Mkubwa na ndevu
Member
- Feb 10, 2023
- 40
- 27
Akili yako fupi kama ya kenge anayekimbia mvua na kuingia majini!
Mitanzania mingine ni mijinga mijinga sana hata uyaambie logic hayaelewi!
Hakuna mtu ambaye anapinga uwekezaji lakini Mwekezaji apatikane kwa njia za ushindani na wazi na Kwa masharti Bora kwa maslahi ya Taifa!
Siyo hii yenu ya kupata Mwekezaji kwa hila na Mazingira ya RUSHWA!
Ni mlo waoLicha ya makelele yote haya kwa Wananchi, Mashinikizo ya Wanasiasa na sasa Matamko ya Viongozi wa Dini kupinga suala la Dubai kuwekeza kwenye Bandari zetu inaonesha kabisa Kuna watu wamelipwa fedha nyingi wameahidiwa mgawo mkubwa sana endapo jambo hili litaanza utekelezaji nchini including namba moja.
Haiwezekani kwa akili ya kawaida nchi mpaka inaingia kwenye tension kiasi hiki halafu wenye mamlaka wamekomaa kutaka suala hilo lifanyike iwe jua iwe mvua. Kwa manufaa ya nani sasa kama wenye nchi wenyewe hawataki kwanini muwalazimishe waingie?
Hivi kosa la kwanza, la pili, hata kosa la tatu husahihishwa na kosa lingine kubwa zaidi? Mpaka hoja unaiandika huoni mantiki ya hoja yako inavyopingana?Uliwahi kuuliza ushindani wa wazi kwenye Bwawa la Nyerere? Ujenzi wa SGR Dar to Moro?
Mwekezaji kapatikanaje kwa mazingira ya Rushwa? Thibitisha?
Sasa hoja ni Je Uliwahi kusikia tamko la TEC kwenye hayo?Hivi kosa la kwanza, la pili, hata kosa la tatu husahihishwa na kosa lingine kubwa zaidi? Mpaka hoja unaiandika huoni mantiki ya hoja yako inavyopingana?
Ndio maana kesi walitaka wapeleke afrika kusini kama tukishindwanaDunia ya utandawazi hoi hii ni aibu kama Ile Kabudi alipotuletea wanunua Korosho kutoka Kenya
Sababu tu walikuja na private jet
Mama Kwa hili siko upande wako kumbe jamaa ni wahalo sauzi mnatupiga kamba Dubei
Kwanini msingesema kweli tangu mwanzo!!!!