? Royal Tour waziri wa afya alienda kufanya nini, kuwapima watalii wataokuja afya?
 
Alikuwa amekwishastaafu.
Mimi nilishangaa siku alipostaafishwa Anna Mughwira R'C Kilimanjaro kwa kigezo cha umri lakini hapohapo akateuliwa huyu mama Liberata na Makongoro Nyerere.
Tanzania ni zaidi ya unavyoielewa wewe! Ina maajabu yake mengi sana.
 
Alikuwa amekwishastaafu.
Mimi nilishangaa siku alipostaafishwa Anna Mughwira R'C Kilimanjaro kwa kigezo cha umri lakini hapohapo akateuliwa huyu mama Liberata na Makongoro Nyerere.
Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo kitu chochote cha kushangaza na kustaajabisha kinaweza kutokea wakati wowote.
 
Kivipi wakati wote elimu yao ni kiwango cha shahada ya uzamili!
Umeandika "elimu yao ni kiwango cha shahada ya uzamili", hiyo ni tofauti na kuelimika "kizamili".
Mmoja ana elimu,mwingine ameelimika.
 
Back
Top Bottom