Kulikuwa na nini kati ya Tanroad ya Mfugale na JPM? Tanroad ilipokea fedha kuleta mtambo wa kutengeneza sukari wa dola milioni 50, haukuletwa!

Kulikuwa na nini kati ya Tanroad ya Mfugale na JPM? Tanroad ilipokea fedha kuleta mtambo wa kutengeneza sukari wa dola milioni 50, haukuletwa!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Huyu ndiye Rais wa wanyonge, aliyejipambanua kupambana na ufisadi, alidanganya wananchi wa kawaida wakamwamini, mlango wa nyuma alikuwa anafanya kweli. Kazi ya Tanroad ni barabara, lakini Mfugale alikuwa Kila mahali, uwanja wa ndege chato, yupo,standard gauge railway yupo.

====

➡️"TANROAD, watu ambao kazi yao ni madaraja na barabara wanapewa kazi ya kuleta mtambo wa kuzalisha sukari katika kiwanda cha kuzalisha sukari Mkulazi, halafu mtambo wenyewe haujaletwa na fedha zimeshalipwa zote zaidi ya dola milioni 50, hadi leo mtambo haupo" @zittokabwe
Screenshot_20220415-140726_1.jpg
 
#wazendo njooni hapa tujadili, nadhani hizi ni sehemu tu ya Hela ambazo Mfugale alimtunzia jamaa, alipohojiwa mara baada ya kifo Cha JPM hii Hela imetoka wapi, akakata moto, fungwa akaunti zote za Mfugale na genge lake, inawezekana alikuwa mtunza mipango ya dili ya meko
 
Huyu ndiye Rais wa wanyonge, aliyejipambanua kupambana na ufisadi, alidanganya wananchi wa kawaida wakamwamini, mlango wa nyuma alikuwa anafanya kweli. Kazi ya Tanroad ni barabara, lakini Mfugale alikuwa Kila mahali, uwanja wa ndege chato, yupo,standard gauge railway yupoView attachment 2188622
Tumewalipa wachina billions of money na vichwa vya treni havijafika...ni Ujuha tu wa Mzitto Mkabwela kuleta hoja za kitoto.
 
Tehetehe! Mmejificha mpaka nimewaibua, mbombo ngafu
Wewe ndio umejificha. Angalia status yangu. Nkmeishatuma meseji zaidi ya mia ndani ya saa moja. Nakuhakikishia, hata Wayahudi walimpiga vita sana Yesu Kristu, lakini mpaka leo jina la Yesu Kristy linajulikana dunia nzima. Waliomuua hata majina yao hayajulikani. Hivyo, hivyo kwa Magufuli. Jina lake litavuma na kuvuma baada ya miaka 50 kupita.
 
Kuna wenzako wanazi wa JPM wanahoji bei ya sukari, hawajui fedha ya kununua mashine jamaa aliipiga,mnakesha ooohhh Samia, bei za bidhaa zinapandaaa
Itabidi umwambie Mama amuondoe Waziri Bashe kwenye uwaziri kwani juzi akikabidhi pikipiki alimwambia ifikapo mwaka 2025 suala la uhaba wa sukari na kupanda bei ya sukari itakuwa historia kutokana na uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya sukari uliofanywa na RAIS WA WANYONGE HAYATI JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI!
 
Itabidi umwambie Mama amuondoe Waziri Bashe kwenye uwaziri kwani juzi akikabidhi pikipiki alimwambia ifikapo mwaka 2025 suala la uhaba wa sukari na kupanda bei ya sukari itakuwa historian kutokana na uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya sukari uliofanywa na RAIS WA WANYONGE HAYATI JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI!
Akaunti za Mfugale zote zimekamatwa na za huyo mwendazake, zinakaguliwa, Hela ya umma irudi
 
Akaunti za Mfugale zote zimekamatwa na za huyo mwendazake, zinakaguliwa, Hela ya umma irudi
Good! Na baada ya 2025 tutakamata za Kikwete, Kinana, Mama, mmewe na mkwewe, Makamba na Makamba Mtoto ili pesa irudi ikawatumikie Watanzania Wanyonge kama ilivyokuwa inawatumikia wanyonge enzi za RAIS WA WANYONGE RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI!
 
Good! Na baada ya 2025 tutakamata za Kikwete, Kinana, Mama, mmewe na mkwewe, Makamba na Makamba Mtoto ili pesa irudi ikawatumikie Watanzania Wanyonge kama ilivyokuwa inawatumikia wanyonge enzi za RAIS WA WANYONGE RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI!
Pole sana unateseka ukiwa wapi chato au dodoma

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio umejificha. Angalia status yangu. Nkmeishatuma meseji zaidi ya mia ndani ya saa moja. Nakuhakikishia, hata Wayahudi walimpiga vita sana Yesu Kristu, lakini mpaka leo jina la Yesu Kristy linajulikana dunia nzima. Waliomuua hata majina yao hayajulikani. Hivyo, hivyo kwa Magufuli. Jina lake litavuma na kuvuma baada ya miaka 50 kupita.
Hata Hitler anavuma mkuu? What's new?
 
Huyu ndiye Rais wa wanyonge, aliyejipambanua kupambana na ufisadi, alidanganya wananchi wa kawaida wakamwamini, mlango wa nyuma alikuwa anafanya kweli. Kazi ya Tanroad ni barabara, lakini Mfugale alikuwa Kila mahali, uwanja wa ndege chato, yupo,standard gauge railway yupoView attachment 2188622

Zitto alikuwa mnufaika sana na NSSF alipokuwepo Ramadhani Dau; mpaka akamfadhili hata wasanii wa kutoka Kigoma katika kutunga wimbo wao LEKA TUTEGITE!!! Hivyo mambo yote ambayo hayana maslahi kwake au yanampita kwa vile waliopo pale sasa hana uakaribu nao basi ni lazima atatia fitina ya aina fulani!!! Je hayo anayosema ni kweli mtambo huo wa kuzalisha sukari bado haujaletwa mpaka sasa au ulikuwa haujaletwa wakati report inaandikwa? Hayo ndio mambo anayotakiwa kuyahakiki kabla ya kutoa shutuma.
 
Akaunti za Mfugale zote zimekamatwa na za huyo mwendazake, zinakaguliwa, Hela ya umma irudi

Kama nyinyi ni waadirifu mbona hamkagui akaunti za Kikwete na mali zake zote alizoficha huko DUBAI!! Nyinyi watu ni wapumbavu sana hata hamujiulizi kwanini Kikwete amehakikisha Kinana amerudi CCM na kutangaza kuwa serikali lazima isilikilize amri ya chama!!! Zote hizo ni mbinu za kuitisha serikali ili wapate kukwapua fedha za Nchi!!! Kumbukeni wizi mkubwa kutokea nchini ilikuwa wakati wa utawala wa KIKWETE walipoiba kwenye mabenki fedha wakibeba kwenye sanadarusi na kuzipeleka Ikulu; pia wizi kwa kutumia makampuni hewa walipoiba kule BOT!!!
Ingawa anawahadaa watu kwa kucheka cheka huyu ndiye adui nambari one wa WATANZANIA!!
 
Back
Top Bottom