SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe mbwiga si ndiyo ulikuwa umejipa kazi ya kumtukana Samia hadi ukapigwa ban humu.Mama ameleta furaha kwa WATANZANIA na pia ni Rais bora kabisa na ni mzuri tena haswa haswa na tumekubalianna mitano tena kwakwe na tunampenda na kwa sababu Moyo haupendi zaidi ya mara moja sasa wanaojipitisha pitisha na Surgery zao za kisaanii wanatuvuruga mama anatosha
Swali la kimalayaNimeuliza swali tu
Nani amemtukana huyo dikteta? Sisi tunamshukuru Mungu kumuondoa kwenye uso wa nchi hii wacha ateketee jehanamMtanyooka tu mlifukiri kiki ya kumtukana mwendazake itawatoa lakini hewa
Kweli kabisaMama ameleta furaha kwa WATANZANIA na pia ni Rais bora kabisa na ni mzuri tena haswa haswa na tumekubalianna mitano tena kwakwe na tunampenda na kwa sababu Moyo haupendi zaidi ya mara moja sasa wanaojipitisha pitisha na Surgery zao za kisaanii wanatuvuruga mama anatosha
Atakufa lini? Tunazungumzia aliyekufa sio atayekufaKama utakavyokufa wewe
Afu ukute unaandika hivi huku ukiwa dangaji!Nani amemtukana huyo dikteta? Sisi tunamshukuru Mungu kumuondoa kwenye uso wa nchi hii wacha ateketee jehanam
Wenzako wapo analogia bado,hivyo walitegemea waone waliosajiliwa wakionyeshawino kwenye vidole.Umeambiwa wanafanya online, unaelewa maana ya online registration lakini?
Wapuuzi waleWenzako wapo analogia bado,hivyo walitegemea waone waliosajiliwa wakionyeshawino kwenye vidole.
Kipi?Chama kimedoda?
Mkuu Magufuli ndo kawanyima kula yao saivi wanatapatapa mtaani bila dira yoyote ndo maana wanalia nae Kila uchao ,, noma Sana kupokonywa tonge mdomoni ..Chadema Kama wanataka kurudi kwenye mioyo ya watu lazima watumie falsafa za Magufuli au wampate mtu mwenye hulka Kama za Magufuli
Kwa kuwa hawana akili hawajui kwamba kadiri wanavyotoa kauli mbaya dhidi ya Magufuli ndiyo wanajiharibia taswira
Natamani ningekuwa mshauri wao
Naskia umetoa 0714 huko lumumba teuzi zimekupita,fanya uzae tu upunguze machunguBibi yako huko kishumundu anajua maana ya online registration?
Laana itawatafuna mpaka mkome
Na anapokea vitasa huko jehanamAtakufa lini? Tunazungumzia aliyekufa sio atayekufa
Toka utatuliwe marinda unaparamia ovyo wanaumeAfu ukute unaandika hivi huku ukiwa dangaji!