Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

Pole Falla
Fala ni wewe na hao walio like upuuzi wako kwa kutojua majukumu ya Waziri wa mambo ya Nje..

Huyu hapa yuko zake Malabo anapiga Kazi ya diplomasia ya Tanzania 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220526-095842.png
    Screenshot_20220526-095842.png
    166.3 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220526-095751.png
    Screenshot_20220526-095751.png
    191 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220526-095505.png
    Screenshot_20220526-095505.png
    182.5 KB · Views: 13
Kwa nini Rais alimteua? Najua wengi hawamkubali Kabudi, lakini nadhani aliimudu sana kazi ile japokuwa hakuwa na backaground hiyo. Malengo la Wizara ya mambo ya nje ni matatu tu: (1) Interests za Tanzania, (2) Interests a Tanzania, (3) Interests za Tanzania. Kabudi kama kiongozi alizijua sana interests hizo kuliko huyu mama ambaye kimsingi ni mkaa kati kati.
Kabudi yupo vyema sana.
 
ndalichako anavaa shuka kichwani? mbona yupo, na waziri muhagama nae anavaa shuka? mbona bado yupo serikalini. masista kanisani mbona wana vaa shuka husemi, mama yako havai chupi sisi hatusemi
Tatizo lako ni ushoga unakusumbua
 
Huyu Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo Afrika nchini Tanzania ndio yule mama aliyempokea Rais Samia kule Accra Ghana!!!

Ni kweli unanyosema maana Mwakilishi wa AfDB ni sawa na balozi, hivyo kwa kuwa wao ndiyo wameandaa shughuli ya African Development Bank AfBD Annual meeting 2022 nchini Accra Ghana basi kiprotokali balozi wa nchi au taasisi iliyotoa mwaliko kwa kiongozi wa nchi huwa anampokea mgeni wao

1-11-1024x620.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka Accra nchini Ghana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu nchini humo tarehe 23 Mei, 2022.
4-14-1024x730.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka Accra nchini Ghana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu nchini humo tarehe 23 Mei, 2022
Source : ikulu blog
 
Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Usichokonoe! Lakini kwa kawaida jinsi ile huwa haiivi pamoja!! Huwa ni suala la muda tu. Kisa ni ufuatiliaji wa vitu vidogo vidogo ambavyo kwa me hakuna tatizo kabisa! Hawa wenzetu hata jicho tu linaweza kutafisiriwa ndivyo sivyo mpaka likawa tatizo kubwa!
 
Hata mwanzoni nilidhani mama kadharauliwa mpaka kupokelewa na MADIWANI Ghana ila baadae nikagundua hakua only head of State alieenda kwenye mkutano ule. Rais mwenyeji hawezi kwenda kupokea wageni wote.
Marais wote wanampenda kiongozi wetu, Ila kuna changamoto ya jinsi ya kumpokea kiongozi mwanamke muislamu, mfano sasa hivi wengi wanapeana mikono, wakati flani kukumbatiana kidogo, sasa huyu unampokeaje, unamsalimiaje, unamlaki vipi?

Wanaamua kuingia mitini
 

Wednesday, May 25, 2022​

Malabo, Equatorial Guinea

WAZIRI MULAMULA ASHIRIKI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI AU​


Na Mwandishi wetu, Malabo


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) ameshiriki Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) ulioanza leo Jijini Malabo, Equatorial Guinea.

Kufanyika kwa mkutano huo ni utekelezaji wa maamuzi ya Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika uliofanyika tarehe 6 - 7 Februari 2022 Jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Mkutano wa Baraza la Mawaziri ulitanguliwa na Mkutano wa Kisekta wa Mawaziri wanaoshughulika na Wakimbizi, Wahamaji na Majanga ya Kibinadamu uliofanyika kuanzia tarehe 23 - 24 Mei, 2022 Jijini Malabo.
Mkutano huo pamoja na mambo mengine, jukumu lake kubwa ni kuandaa Mkutano Maalum wa 16 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika kuhusu majanga ya kibinadamu pamoja na masuala ya mapambano dhidi ya ugaidi na mabadiliko ya serikali yasiyozingatia Katiba unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 – 28 Mei, 2022 Jijini Malabo.
Akiongea wakati wa Ufunguzi wa Mkutano huo, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Bw. Moussa Faki Mahamat alisema kuwa mkutano huo ni mahsusi katika kujadili changamoto mbalimbali za majanga ya kibinadamu pamoja na mapambano dhidi ya ugaidi na mabadiliko ya Serikali yasiyozingatia katiba
“Mkutano huu unafanyika wakati Afrika linapita katika changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na za majanga ya kibinadamu,” alisema Bw. Mahamat
Aidha, Bw. Mahamat aliongeza kuwa ugaidi bado ni changamoto na mabadiliko ya Serikali yasioyofuata misingi ya katiba ambayo yametokea miaka ya hivi karibuni yamerudisha nyuma taratibu za kidemokrasia katika chaguzi katika Bara la Afrika.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akishiriki Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) ulioanza leo Jijini Malabo, Equatorial Guinea


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiteta jambo na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi, Balozi Alain Nyamitwe wakati wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) ulioanza leo Jijini Malabo, Equatorial Guinea


Waziri wa Mambo ya Nje wa Malawi, Mhe. Nancy Gladys Tembo akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Dr. Liberata Mulamula
 
25 May 2022
Malabo, Equatorial Guinea

WAZIRI MULAMULA ASHIRIKI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI AU​

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Bw. Moussa Faki Mahamat akiwasilisha hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Jijini Malabo, Equatorial Guinea



Waziri wa Mambo ya Nje wa Senegal, Mhe. Aïssata Tall Sall akihutubia washiriki wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Jijini Malabo, Equatorial Guinea



Sehemu ya Ujumbe wa Tanzania ukishiriki katika Mkutano



Mkutano ukiendelea



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya ujumbe wa Tanzania baada ya kumalizika kwa mkutano



Mawaziri wa Mambo ya Nje Mambo ya Nje wa Umoja wa Afrika (AU) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mkutano wao

Source : picha na habari zote kwa hisani kubwa ya WAZIRI MULAMULA ASHIRIKI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI AU
 

Meeting of the Executive Council of The African Union​


Share:

May 25, 2022



What: Meeting of the Executive Council of the African Union
  1. H.E Moussa Faki Mahamat- Chairperson of the African Union Commission
  2. Representative of the Republic of Equatorial Guinea
  3. H.E Aisatta Tall Sall, Chairperson of the Executive Council
  4. Group photo
Where: Sipopo International Conference Centre, Malabo, Equatorial Guinea.
When: 25th May 2022 starting at 09:30 CAT (11:30EAT)
Why: The Executive Council will prepare documents for the Assembly meetings for two extraordinary summits of the AU to be held from the 27th to the 28th, i.e. the Extraordinary Humanitarian Summit and Pledging Conference on 27th May; and the Extraordinary Summit on Terrorism and Unconstitutional Changes in Africa on 28th May.
It will consider the agendas of the two summits, and the Assembly Declaration of the Extraordinary Summit and Pledging Conference, as well as the Malabo Declaration on Terrorism and Unconstitutional Changes of Government in Africa.
The meeting will also hear the report of the Chairperson on terrorism and unconstitutional changes of government in Africa.
Who: The Executive Council works in support of the African Union (AU) Assembly and is responsible to the Assembly. All Member States participate in the Executive Council, usually at foreign minister level. It is mandated to coordinate and take decisions on policies in areas of common interest to Member States, consider issues referred to it and monitor the implementation of Assembly policies
Source : Meeting of the Executive Council of The African Union | African Union
 
w

Wednesday, May 25, 2022​

Malabo, Equatorial Guinea

WAZIRI MULAMULA ASHIRIKI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI AU​


Na Mwandishi wetu, Malabo


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) ameshiriki Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) ulioanza leo Jijini Malabo, Equatorial Guinea.

Kufanyika kwa mkutano huo ni utekelezaji wa maamuzi ya Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika uliofanyika tarehe 6 - 7 Februari 2022 Jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Mkutano wa Baraza la Mawaziri ulitanguliwa na Mkutano wa Kisekta wa Mawaziri wanaoshughulika na Wakimbizi, Wahamaji na Majanga ya Kibinadamu uliofanyika kuanzia tarehe 23 - 24 Mei, 2022 Jijini Malabo.
Mkutano huo pamoja na mambo mengine, jukumu lake kubwa ni kuandaa Mkutano Maalum wa 16 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika kuhusu majanga ya kibinadamu pamoja na masuala ya mapambano dhidi ya ugaidi na mabadiliko ya serikali yasiyozingatia Katiba unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 – 28 Mei, 2022 Jijini Malabo.
Akiongea wakati wa Ufunguzi wa Mkutano huo, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Bw. Moussa Faki Mahamat alisema kuwa mkutano huo ni mahsusi katika kujadili changamoto mbalimbali za majanga ya kibinadamu pamoja na mapambano dhidi ya ugaidi na mabadiliko ya Serikali yasiyozingatia katiba
“Mkutano huu unafanyika wakati Afrika linapita katika changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na za majanga ya kibinadamu,” alisema Bw. Mahamat
Aidha, Bw. Mahamat aliongeza kuwa ugaidi bado ni changamoto na mabadiliko ya Serikali yasioyofuata misingi ya katiba ambayo yametokea miaka ya hivi karibuni yamerudisha nyuma taratibu za kidemokrasia katika chaguzi katika Bara la Afrika.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akishiriki Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) ulioanza leo Jijini Malabo, Equatorial Guinea


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiteta jambo na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi, Balozi Alain Nyamitwe wakati wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje la Umoja wa Afrika (AU) ulioanza leo Jijini Malabo, Equatorial Guinea


Waziri wa Mambo ya Nje wa Malawi, Mhe. Nancy Gladys Tembo akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Dr. Liberata Mulamula
wanajikumbusha maazimio ya Beijing!!
 
Ni kitambo sasa tangu tumuone akiwa bega kwa bega na Rais Samia kwenye ziara za kimataifa, kama inavyopaswa kuwa.

Na Pia katika shughuli zingine za kidiplomasia, ndani ya nchi kama tulivyokwishazowea. kumuona.

Mara ya mwisho hadharani, kama sikosei ilikuwa ni kwenye ziara ya Rais Samia kwenda kuhutubia Baraza la umoja wa Mataifa nchini Marekani.

Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania.

Kidiplomasia anawajibika kuwepo kwenye shughuli zote za Kiserikali, zinazohusiana na Diplomasia na mahusiano ya kimataifa. Pale anapokuwepo Rais kwenye ziara za nje ya nchi.

Hata huyo JK...kilichompatia uzoefu na hadi kuwaaminisha watanzania kwamba angeweza kuongoza nchi hii.
Alianzia huko huko kwenye ziara za Mzee Mkapa (R.I.P).

Liberata Mulamula alianza kwa kasi na kuwa na vyombo vya habari mara nyingi,akiitolea taarifa mbalimbali Serikali kupitia Wizara yake na matukio husika.

Lakini kuanzia kwenye Royal Tour, hatukumuona tena na badala yake tulimuona Bwana Hassan Abbas na wengineo akiwemo Zuhura Yunus.

Hali imeendelea hivyo na hata ziara zilizofuatia hivi karibuni.
ikiwemo ya Uganda na sasa huko Ghana.

Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Mzee yule
 
Back
Top Bottom