Mkubwa na ndevu
Member
- Feb 10, 2023
- 40
- 27
Akili yako fupi kama ya kenge anayekimbia mvua na kuingia majini!
Mitanzania mingine ni mijinga mijinga sana hata uyaambie logic hayaelewi!
Hakuna mtu ambaye anapinga uwekezaji lakini Mwekezaji apatikane kwa njia za ushindani na wazi na Kwa masharti Bora kwa maslahi ya Taifa!
Siyo hii yenu ya kupata Mwekezaji kwa hila na Mazingira ya RUSHWA!
Onesha hiyo rushwa