Ndio utakapojua lengo la Kiba sio kukamata soko la mziki bali kupambana na Diamond.
Yeye anaamini Wema na Kidoti ndio waliochangia mafanikio ya Diamond anasahau kuwa kujituma kwa Diamond ambako yeye hata robo hamfikii.
Mpeni mbinu mbadala mtu wenu sio kupita alimopita Diamond, tunajua mnapenda lakini ndio hivyo.
Najua Kiba ni mwanamziki mzuri ila sio level ya Diamond.
Enyi, munaojiigiza mashabiki wa Kiba hoja iliopo mbele yetu ni KIBA KAMUOMBA MSAADA WEMA ILI APAMBANE NA DIAMOND ina maana kwamba Kiba kawadharau nyinyi mashabiki wake munaosema kwamba yeye anasauti nzuri lakini kwa tendo lake hili AMEONA YEYE HAWEZI KUSIMAMA NA DIAMOND KWA LOLOTE
nisaidie na wewe kushangaaaa, yeye si anasauti nzuri jamni si anakipaji jamni? yeye si hapendi show off jamni? yeye si hategemei wanawake kuwika jamni??? sasa ghafla mbona na yeye kaanza kutumia wanawake CHA AJABU KULIKO VYOOOOOTE ETI WANAWAKE WALE WALE AMBAO DIAMOND ALIKUWA ANASHUTUMIWA KUWA ANAWATUMIA ILI KUPAAA KIMZIKI, yaani this sound sooo weird aiseeee, alafu wasikilize thiz ze mbururaz wanavyoipoonza, NOW they dare to say hawaoni ubaya wema kumsupport kiba, but hapo kabla wakati dai akiwa na wema walikuwa hawakomi kumtukana dai kuwa anategemea kubebwa na wema, hivi ninyi team kiba hamuoni aibu mnavyojikaanga na mafuta yenu wenyewe kama dagaa wa kigoma tena kwa mambo ya wazi wazi kaa haya????? mtaacha lini kuropokwaaaaaa????? mliyokuwa mnamkejeli nayo dai si ndio haya anayofanya kiba sasa????? ptuuuuuuuuuu!!!! aibu gani hiiii!!????
Nakwambia wamerudi walikotoka!Kutoka kufanya collabo na R-kelly mpaka kuomba kura kwa Wema!sasa hivi wanafurahia kiba kufanya kazi na Bella,huku wakipinga anguko lake!
FROM HERO TO ZIRO!
Kisasi ni cha Wema kuachana na Diamond na Diamond kuendelea na maisha yake na Zari wala sio kisasi cha Wema kua fan wa Kiba!!!!
Ni kweli inachekesha wanakazania tuzo bila kazi kuonekana hii kweli inaonyesha kuwa hawana hata hizo mbinu za kujiinua na washabiki wanasifia huku wanajua hakuna kitu.
Ni kama kumwambia mwanafunzi anayepata marks 5 darasani wewe upo juu tunakushangilia hao wanao pata 95 hawana kitu kaa tu utapewa tuzo ya kuwa mfanya vizuri duh
hahaha hawa wanafurahisha kinoma.
Alaf video vipi? Au zile hela wezi waliyopita nazo kwenye uvamizi juzi kati ndio alikua anadunduliza?
Enyi, munaojiigiza mashabiki wa Kiba hoja iliopo mbele yetu ni KIBA KAMUOMBA MSAADA WEMA ILI APAMBANE NA DIAMOND ina maana kwamba Kiba kawadharau nyinyi mashabiki wake munaosema kwamba yeye anasauti nzuri lakini kwa tendo lake hili AMEONA YEYE HAWEZI KUSIMAMA NA DIAMOND KWA LOLOTE
Teamkiba
na ifike mahali watu wajue kutofautisha kati ya milango na madirisha! unaweza kumcompare kiba na DAIMOND kweli??? hilo kahaba nalo ni halina kazi, lina hamu leo kesho lilirudiwe na DAIMOND, MWENZIE NDIYE YULEEEEEEEEE!
Wala sisi hatuna shida mkuu maana nyie si mpo international zaidi, lakini jinsi dunia ilivyo ya ajabu hizo video zenu mtuletee tena mwakani kwenye tuzo muone jinsi tutakavyowapiga justly kwa video moja tu ya cheketua wala hatunaga mambo mengi.
Mfano si umeona jinsi kawimbo kamoja ka mwana kalivyowachapa bakora na nyimbo zenu zote kuanzia ule mchiriku, collabo la iyanya ile bum bum ambapo kwenye verse nzima ya domo jamaa alisikika akitaja neno moja tu "Michael Jackson tact",
Aisee kumbe kiba alianza mwanzo mziki? Duh inachekesha kaja dogo kampita kimafanikio? Huyu kiba si ndo alojiita mfalme na kuanza bifu? Huyu kiba c aliwakuta mwanzo wema na jokate? Ehehehe umemskia ray wa bongo movie? Bila ya kanumba hawezi kwenda, nyota yake imekufa NI KAMA ALIKIBA NYOTA YAKE ANAYO DIAMOND. Najua utapinga ila bila ya diamond sasa ali kiba ni mwanamziki wa kawaida km alivokuwa na anaendelea kuwa hivyi
Nyota ya diamond, anayo wema na davido mkuu, manyimbo yote saiv anatoa yanadoda tu, hahahaha apige tu matamasha mana tuzo.hamna tena
Enyi, munaojiigiza mashabiki wa Kiba hoja iliopo mbele yetu ni KIBA KAMUOMBA MSAADA WEMA ILI APAMBANE NA DIAMOND ina maana kwamba Kiba kawadharau nyinyi mashabiki wake munaosema kwamba yeye anasauti nzuri lakini kwa tendo lake hili AMEONA YEYE HAWEZI KUSIMAMA NA DIAMOND KWA LOLOTE
Wema, penny na kidoti ndio mafanikio ya diamond, si unaona anavyopiga pua mwaka huu?? Na bado atatumbuiza under age tu hahahhaha kwa kiingilio cha buku tano
Domo mwaka jana alimtumia sana wema kumuombea tuzo za channel o, hahahhaha na.akafanikiwa, why not kiba, kila mtu anajikampenia kwa namna tofauti kama domo alivyokuwa akikampeniwa mwaka jana hahahahha, kwa nini inawauma sana kiba akikampeniwa hahahahahha wema weka na za ktma bebe tubebe tuzo