Kuling'ang'ania suala DP World kuchukua Bandari ni dhahiri kuna Viongozi wamelipwa Fedha

Kuling'ang'ania suala DP World kuchukua Bandari ni dhahiri kuna Viongozi wamelipwa Fedha

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Licha ya makelele yote haya kwa Wananchi, Mashinikizo ya Wanasiasa na sasa Matamko ya Viongozi wa Dini kupinga suala la Dubai kuwekeza kwenye Bandari zetu inaonesha kabisa Kuna watu wamelipwa fedha nyingi wameahidiwa mgawo mkubwa sana endapo jambo hili litaanza utekelezaji nchini including namba moja.

Haiwezekani kwa akili ya kawaida nchi mpaka inaingia kwenye tension kiasi hiki halafu wenye mamlaka wamekomaa kutaka suala hilo lifanyike iwe jua iwe mvua. Kwa manufaa ya nani sasa kama wenye nchi wenyewe hawataki kwanini muwalazimishe waingie?
 
Haya mambo Yana masilahi ya wakubwa wa dunia wenye itikadi mbili tofauti , Sisi kuanzia Raisi mpak i Raia wote ni wacheza Ngoma tuu... Mnamlaumu Samia bure tuu , mnataka awe kafara Kama JPM , sio rahsi , tuleni tuu fedha za mikopo na misaada
 
Licha ya makelele yote haya kwa Wananchi, Mashinikizo ya Wanasiasa na sasa Matamko ya Viongozi wa Dini kupinga suala la Dubai kuwekeza kwenye ...
Kwa hiyo tuamini izo ramli zako? Wamepewa shilingi ngapi? Wapi? Lini? Kwa mfumo upi?

Yaaani Serikali iache kufanya na kutekeleza mipango yake ya maendeleo kwa ajili ya nyie wapuuzi mnaotaka tuendelee kuwa nyuma kiufanisi na Serikali isipate fedha za maendeleo ili kesho mje kuisema haijafanya kitu??

Nakwambiaje. Mkataba unatekelezwa na hakuna atakayezuia na fedha zitakazopatikana zitakusaidia wewe na uzao wako wote
 
Licha ya makelele yote haya kwa Wananchi, Mashinikizo ya Wanasiasa na sasa Matamko ya Viongozi wa Dini kupinga suala la Dubai kuwekeza kwenye Bandari zetu inaonesha kabisa Kuna watu wamelipwa fedha nyingi wameahidiwa mgawo mkubwa sana endapo jambo hili litaanza utekelezaji nchini including namba moja.

Haiwezekani kwa akili ya kawaida nchi mpaka inaingia kwenye tension kiasi hiki halafu wenye mamlaka wamekomaa kutaka suala hilo lifanyike iwe jua iwe mvua. Kwa manufaa ya nani sasa kama wenye nchi wenyewe hawataki kwanini muwalazimishe waingie?
kuna makuwadi ya warabu humu jf hayajalipwa ila yanachofanya ni kushabikia kwa matumain ya kisubiria teuz.
 
Kwa hiyo tuamini izo ramli zako? Wamepewa shilingi ngapi? Wapi? Lini? Kwa mfumo upi?

Yaaani Serikali iache kufanya na kutekeleza mipango yake ya maendeleo kwa ajili ya nyie wapuuzi mnaotaka tuendelee kuwa nyuma kiufanisi na Serikali isipate fedha za maendeleo ili kesho mje kuisema haijafanya kitu??

Nakwambiaje. Mkataba unatekelezwa na hakuna atakayezuia na fedha zitakazopatikana zitakusaidia wewe na uzao wako wote
Akili yako fupi kama ya kenge anayekimbia mvua na kuingia majini!
Mitanzania mingine ni mijinga mijinga sana hata uyaambie logic hayaelewi!
Hakuna mtu ambaye anapinga uwekezaji lakini Mwekezaji apatikane kwa njia za ushindani na wazi na Kwa masharti Bora kwa maslahi ya Taifa!
Siyo hii yenu ya kupata Mwekezaji kwa hila na Mazingira ya RUSHWA!
 
Akili yako fupi kama ya kenge anayekimbia mvua na kuingia majini!
Mitanzania mingine ni mijinga mijinga sana hata uyaambie logic hayaelewi!
Hakuna mtu ambaye anapinga uwekezaji lakini Mwekezaji apatikane kwa njia za ushindani na wazi na Kwa masharti Bora kwa maslahi ya Taifa!
Siyo hii yenu ya kupata Mwekezaji kwa hila na Mazingira ya RUSHWA!
Uliwahi kuuliza ushindani wa wazi kwenye Bwawa la Nyerere? Ujenzi wa SGR Dar to Moro?

Mwekezaji kapatikanaje kwa mazingira ya Rushwa? Thibitisha?
 
Uliwahi kuuliza ushindani wa wazi kwenye Bwawa la Nyerere? Ujenzi wa SGR Dar to Moro?

Mwekezaji kapatikanaje kwa mazingira ya Rushwa? Thibitisha?
Wewe ni Kilaza na wala hu- deserve kuthibitishiwa jambo lolote kutoka kwangu!
Nimefuatilia hoja zako nyingi humu, wewe ni mpuuzi fulani ambaye huoni mbele!
CCM imeuza kila kitu kuanzia Madini, Gesi ,Mbuga za Wanyama n.k.
Ziachwe hizi Bandari free of encumbrances vizazi vijavyo wazikute badala ya kuzikabidhi kwa Waarabu milele kwa mkataba wa kijinga wa Kimangungo!
Sa100 kwa hili anapingwa na kila mtu mwenye akili isipokuwa nyie wachumia tumbo!
 
Wewe ni Kilaza na wala hu- deserve kuthibitishiwa jambo lolote kutoka kwangu!
Nimefuatilia hoja zako nyingi humu, wewe ni mpuuzi fulani ambaye huoni mbele!
CCM imeuza kila kitu kuanzia Madini, Gesi ,Mbuga za Wanyama n.k.
Ziachwe hizi Bandari free of encumbrances vizazi vijavyo wazikute badala ya kuzikabidhi kwa Waarabu milele kwa mkataba wa kijinga wa Kimangungo!
Sa100 kwa hili anapingwa na kila mtu mwenye akili isipokuwa nyie wachumia tumbo!
Nani kasema bandari zinachukuliwa?

Wewe ndo kilaza hapa
 
Licha ya makelele yote haya kwa Wananchi, Mashinikizo ya Wanasiasa na sasa Matamko ya Viongozi wa Dini kupinga suala la Dubai kuwekeza kwenye Bandari zetu inaonesha kabisa Kuna watu wamelipwa fedha nyingi wameahidiwa mgawo mkubwa sana endapo jambo hili litaanza utekelezaji nchini including namba moja.

Haiwezekani kwa akili ya kawaida nchi mpaka inaingia kwenye tension kiasi hiki halafu wenye mamlaka wamekomaa kutaka suala hilo lifanyike iwe jua iwe mvua. Kwa manufaa ya nani sasa kama wenye nchi wenyewe hawataki kwanini muwalazimishe waingie?
Mim kama mmoja ya wenyenchi nabariki uwekezaji wa DP WORLD nchini.

Kuna kingine labda?
 
Watu wamelamba asali ya kutosha na bado kuna mgao wa hisa za dipii wedi kwenye uwekezaji wa milele amina.
 
Kwa hiyo tuamini izo ramli zako? Wamepewa shilingi ngapi? Wapi? Lini? Kwa mfumo upi?

Yaaani Serikali iache kufanya na kutekeleza mipango yake ya maendeleo kwa ajili ya nyie wapuuzi mnaotaka tuendelee kuwa nyuma kiufanisi na Serikali isipate fedha za maendeleo ili kesho mje kuisema haijafanya kitu??

Nakwambiaje. Mkataba unatekelezwa na hakuna atakayezuia na fedha zitakazopatikana zitakusaidia wewe na uzao wako wote
Wewe Ni kielelezo Cha matumizi mabaya ya shahawa. Tunamlaumu babako kukojoa ndani Halafu ikazaliwa takataka!
 
Kwa hiyo tuamini izo ramli zako? Wamepewa shilingi ngapi? Wapi? Lini? Kwa mfumo upi?

Yaaani Serikali iache kufanya na kutekeleza mipango yake ya maendeleo kwa ajili ya nyie wapuuzi mnaotaka tuendelee kuwa nyuma kiufanisi na Serikali isipate fedha za maendeleo ili kesho mje kuisema haijafanya kitu??

Nakwambiaje. Mkataba unatekelezwa na hakuna atakayezuia na fedha zitakazopatikana zitakusaidia wewe na uzao wako wote
Yaani ww ni mjinga mwili mzima.
 
Back
Top Bottom